Beruflich Dokumente
Kultur Dokumente
CHA NYANYA
Mafanikio kwa Wakulima:
Design and Layout: Samantha Goodwin & Juma Zaid, Email: design@habari.co.tz
Print Production: Colourprint (T) Ltd, PO Box 76006, DSM, Tel: 022 450331, Email: cp@raha.com
Yaliyomo
Uk
Asili ............................................................................................................5
Mazingira: ............................................................................................... 5-6
Aina za Nyanya ....................................................................................... 6-7
1. Kuandaa kitalu cha Nyanya...................................................................7
2. Kuandaa matuta ya kusia mbegu za Nyanya .........................................8
3. Mambo muhimu ya kuzingatia wakati wa kuandaa matuta ..................8
4. Faida na hasara za matuta yaliyotajwa hapo juu ............................ 9-10
5. Kusia mbegu ........................................................................................10
6. Mambo ya kuzingatia baada ya kusia mbegu pamoja na matunzo
kitaluni .................................................................................................11
7. Kanuni na mbinu za kuhamisha miche toka kitaluni kwenda
shambani ....................................................................................... 12-13
Maandalizi ya shamba la nyanya .........................................................14
Jinsi ya kupanda miche .......................................................................14
Mambo muhimu ya kuzingatia baada ya kuhamishia miche shambani ....15
Udhibiti Husishi wa Wadudu na Magonjwa ya Nyanya (IPM measures) .16
Ugonjwa wa kinyaushi (Damping Off)................................................ 16-18
Utitiri mwekundu (Red Spider Mites RSM) ................................... 18-20
American Bollworm (Heliothis armigera) ............................................. 20-22
Bakajani chelewa: Late Blight (Phytophthora infestans) ...................... 22-24
Ugonjwa wa virusi vya Nyanya (TYLC - Virus) ................................. 25-27
Ugonjwa wa Mnyauko (Bacterial Wilt):.............................................. 27-29
Utangulizi:
Nyanya ni zao la mboga ambalo hulimwa sehemu nyingi duniani
kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na pia kama zao la biashara.
Asili:
Inahisiwa kuwa asili ya nyanya ni nchi ya Peru/Equador huko Amerika
ya Kusini. Mmea huu ulianza kuzalishwa kama zao katika nchi ya
Mexico na baadaye kusambaa katika nchi nyingine za ulimwengu.
Nchi zinazolima nyanya kwa wingi duniani ni pamoja na USA,
Italia na Mexico. Kwa upande wa Africa nchi zinazo lima ni kama;
Malawi, Zambia na Botswana.
Zao hili hulimwa pia katika nchi za Africa Mashariki, ikiwemo
Kenya, uganda na Tanzania. Kwa upande wa Tanzania mikoa
inayolima nyanya kwa wingi hasa kwa ajili ya matumizi ya nyumbani
na biashara ni pamoja na Mkoa wa Kilimanjaro (Hai, Moshi na
Rombo), Arusha (Arumeru), Morogoro (Mgeta), Tanga (Lushoto),
Mbeya (Mbeya vijijini) na Singida. (Tazama jedwali namba:1 uk. 36)
Mazingira
Hali ya Hewa:
Nyanya hustawi vizuri zaidi kwenye mazingira ya joto la wastani
kuanzia nyuzi joto 18-27 sentigreti. Mvua nyingi husababisha
mlipuko wa magonjwa ya ukungu kama vile Baka jani chelewa
n.k.)
Udongo:
Nyanya hustawi kwenye aina zote za udongo kuanzia udongo wa
Aina za Nyanya
Kuna aina kuu tatu za nyanya:
aina ndefu (tall variety or intermediate) kwa mfano Marglobe
(M2009 )n.k.
aina fupi (dwarf variety) kwa mfano; Roma VF (nyanya
mshumaa) na Tanya
aina chotara, kwa mfano Tengeru97 n.k.
Bila kuzingatia maumbile aina nyingine zinazolimwa Tanzania ni
pamoja na Money maker, Roma n.k.
Katika karne hii ya 21, nyanya zinazopendelewa kulimwa zaidi na
wakulima, ni zile zinazoweza kuvumilia magonjwa, zinazo zaa sana,
na zenye ganda gumu ili kufanikisha usafirishaji, na kuhifadhika
kwa siku nyingi bila kuharibika mapema.
Nyanya zinazoonyesha kuwa na sifa hiyo ni kama:
a) Tengeru97 ambayo ina sifa vifuatazo:
b) Tanya
Hasara:
Matuta ya namna hii yana sababisha sana mmomonyoko wa udongo
kama hayakutengenezwa vizuri.
5. Kusia Mbegu
Hakikisha ubora na uotaji wa mbegu kabla ya kuzipanda kitaluni
(germination test)
Weka mistari kwenye tuta kulingana na ukubwa wa tuta, lakini
mistari isiwe chini au zaidi ya sentimita 15-20 toka mstari hadi
mstari
Kina cha mistari kisiwe cha kutisha bali kiwe kati ya sentimita 1-2
Matuta yapate maji ya kutosha siku moja kabla ya kusia mbegu. Ni
vizuri kutumia chombo cha kumwagilia (watering can).
Mbegu ziatikwe kwenye mistari na zisambazwe vizuri ili kufanikisha
usambaaji mzuri wa mbegu kwenye tuta. Changanya mchanga
laini na mbegu kisha sambaza kwenye mistari iliyoandaliwa
kwenye tuta.
10
11
13
14
sahihi
siyo sahihi
15
yanayopendelea unyevunyevu.
Nyanya ziwekewe miti/mambo ili kuzuia zisianguke au kutambaa
kwenye udongo, jambo ambalo linaweza kusababisha madhara
mengi ya nyanya (magonjwa n.k.).
Njia mbali mbali za kukagua shamba
16
Ugonjwa unavyoenea:
Ugonjwa huu huenea zaidi maji yanapozidi kitaluni.
Miche iliyosongamana sana hurutubisha vimelea vya ugonjwa huu
na huambukizwa kwa urahisi zaidi.
Vimelea hivi huweza kukaa ardhini kwa muda mrefu.
Maeneo yaliyo na ugonjwa huu:
17
18
Jinsi ya kuthibiti:
Ni muhimu kukagua shamba kabla ya kuchukua hatua yoyote
ya kudhibiti.
Epuka vumbi kwa kupanda miti kuzunguka shamba.
Sumu za viwandani zikitumika kwa mfululizo hufanya wadudu
hawa kuwa sugu.
Mwagilia maji ili kuongezea unyevu nyevu shambani / kwenye
udongo.
Jaribu aina za nyanya zinazoweza kuvumilia mashambulizi ya
wadudu hawa. (wasiliana na vituo vya utafiti au Bwana Shamba).
Ni muhimu sana kuepuka sumu za viwandani ambazo huua
wadudu marafiki kwa wingi jambo ambalo huongeza kasi ya utitiri
mwekundu.
KILIMO BORA CHA NYANYA
19
Predator mites
Ladybird beetle
Lace wings
Predator thrips
Anthocorid
Syiphid flies
20
Kwenye majani
Siku 2-4
Funza
Mdudu kamili
Kwenye tunda
Siku 10-14
Siku 14-21
Buu
Kwenye udongo
Kwa kuwa buu huishi ardhini hatua hii haina madhara, wala
mdudu kamili hana madhara; isipokuwa huzaana haraka sana.
21
Dalili:
Dalili za mashambulizi ya ugonjwa huu huonekana mara
nyingi kwenye majani, shina hata matunda. Kwenye majani
kunakuwa na mabaka meusi ambayo yamefunikwa na ngozi
laini, ndani ya ngozi hiyo kunakuwepo na maji maji. Baadaye
22
23
24
25
26
27
Baada ya vindonda kwenye mmea kutokea, majani hupukutika zaidi ukilinganisha na kunyauka kwa mmea.
28
29
30
31
Nyanya
Pamba n.k.
Dalili za mashambulizi
Majani huwa na madowadowa ya njano ambayo huambatana na
poda nyeupe chini ya jani
Kupukutika kwa majani
Ugonjwa unavyosambazwa
Dalili za mashambulizi
Majani ya chini (yaliyo komaa) huonekana kuwa na vidonda
ambavyo huwa na rangi ya udongo pamoja na nyeusi
Mara nyingine sehemu hii iliyo na rangi iliyoelezwa hapo juu,
huzungukwa na rangi ya njano kwa pembeni
Ugonjwa unapokuwa kwenye shina, huwa na baka jeusi ambalo
huonekana kama kidonda kilicho kauka na alama mfano wa dole
gumba (concetric ring) (Tazama picha na 4 uk. 39)
Mmea mara nyingine huanguka kutokana na ugonjwa huu
Matunda nayo huonekana yakiwa na vidonda kama ilivyoelezwa
hapo juu. Matunda mengine hudondoka chini
Ugonjwa unavyosambaa
Vimelea vya ugonjwa huu huishi kwenye masalia ya nyanya au
33
34
35
36
PWANI
SINGIDA
18,150,000
57,000
4,000,000
3,675,000
19,350,000
108,000
5,100,000
2,896,000
584,000
1991/92
17,810,000
KAGERA
MOROGORO
TANGA
MBEYA
473,000
460,000
1990/91
1989/90
KILIMANJARO
ARUSHA
MKOA
21,285,000
135,000
5,680,000
4,043,000
38,670,000
638,000
24,480,000
135,000
6,2500,000
4,116,000
43,630,000
10,025,000
784,000
25,840,000
160,000
9,000,000
4,410,000
49,500,000
28,550,000
164,000
11,510,000
4,631,000
56,159,000
12,692,000
964,000
1995/96
MWAKA
1994/95
11,280,000
KWA
1993/94
KIASI
597,000
1992/93
Jedwali Na 1:
39,970,000
200,000
15,000,000
4,704,000
56,173,000
12,706,000
984,000
1996/97
43,000,000
198,000
15,500,000
4,150,000
56,200,000
15,000,000
3,663,000
1997/98
49,165,000
19,856,000
4,070,000
1998/99
37
58.80
39.40
68.30
SHINYANGA
KIGOMA
107.20
MOROGORO
MUSOMA
28.40
LUSHOTO
99.7
64.20
TANGA
34.10
108,20
DSALAAM
MWANGA
86.50
MOSHI
UKEREWE
25.10
MBULU
91.7
72.30
ARUSHA
BUKOBA
1989/90
SEHEMU
79.80
60.40
66.30
100.80
45.70
77.70
109.40
39.20
113.90
135.80
114.60
113.30
1990/91
90.70
64.30
121.00
121.30
73.10
98.80
104.20
53.30
104.20
141.3
111.70
33.00
104.80
1991/92
91.60
80.80
145.30
202.30
106.10
124.40
160.20
68.80
160.20
195.80
169.80
114.00
157.39
1992/93
Jedwali Na 2:
124.00
116.40
209.50
278.40
130.60
165.40
201.50
81.90
201.50
214.60
230.80
126.30
180.60
1993/94
152.80
283.30
322.50
341.70
238.90
233.30
315.80
188.90
315.80
322.50
368.90
201.40
325.50
1994/95
248.10
196.90
228.10
235.2
310.00
371.40
320.50
196.20
320.50
337.50
321.90
323.20
320.50
1995/96
339.50
195.30
341.30
310.60
291.30
381.30
328.40
237.30
328.40
492.70
328.60
366.10
354.60
1996/97
491.70
145.80
429.25
304.60
256.25
258.30
300.00
330.00
412.00
555.00
432.50
368.00
408.00
1997/98
437.00
310.00
275.00
245.00
362.00
316.00
404.00
201.00
296.00
516.00
350.00
320.0
323.0
1998/99
38
48.90
75.00
45.80
41.10
21.80
82.50
58.20
68.40
34.60
47.50
67.50
MPWAPWA
SINGIDA
TABORA
URAMBO
MBEYA
NJOMBE
IRINGA
SONGEA
MBINGA
MTWARA
LINDI
151.30
55.00
93.60
86.40
51.70
38.10
53.40
63.10
61.30
35.00
53.10
89.00
280.00
52.50
132.10
60.00
26.70
60.00
76.00
98.00
59.40
109.00
78.10
312.40
196.00
222.90
55.00
161.00
76.30
45.10
100.50
92.10
58.30
126.90
83.30
252.50
275.50
187.60
62.30
205.60
130.40
48.50
Moshi
August - February
Arusha
June - September
January - December
Tanga
Jedwali Na 3:
June - November
Kagera
134.50
182.30
207.80
75.80
DODOMA
Source:
41.20
KASULU
561.20
725.00
257.5
175.00
200.00
139.20
86.70
320.40
205.80
230.60
240.10
405.60
345.80
June - September
Singida
662.40
640.00
415.00
200.00
328.00
114.50
805.00
260.10
189.60
281.30
175.10
224.00
230.60
August - November
Pwani
429.40
474.80
324.20
81.30
303.40
123.00
71.30
331.10
157.50
325.10
250.00
205.10
211.20
644.00
614.00
256.00
250.00
118.00
109.00
260.00
200.00
208.00
197.00
623.00
134.00
October - December
Morogoro
508.10
940.00
312.00
258.00
366.00
345.00
108.00
107.50
384.00
365.90
199.30
490.00
700.00
Namba 1
Namba 2
Namba 3
Namba 4
Namba 5
Namba 6
39
40