Sie sind auf Seite 1von 11

HABARI

HabariZA
za
NISHATI
nishati&MADINI
&madini

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Toleo
No.135
51
Toleo No.

Limesambazwa
kwa Taasisi
naTaasisi
Idarana
zote
MEM
Limesambazwa
kwa
Idara
zote MEM Tarehe - 23-29 Januari , 2015
Septemba 2 - 8, 2016

Wabunge

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AZINDUA RASMI BODI YA TANESCO -Uk2

WANAFUNZI WENGINE 20
KUSOMEA MAFUTA NA GESI CHINA

Waimwagia sifa MEM, TANESCO, REA

Somahabari Uk.2

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (wa tano kulia), Naibu Balozi wa China Gou Haodong (kulia kwa Waziri) pamoja
na wanafunzi waliopata ufadhili kusomea fani ya mafuta na gesi asilia katika Chuo kikuu cha GeoScience (Wuhan).
Mkurugenzi Mtend-

Mkurugenzi Mkuu wa
Naibu Waziri wa Nishati na
Naibu Waziri wa Nishati na
aji wa TANESCO,
WIZARA YA
NISHATI
ZANZIBAR,
BARA
ZAJADILI
REA, Dk. Lutengano
Madini, anayeshughulikia
Madini anayeshughulikia
Mhandisi Felchesmi
Mwakahesya
Madini Stephen Masele
Nishati, Charles Kitwanga
Mramba
UTAFUTAJI MAFUTA NA GESI ASILIA BAHARI YA HINDI
JWTZ wapongezwa kunusuru mtambo wa Msimbati-Uk4

Waziri wa Nishati
na Madini, Profesa
Sospeter Muhongo

>>>
UK. 6

Ofisi ya M awasiliano Serik alini inapokea habari za matukio mbalimbali


kwa ajili ya News Bullettin hii ya Wizar a ya Nishati na Madini
Ofisi ya Mawasiliano Serik alini inapokea habari za matukio mbalimbali
Wasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263
kwa
ajili ya News Bullettin
Jarida laGhorofa
Wizarya
a Tano
ya Nishati
au Fika hii
Ofisina
ya Mawasiliano
(MEM) na Madini
Wasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263
au Fika Ofisi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Barua pepe: badra77@yahoo.com

NewsBulletin

Habari za nishati/madini

http://www.mem.go.tz

Septemba 2 - 8, 2016

Wanafunzi wengine 20
kusomea Mafuta na Gesi China

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (katikati),


akizungumza na Waandishi wa habari katika kikao cha kuwaaga
wanafunzi waliopata ufadhili kosomea Mafuta na Gesi katika Chuo
kikuu cha GeoScience (Wuhan) makao makuu jijini Dar es Salaam.

Salmin Yusra (kushoto) akiishukuru Serikali kwa niaba ya wanafunzi


wenzake wa kike waliopata ufadhili kwenda kusomea Mafuta na
Gesi Asilia nchini China. Katikati ni Waziri wa Nishati na Madini,
Profesa Sospeter Muhongo.

Aidha, alisema kuwa


mwaka
2015-2016 wanafunzi 22
Na Rhoda James
walidhaminiwa na mwaka huu 20162017 wanafunzi 20 wamenufaika
aziri wa Nishati na
ambapo wawili kati yao tayari wapo
Madini, Profesa
China.
Sospeter Muhongo
Wanafunzi hao walioteuliwa
amewaaga na
kwenda
kusoma katika Chuo Kikuu
kuwakabidhi
cha Sayansi cha Wuhani huko
Nyaraka za masomo wanafunzi 18
China, wamechaguliwa kutoka
kati ya 20 wanaokwenda kusomea
katika vyuo vikuu mbalimbali vya
Shahada ya Uzamivu na ya Uzamili
Tanzania na kwa kuzingatia jinsia.
ya Mafuta na Gesi Asilia katika
Aidha, alieleza kuwa, Serikali
imekuwa ikitoa kipaumbele kwa
wanafunzi wa kike kusoma masuala
ya Mafuta na Gesi asilia na mwaka
huu, wanafunzi 10 wa kwanza, wa
kike waliopata ufadhili kusomea
mafuta na Gesi Asilia watasomea
Shahada ya Uzamili katika chuo cha
Geoscience (Wuhan).
Nendeni msome kwa bidii
bila kujishughulisha na biashara
yoyote, kwa kuwa nchi ya Tanzania
bado inahitaji wataalamu wa fani
ya Mafuta na Gesi asilia, alisisitiza
Profesa Muhongo.
Kwa upande wake Naibu
Balozi wa China, Gou Haodong
alimshukuru Profesa Muhongo kwa
kujali na kuifanya kazi yake kwa
ufanisi na kusaidia upatikanaji wa
nafasi hizo kwa ajili ya wanafunzi wa
Tanzania kwenda kusomea masuala
ya Mafuta na Gesi Asilia nje ya nchi.
Profesa Muhongo amekuwa
katika mstari wa mbele katika
kutafuta vyuo na ufadhili kwa ajili
ya wanafunzi wa Tanzania, hii
inaonesha anaipenda kazi yake na
Mkini Raphael Iddphonce, akitoa shukurani kwa Serikali kwa niaba ya wanafunzi wenzake wa kiume
anaifanya kwa ufanisi mkubwa,
waliopata ufadhili kwenda kusomea Mafuta na Gesi Asilia nchini China. Katikati ni Waziri wa Nishati na alisema Naibu Balozi wa China Gou
Madini, Profesa Sospeter Muhongo.
Haodong

mbalimbali ikiwemo Mafuta na Gesi


asilia.
Chuo Kikuu cha Wuhan nchini
Aliongeza kuwa, kwa kipindi
China.
cha
miaka minne Serikali ya China
Akikabidhi Nyaraka hizo jijini
imetoa
ufadhili wa masomo katika
Dar es Salaam hivi karibuni, Profesa
sekta mbalimbali ambapo jumla ya
Muhongo alisema kuwa, Masomo
wanafunzi 62 wamenufaika mpaka
ya Wanafunzi hao yamedhaminiwa
sasa.
na Serikali ya China kwa kushirikiana
Akielezea zaidi, Profesa
na Serikali ya Tanzania.
Muhongo alisema kuwa, mwaka
Profesa Muhongo alisema
2013-2014 wanafunzi 10 walinufaika
kuwa, Serikali ya China imekuwa
na mwaka 2014-2015 wanafunzi
ikitoa udhamini wa masomo ya fani
wengine 10 walinufaika pia.

NewsBulletin

Habari za nishati/madini

http://www.mem.go.tz

TAHARIRI
Tumetekeleza!
Kwa mujibu wa Ripoti Maalum ya Wizara, Sekta za Nishati
na Madini, zina mchango mkubwa wa ukuaji wa uchumi katika
Taifa lolote duniani. Kwa kutambua umuhimu wa sekta hizo
nchini, Serikali katika bajeti yake ya mwaka 2016/17 iliidhinisha
jumla ya Shilingi 1,122,583,517,000 ikilinganishwa na Shilingi
642,123,079,000 zilizoidhinishwa na Bunge Mwaka 2015/16, sawa
na ongezeko la asilimia 74.8.
Ongezeko hilo lilitokana na kuongezeka kwa bajeti ya fedha
za ndani za Wakala wa Nishati Vijijini (REA) lengo likiwa ni
kuhakikisha kuwa wananchi wengi, hususan waishio vijijini
wanapata huduma ya umeme.
Katika utekelezaji wa bajeti yake, Wizara imeweka vipaumbele
mbalimbali katika sekta za nishati na madini. Vipaumbele katika
sekta ya nishati ni pamoja na kuimarisha uzalishaji, usafirishaji na
kuongeza kasi ya usambazaji wa umeme nchini kwa maendeleo ya
Taifa na kuendelea na utekelezaji wa Mpango wa Kuboresha Sekta
ya Umeme (Electricity Supply Industry Reform Strategy).
Vipaumbele vingine katika sekta ya nishati ni pamoja na
kuendeleza nishati jadidifu kama vile jotoardhi na tungamotaka;
kuwezesha uanzishwaji wa mtandao wa usambazaji wa gesi asilia
pamoja na uendelezaji wa mradi wa kusindika gesi asilia (Liquefied
Natural Gas - LNG) na kuvutia uwekezaji katika Sekta ya Nishati,
hususan kwenye uzalishaji wa umeme na katika utafiti wa mafuta
na gesi asilia.
Vipaumbele katika sekta ya madini ni pamoja na kuimarisha
ukusanyaji wa Mapato ya Serikali yatokanayo na rasilimali za
madini kwa kuziwezesha Ofisi za Madini za Kanda, Ofisi za Afisa
Madini Wakazi pamoja na Kitengo cha Leseni kilichopo Makao
Makuu ya Wizara na kuendeleza wachimbaji wadogo na wa kati
wa madini kwa kuwatengea maeneo ya uchimbaji na kutoa ruzuku.
Vipaumbele vingine ni pamoja na kuhamasisha shughuli za
uongezaji thamani wa madini; kuimarisha ufuatiliaji na ukaguzi
wa afya, usalama, mazingira na uzalishaji wa madini katika migodi
midogo, ya kati na mikubwa; na kuendelea kuhamasisha uwekezaji
katika Sekta ya Madini.
Kutokana na mikakati iliyowekwa na Wizara katika uimarishaji
wa sekta ya nishati, kiwango cha upatikanaji wa huduma ya
umeme (access level) kimekuwa kikiongezeka mwaka hadi mwaka.
Watanzania waliofikiwa na huduma hiyo wameongezeka kutoka
asilimia 36 mwezi Machi, 2015 hadi kufikia takriban asilimia 40
mwezi Aprili, 2016. Ongezeko hilo limetokana na juhudi za Serikali
za kusambaza umeme nchini kupitia Wakala wa Nishati Vijijini
(REA) na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO).
Mafanikio mengine yaliyopatikana katika sekta ya nishati ni
pamoja na uimarishwaji wa miundombinu ya uzalishaji umeme,
kuimarisha Shirika la Umeme Nchini (TANESCO), kuongezeka
kwa kasi ya usambazaji wa umeme vijijini, kuongezeka kwa
uwekezaji kwenye sekta ya gesi asilia na mradi wa bomba la
kusafirisha mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi katika
bandari ya Tanga nchini Tanzania.
Mafanikio yaliyopatikana katika sekta ya madini ni pamoja na
uanzishwaji wa madawati kwa ajili ya kukagua madini kwenye
viwanja vya ndege ambapo tangu kuanzishwa kwa madawati hayo
mwaka 2012
Tangu madawati maalumu yaanzishwe mwezi Julai, 2012
hadi mwezi Juni, 2016, madini mbalimbali yakiwemo tanzanite,
dhahabu, fedha na madini mengine ya vito yenye uzito wa kilo
2,893.54 na karati 2,971.85 yalikamatwa yakitoroshwa nje ya nchi
katika matukio 98. Thamani ya madini hayo ni takribani Dola za
Marekani milioni 10.8 na Shilingi bilioni 1.3, kuimarisha uchimbaji
mdogo kupitia utoaji ruzuku na uhamasishaji wa ushiriki wa
wazawa katika sekta ya madini.
Tunaipongeza Serikali kwa mafanikio pamoja na mikakati
iliyojiwekea ili kuhakikisha kuwa sekta za nishati na madini
zinakuwa na mchango mkubwa kwenye ukuaji wa uchumi wa n
chi. HAKIKA TUMETEKELEZA!

Septemba 2 - 8, 2016

USIKOSE KUFUATILIA MAHOJIANO YA WAZIRI


WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER
MUHONGO KATIKA KIPINDI MAALUM CHA
TUNATEKELEZA, KITAKACHORUSHWA
KUPITIA TBC1 TEREHE 2 SEPTEMBA, 2016,
KUANZIA SAA 12:00 HADI SAA 1:00 JIONI.

KWA HABARI PIGA SIMU


kitengo cha mawasiliano

TEL-2110490
FAX-2110389
MOB-0732999263
Bodi ya uhariri
Msanifu: Lucas Gordon
Waandishi: Veronica Simba, Asteria Muhozya, Greyson
Mwase, Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda James ,
Nuru Mwasampeta na Zuena Msuya

Five
Pillars of
Reforms
increase efficiency
Quality delivery
of goods/service
satisfAction of
the client
satisfaction of
business partners
satisfAction of
shareholders

Habari za nishati/madini

Septemba 2 - 8, 2016

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Tanzania na Japan kuimarisha ushirikiano

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kulia)


akijadiliana jambo na Rais wa Chama cha Uchumi na Maendeleo ya
Afrika (AFRECO),Tetsuro Yano (kushoto).

Na Mohamed Saif

erikali imesisitiza umuhimu


wa kupanua ushirikiano
wake na Japan katika nyanja
mbalimbali ili kuleta tija kwa
nchi zote mbili.
Hayo yalielezwa hivi karibuni
na Waziri wa Nishati na Madini,
Profesa Sospeter Muhongo
alipokutana na ujumbe kutoka Japan
ulioongozwa na Rais wa Chama
cha Uchumi na Maendeleo ya
Afrika (AFRECO), Tetsuro Yano
aliyeambatana na Balozi wa Japan
nchini Tanzania, Masaharu Yoshida.
Ujumbe huo kutoka Japan
ulimtembelea Waziri Muhongo
ofisini kwake ili kujadiliana masuala
mbalimbali ikiwemo uwepo wa fursa
za uwekezaji na ushirikiano baina ya
nchi hizo mbili.
Waziri Muhongo alisema
ushirikiano baina ya Tanzania na
Japan ni wa kihistoria na ni wa
muda mrefu ambao unapaswa
kuendelezwa kwa manufaa ya nchi
zote mbili.

Alisema Tanzania inaingia


katika uchumi wa viwanda na hivyo
unahitajika ushirikiano wa dhati
kwenye nyanja mbalimbali ili kuifikia
dhamira hiyo.
Aidha, Waziri Muhongo
aliainisha baadhi ya maeneo ya
ushirikiano kuwa ni uzalishaji na
usambazaji wa nishati ya umeme;
utafutaji wa mafuta na gesi;
uchimbaji wa madini yaliyo katika
kundi adimu (Rare Earth Elements)
na kuwajengea uwezo vijana wa
Kitanzania.
Tanzania inaelekea katika
uchumi wa viwanda na hivyo
kuna uhitaji mkubwa wa nishati
ya umeme; tunahitaji kushirikiana
kuzalisha na kusambaza umeme;
na tunahitaji ufadhili wa masomo
ya elimu ya juu kwa vijana wetu,
alisema.
Kwa upande wake Yano alisema
Japan ipo tayari kushirikiana na
Tanzania na kwamba zipo kampuni
nyingi za nchini Japan ambazo
zimeonesha nia na zipo tayari
kuwekeza nchini.

Wajumbe wa mkutano wakimsikiliza mkalimani wa ujumbe kutoka


Japan,Tasmin Akbar (hayupo pichani). Upande wa kulia ni Maafisa
kutoka Wizara ya Nishati na Madini na upande wa kushoto ni Ujumbe
kutoka Japan.

Baadhi ya Maofisa kutoka Wizara ya Nishati na Madini waliohudhuria


mkutano huo wakifuatilia majadiliano. Wa kwanza kulia ni Tulimbumi
Abel, Fortunatus Mlwanda na Mhandisi Ahmed Chinemba.

Waziri wa Nishati na Madini,


Profesa Sospeter Muhongo (wa
tatu kutoka kushoto) katika
picha ya pamoja na ujumbe
kutoka Japan uliomtembelea
ofisini kwake. Kulia kwake ni
Rais wa Chama cha Uchumi
na Maendeleo ya Afrika
(AFRECO),Tetsuro Yano na
kushoto kwake ni Balozi
wa Japan nchini Tanzania,
Masaharu Yoshida.

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Habari za nishati/madini

Septemba 2 - 8, 2016

WIZARA YA NISHATI ZANZIBAR, BARA ZAJADILI


UTAFUTAJI MAFUTA NA GESI ASILIA BAHARI YA HINDI
Na Asteria Muhozya

atendaji kutoka
Wizara ya Nishati
na Madini na
Wizara ya Maji,
Ardhi, Nishati na
Mazingira ya Zanzibar, mwishoni
mwa juma walikutana katika kikao
kilichojadili Utafutaji wa Mafuta
na Gesi Asilia kwenye maeneo ya
Bahari ya Hindi.
Kikao hicho kilijadili kuhusu
umuhimu wa kuimarisha mahusiano
na ushirikiano zaidi katika sekta

ya nishati ambayo ina mchango


mkubwa katika ukuaji wa uchumi.
Pia, mbali na kujadili suala la
utafiti wa Mafuta na Gesi asilia, kikao
hicho kilijadili masuala ya nishati ya
umeme kwa upande wa Tanzania
Bara na Zanzibar.
Aidha, Taasisi nyingine
zilizoshiriki katika kikao hicho ni
Watendaji kutoka Shirika la Umeme
Tanzania, (TANESCO), Shirika la
Umeme Zanzibar (ZECO), Shirika
la Maendeleo ya Petroli Tanzania
(TPDC) na Mamlaka ya Udhibiti
wa shughuli za Mkondo wa Juu wa
Mafuta (PURA).

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia


Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo (katikati) akiongoza kikao
baina ya Watendaji kutoka Wizara ya Nishati na Madini na Wizara
ya Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira ya Zanzibar. Kikao hicho pia
kilihudhuriwa na Wataalam kutoka Shirika la Maendeleo ya Petroli
Tanzania TPDC, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Shirika la
Umeme Zanzibar (ZECO) na Mamlaka ya Udhibiti wa shughuli za
Mkondo wa Juu wa Mafuta (PURA).

Wajumbe wa kikao wakifuatilia kikao baina ya Wizara ya Nishati


na Madini na Viongozi Waandamizi kutoka Wizara ya Maji, Ardhi,
Nishati na Mazingira ya Zanzibar.Wa kwanza kulia ni Naibu Katibu
Mkuu wa Wizara ya Maji, Ardhi, Nishati na Mazingira Zanzibar,
Tahir Abdallah. Katikati ni Mkurugenzi wa Idara ya Nishati Zanzibar,
Mohamed Abdallah.

Mtaalam kutoka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania,Verosa


Ngowi akiwaonesha wajumbe wa kikao ramani inayoonesha maeneo
ya shughuli za Utafiti wa Mafuta na Gesi nchini.

Meneja Mkuu
wa Shirika
la Umeme
Zanzibar (ZECO)
Hassan Mbarouk,
akiongea jambo
wakati wa kikao
baina ya Wizara
ya Nishati na
Madini, watendaji
kutoka Taasisi na
Wizara ya Maji,
Ardhi, Nishati
na Mazingira
kilichojadili
Utafutaji wa
Mafuta na Gesi
kwenye maeneo
ya Bahari ya
Hindi.

Habari za nishati/madini

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Septemba 2 - 8, 2016

SMMRP transforms the Central


Zone - DODOMA AND SINGIDA
By Greyson Mwase

n its efforts to improve the benefits


of the mineral sector for Tanzania,
the Sustainable Management
of Mineral Resources Project
(SMMRP) has transformed
the Geological Survey of Tanzania
(GST), which is the government
agency responsible for the acquisition
and storage of geo-scientific data
and information used in the mineral
resources sector and other sectors of the
economy.
The GST sets out to actively
promote mineral exploration and
mining in Tanzania. Its core activities
include geological mapping, mineral
exploration, evaluation, and processing,
and research work on geological
processes, mineral systems and
geohazards.
Prior to the SMMRPs involvement,
GST faced a number of challenges.
First, the agency lacked a lot of the
necessary geochemical and geophysical
equipment, laboratory equipment for
research and field equipment.
On the technical side, many parts
of the country required airborne
geophysical surveys as they were covered
by soil, and there was no other way to
collect physical information. However,
since the GST did not have the funds to
cover such a big geographical area, they
were able to cover only two Quarter
Degree Sheets (QDS) a year.
Furthermore, in the past, before the
use of GPS, there was a lot of inaccurate
approximation of data in the databases,
because the equipment used was not
precise, and data was taken by different
people at different times. Although
the data was later converted into

digital form, the information is still not


centralized, being dispersed in several
different offices.
Furthermore, since the buildings
were old, they faced frequent
maintenance issues, and there were
not enough offices, with the few that
were present partitioned to make space
for the workers. The GST also had an
inadequate size generator and inferior
printing systems that couldnt serve the
office sufficiently.
As SMMRP began implementing
aid in 2012, the GST received ICT
equipment such as computers that
are able to develop geoscience maps,
software for the digitization and
interpretation of geodata and maps such
as Arc-GIS, Geosoft and Imagine. The
SMMRP also provided new printing
facilities, including plotter machines,
scanners for maps, heavy-duty printers
and servers for data storage. Also
established was a geological data
management system to centralize all
geoscientific data, information and
maps.
The GST received equipment for
the chemistry laboratory, including
an in-lab and portable XRF (X-ray
Fluorescence) machine for chemical
analysis, an ICP (Induced Coupled
Plasma) machine for in lab chemical
analysis, and an AAS (Atomic
Absorption Spectrophotometer) fitted
with a graphite furnace that can analyse
elements with low concentration. The
SMMRP also provided consumables
like chemicals and glassware.
The GST also received geophysical
equipment including GPS (Global
Positioning System) devices,
magnetometers, spectrometers and
a bore-hole logger. Also provided

Director of Database and Information Services,Yokbeth Myumbilwa


from Geological Survey of Tanzania (GST) (right), explains the
functions of the printer (pictured) in the plotter room. At left is a
technician, Mujuni Desdevy.

Director of Database and Information Services,Yokbeth Myumbilwa


from the Geological Survey of Tanzania (GST) (left), explains
the use of the photocopier machine provided by Sustainable
Management of Mineral Resources Project (SMMRP). On the right
is Clement Mwasimila.
was equipment for fieldwork such as
camping facilities, field laptops, tough
books, compasses, digital cameras,
tents, field sieve shakers, chairs, tables,
geological hammers, sleeping bags, a
field vehicle, lorries, field generators, field
refrigerators, lab refrigerators and a 300KV generator.
Moreover, the project built the
agency a geotechnical laboratory
equipped with most of the necessary
equipment as well as mineral processing
equipment such as a grinding mill and

core boxes to store core samples from


drilling.
Along with the geotechnical
laboratory, the SMMRP built an
administration block with two floors
that will serve as offices for senior
officers from the Ministry of Energy
and Minerals. It also rehabilitated the
old GST offices. Finally, the GST also
received a bigger transformer to help
stabilize the large amount of power
needed to run the new equipment.
In terms of technical work, the

Some of the offices at the Geological Survey of Tanzania (GST) that


have been rehabilitated through the Sustainable Management of
Mineral Resources Project (SMMRP).

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Habari za nishati/madini

Septemba 2 - 8, 2016

SMMRP transforms the Central Zone - DODOMA AND SINGIDA

Director of Database and Information Services,Yokbeth Myumbilwa


from Geological Survey of Tanzania (GST), explain how the library
has been rehabilitated through the Sustainable Management of
Mineral Resources Project (SMMRP).
project facilitated a high resolution
air-borne geo-physical survey, which
covered 15% of the country, with
magnetics, radiometrics, and gravity and
electromagnetic as its main parameters
in Morogoro, Tanga, Mbeya, Dodoma,
Singida, among others.
They also facilitated ground geoscientific work including geological,
geochemical and ground geophysical
surveys in selected QDS in the flown
areas that covered 56% of the country,
after which they managed to publish all
the findings including reports and maps.
Through the SMMRP, GST was
able to update the Mineral Occurrence
Database for which a total of 1,500
localities of mineral occurrences were
visited and verified, from which an
updated Mineral Occurrence Database
and a minerogenic map of Tanzania and
its explanatory notes was published.
The project also financed a
portal; www.gmis-tanzania.com,
an online version of the Geological
and Mineral Information System of
Tanzania (GMIS) which provides
the main geoscientific information
about Tanzania, such as geo-scientific
maps, mineral occurrences, boreholes,
geochemical and geophysical data to the
Government, the private sector, other
stakeholders and the general public.
Yokbeth Myumbilwa, Director of
Database and Information Services
at the GST, explains that the new
technology has made fieldwork easier
and imparted significant new knowledge
to GST workers. With the new
equipment, work has become more
efficient and performance has improved
greatly, she adds.
However, Myumbilwa noted that
many places in the country still need
surveying so funds are needed for
geoscientific work. She suggests that
high- resolution air-borne geophysical
survey continue to be done, especially
in areas with small-scale miners, due to

the years of disturbance on the land they


work on.
She concluded that GST needs
training so staff can make the best
use of the new equipment since it is
very technical and training on how
to thoroughly process, integrate and
interpret data, as well as office and field
equipment for new staff and furniture
for the rehabilitated offices.
In Singida, the Sustainable
Management of Mineral Resources
Project (SMMRP) aided the Zonal
Mines Office for the Central Zone.
The office oversees mining activities
in Dodoma, Tabora, Shinyanga and
Singida itself. It received a power
generator and field equipment such
as GPS (Global Positioning System)
devices, an EPBS (Earth Pressure
Balanced Shield), safety gear and
measuring instruments for gas and other
elements.
According to the Assistant
Commissioner for Minerals for the
Central Zone, Sostenes Massolla, the
generator has been very helpful, allowing
the office to continue work, even during
power cuts.
However, Gabriel Senge, a Mining
Engineer at the office, highlights that the
Mines Office still needed some up-todate office equipment such as network
photocopiers as well as furniture.
He adds that the office was also
in need of more field vehicles as they
currently have only one that the staff
must share.
We would also like to appeal to the
Project to assist us with the outstanding
external works here at the office,
including electrifying the surrounding
fence and the security post as well as
providing shaded parking spaces, says
Senge.
We would also appreciate more
training opportunities so as to continue
to build capacities, as well, he concludes.

Mohammed Zengo from the Chemical Laboratory of the Geological


Survey of Tanzania (GST) explains the use of an SAS machine
donated by the Sustainable Management of Mineral Resources
Project (SMMRP).

Mohammed Zengo from the Chemical Laboratory of the Geological


Survey of Tanzania (GST) explains the use of a furnace for gold
analysis that has been donated through Sustainable Management
of Mineral Resources Project (SMMRP).

The building at Geological Survey of Tanzania (GST) (pictured) that


has been rehabilitated through the Sustainable Management of
Mineral Resources Project (SMMRP).

Habari za nishati/madini

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Septemba 2 - 8, 2016

SMMRP spends 2.33m


USD for the TGC expansion
Tanzania
Gemmological
Centre (TGC)
buildings that
have been
rehabilitated
through the
Sustainable
Management
of Mineral
Resources
Project (SMMRP)

By Greyson Mwase,
Arusha

n order to ensure that all Tanzanians


benefit from the mining sector, the
Government of the United Republic
of Tanzania through the Ministry of
Energy and Minerals established the
Tanzania Gemmological Centre (TGC).
The aim was to create more experts on
the gemstone industry in Tanzania. The
Centre is strategically located in Arusha
town, which is an important gemstone
centre in Africa.
Explaining about the Centre, the
Coordinator of TGC Musa Shanyangi
says that the TGC was established in
2003 as East and Central Africas first
educational facility devoted exclusively
to the study of gemmology, lapidary and
jewellery technology.
He says its major aim is two-fold: to
provide professional training for those
planning to become or already involved in
the gem and jewellery trade as well as to
expand the knowledge and appreciation of
gemstones among members of the general
public.
In promoting value-added activities
in the gemstone sector, the Ministry of
Energy and Minerals has established TGC
to promote and facilitate value-addition
activities in Tanzania in line with the
Mineral Policy of Tanzania.
Shanyangi explains that the centre is
currently running a lapidary course which
started in November, 2014 with a highly
experienced and knowledgeable Srilankan
instructor in lapidary and jewellery design
and manufacturing.
He adds that the programme has
been producing graduates who are selfenterprising and able to meet the challenges
of the gemstone industry in the country.
The programme also develops
self-realization and entrepreneurship
skills that will enable the graduate to be
self employed and result into social and
economic development, he explains
He further explains that 29 female
students have already graduated since the
establishment of the programme, adding
that they were sponsored by the Arusha
Gem Fair Committee comprised of
members from the Ministry of Energy and
Minerals and Tanzania Mineral Dealers
Association (TAMIDA)
Expanding on the vision of the Centre,

Shanyangi explains that the Centre aims


to be an effective internationally accredited
gemmological institute, contributing
significantly to sustainable development
through value-addition activities on
minerals in Tanzania.
He further explains that its mission is to
be the centre of excellence in gemmological
services in Africa, providing training and
promotion of gemstone and ornamental
stone products.
The courses offered by the institution
include professional certificate in gemstone
cutting and polishing (lapidary) and
professional certificate in gemstone and
rock carving.
Shanyangi further mentions that
courses to be offered in the near future
include the science of gemmology,
gem identification, jewellery design
and manufacturing, computed-aided
design, ornamental stone working
(carving, tumbling and beading) as well
as establishment of gemstone testing
laboratory and gem and jewellery
museum.
Explaining the benefits of SMMRP
to the centre, Shanyangi says that
centre received 2.33 million US Dollars
whereby 796,880 USD were used for the
rehabilitation of the buildings and 1.3
million USD were used for the purchasing
of training equipment. Training samples
were purchased for 170,008 US Dollars,
and the other 250,260 US Dollars have
been budgeted for consultancy services.
Shanyangi expanded on the great
changes the SMMRP grant has brought to
the centre. Five trainers who will be paid by
SMMRP were recruited from abroad, thus
contributing to the provision of the best
quality education in the areas of lapidary,
gemmology, stone carving, jewellery design
and manufacturing.
He adds that the centre has already
started procuring office furniture as well as
IT equipment such as laptops, computers,
heavy duty printers, photocopy machines,
and scanners.
He further adds that the centre is
planning to buy gem and jewellery
textbooks for the library as well as to
purchase showcases for displaying gem and
jewellery in the gem and jewellery museum
that will be established later.
We thank the World Bank though
SMMRP for the great support that has
contributed to the expansion of the centre

The coordinator for Tanzania Gemmological


Centre (TGC), Musa Shanyangi, explains the
contribution of the Sustainable Management
of Mineral Resources Project (SMMRP) to the
expansion of the centre.

The coordinator for Tanzania Gemmological Centre (TGC), Musa


Shanyangi (left) shows some samples of gemstone products at the
show room that has been rehabilitated through the Sustainable
Management of Mineral Resources Project (SMMRP). Right is an
officer from the SMMRP,Veronica Nangale.

The coordinator for Tanzania Gemmological Centre (TGC), Musa


Shanyangi (right), highlights a point at lapidary workshop
to enable it to become the centre of
excellence in gemmological services in
Africa, Shanyangi says.
Shanyangi asks the SMMRP for
more support especially in buying
more training samples for gemstone
identification and 3,000 specimens

representing low, medium and high


grades.
He also proposes financing training
for Tanzanians that will reduce the cost
of hiring the consultants from abroad to
teach in Tanzania.

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Habari za nishati/madini

Septemba 2 - 8, 2016

CURRENT TRENDS
By Raphael B.T. Mgaya

THE FINANCE ACT 2016 AND ITS IMPLICATION


TO THE PETROLEUM INDUSTRY - PART III
INTRODUCTION
The Finance Act, 2016 which was
debated and passed by the Parliament
of the United Republic of Tanzania
at the previous parliamentary sessions
was published through the Gazette of
the United Republic of Tanzania No.
21, Vol. 97 dated 17th June 2016.
This article is a continuation of
the previous two articles published in
Issue 132nd and Issue 134th. In the
previous article the author discussed
the new tax elements that have been
introduced by the Finance Act,
2016 (hereinafter the FA) via the
amendment of several laws. In this
article, the author examines other tax
elements introduced by the FA by
amendment of various legislations.
AMENDMENT OF INCOME
TAX ACT
Rules of Depreciation allowances
The Finance Act has introduced
new rules on depreciation of assets
related to petroleum industry by
amending the Third Schedule to
the Income Tax Act. The whole
depreciation allowance expenditure
incurred in respect of the petroleum
during the year of income shall
be placed in separate pool. The
depreciation allowance shall be
granted with respect to each pool of
expenditure at the rate stated below:
Year of Income
FirstYear
SecondYear
ThirdYear
FourthYear
FifthYear

Depreciation
Allowance
20 %
20%
20%
20%
20%

The depreciation allowance which


is granted with respect to a particular
year of income shall be taken in that
year and shall not be deferred to later
years of income.
Where an asset for which
depreciation allowance have been

or may be granted is realized under


the year of income, if the incomings
derived from the realization of an
asset(s) exceeds the written down
value of the pool of depreciable
asset, the excess can be included
in calculating the income from the
petroleum operations in that year. In
case the written down value of the
pool of depreciable assets exceeds
the value of incomings derived from
realization of all assets in the pool, the
excess of written of down value in the
pool of assets may be granted in the
year of income and the pool shall be
dissolved. These principles are set out
under Section 36 of the Finance Act.
AMENDMENT OF THE TRA
ACT, CAP. 399
TRA to collect all revenues under
laws
The Finance Act amends the
Tanzania Revenue Authority (TRA)
Act in effect giving TRA the mandate
to collect revenues under laws
specified under the First Schedule of
the TRA Act.
Section 5(e) of the TRA Act
which provides the function of TRA
is amended by s.49 of the Finance
Act. According to this new Section,
the other function of added to TRA
following the coming into force of the
Finance Act is to assess, collect and
account for all revenues charged under
non-tax laws specified under Part B of
the First Schedule.
Precedence over other Laws
In case of conflict between
the provision of Finance Act and
provision of non-tax laws the
provisions of the Finance Act take
precedence.
Revenues Defined
According to the Finance Act,
revenues include fees, fines, rates or
other monies imposed by or collected
under the laws specified under the
First Schedule. The First Schedule
includes non-tax laws such as the
Petroleum Act, CAP. 392 and the
Oil and Gas Revenue Management,

CAP. 328.
This means, training and annual
fees which under the Petroleum Act
were to be collected and or used
by PURA and or the Tanzania
Petroleum Development Corporation
will now to be collected by TRA.
The Finance Act also includes other
monies imposed by or collected
under the laws this means sales of
data also fall under the ambit of this
new law. The annual fees, training
fees and revenues from the sales of
data hitherto have been instrumental
in building capacity in the industry.
Most of us have luck to get training
from around the world through
the financing from these monies. It
remains to be seen to what extent this
new paradigm will have an impact
on the capacity building in the energy
sector in country.
Non Tax Laws must be Gazetted
Before TRA starts collecting
revenues under the non-tax laws the
Minister of Finance must first issue
a notice in the Government Gazette
to that effect. Before the non-tax law
which has not yet been gazetted will
continue to be administered by the
respective authority until it is gazetted.
AMENDMENT OF THE TAX
ADMINSTRATION ACT, CAP.
438
Disclosure of Contractors and
sub-contractors
The Tax Administration Act,
CAP. 438 is amended by Section 57
of the Finance Act by adding to it
Section 44A which states that any
entity engaged in the construction
and extraction industry shall disclose
to the Commissioner General the
names of all persons contracted
and sub-contracted in the course of
performance of their duty or business
or carrying our any project. A party
that fails to disclose the names of
person contracted and sub-contracted
is liable to pay a fine of 25% of the
quantum payable or fine of not
exceeding 4000 currency points

whichever is greater.
Security of Costs with Respect to
Objection of a Tax Decision
Section 51(5) of the Tax
Administration Act is amended by
Section 58 of the Finance Act by
introducing the following wording:
any objection to any decision shall
not be admitted unless the taxpayer
has, within a period of 30 days from
the date of service of tax decision
paid the amount of tax which is not
in dispute or one third of assessed
tax decision whichever amount is
greater.
Powers of the Minister and the
Commissioner General
The Minister for Finance may in
consultation with the Commissioner
General remit the interest imposed
under any tax law up to an amount of
50%. Upon being satisfied that there
is a good cause, the Commissioner
General may remit penalty imposed
under tax law, wholly or in part.
AMENDMENT OF THE
VOCATIONAL EDUCATION
AND TRAINING ACT
Reduction in Skills Development
Levy
All employers with at least 4
employees are obliged to a skill
development levy chargeable under
Section 14 (2) of the VETA Act. The
rate has been reduced from 5 percent
to 4.5 percent. The levy is charged on
annual wage bill but paid quarterly.
This is a relief to companies including
oil and gas exploration companies.
CONCLUSION
There cannot be a better
evidence to show that the Fifth
Phase Government is committed to
maximize the tax revenues and curb
all loop holes for tax evasion than the
Finance Act, 2016. It remains to be
seen how this will have influence to
the economic progress of our great
country.

The author is an advocate of the Superior Courts in Tanzania and subordinate courts save the Primary Courts. He currently works as a
Senior Legal Officer for the Ministry of Energy and Minerals. He holds LLB (Hons.) (Dar); LLM (Intl law) (Warwick); LLM (Oil and Gas law)
(RGU Aberdeen); MBA (Mzumbe); CLE (Mississippi).
He can be reached through: raphael.mgaya@gmail.com
DISCLAIMER:
Views expressed herein are entirely authors views and should not be associated with his employer.

10

Habari za nishati/madini

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Septemba 2 - 8, 2016

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA


WIZARA YA NISHATI NA MADINI

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA


MINISTRY OF ENERGY AND MINERALS

NAFASI ZA MAFUNZO YA
UKATAJI VITO KWA WANAWAKE

APPOINTMENT TO BOARD OF DIRECTORS OF


THE PETROLEUM UPSTREAM REGULATORY
AUTHORITY (PURA)

Kamati ndogo ya kusimamia Mfuko wa Maendeleo


ya Wanawake (Women Foundation Fund) iliyo chini
ya Kamati ya Maandalizi ya Arusha Gem Fair (AGF)
inatangaza nafasi 18 za mafunzo ya muda mfupi katika
fani ya ukataji na usanifu wa madini ya vito (lapidary
training course). Mafunzo hayo yatatolewa katika Kituo
cha Jemolojia Tanzania (TGC), kilicho chini ya Wizara
ya Nishati na Madini, kilichoko eneo la Themi, Jijini
Arusha kuanzia mwezi Octoba, 2016. Atakayechaguliwa
kujiunga atalipiwa ada na posho ya kujikimu
kumuwezesha kuhudhuria mafunzo kila siku. Hata hivyo,
atajitegemea malazi kwa muda wote.

29th August, 2016


Pursuant to Section 27 of the Petroleum Act, 2015, the
Nomination Committee hereby invites qualified candidates
to apply for consideration to the appointment to the Board of
Directors of the Petroleum Upstream Regulatory Authority
(PURA).
QUALIFICATIONS REQUIRED
Pursuant to Section 17 of the Petroleum Act, 2015, the
Nomination Committee shall consider for appointment to
the Board of Directors of PURA suitable candidates with the
following qualifications:
a)

Citizen of Tanzania and graduate of accredited


University;

b)

Person of moral character, proven integrity, and


professional competence;

c)

At least ten (10) years experience in petroleum


geosciences or engineering; health, safety and
environment maters; law; business administration and
management; and finance and economics or chemical
processing or refinery engineering;

Muda wa mafunzo ya cheti cha Lapidary Technology


utakuwa miezi sita (6).

d)

Knowledge of the petroleum industry;

e)

No conflict of interest with the Authoritys activities; and

Sifa za Mwombaji

f)

Available for service as and when required.

g)

Previous Applicants are Encouraged to Reapply.

Lengo la Mafunzo
Lengo la mafunzo haya ni kuwawezesha wanawake
kujiajiri au kuajiriwa katika fani ya ukataji na usanifu
madini ya vito ili kuongeza thamani ya madini hayo.
Muda wa Mafunzo

Awe mwanamke Mtanzania mwenye umri usiozidi


miaka 30; na
Awe na elimu ya kidato cha nne na kuendelea
mwenye kufaulu Kingereza na Hisabati.

Barua za maombi, CV na vyeti vitumwe kwa: Mwenyekiti, Kamati ya AGF Women Foundation
Fund, S. L. P. 641, Arusha; au yaletwe kwa mkono
katika ofisi za Madini Kanda ya Kaskazini zilizopo
Themi, Njiro. Kwa maelekezo zaidi piga simu Namba
027 254 4079. Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe
16/09/2016.

Applications from suitable candidates enclosing certified copies


of relevant certificates and Curriculum Vitae (CV) should reach
the undersigned within fourteen (14) days from the date of this
advertisement. The CV should include names, addresses, and
contact telephone numbers and e-mails of three references. The
envelope should be marked on to APPOINTMENT TO THE
BOARD OF DIRECTORS OF PURA
Prof. J. W Ntalikwa
Permanent Secretary
Ministry of Energy and Minerals,
5 Samora Machel Avenue,
P.O. BOX 2000, 11474, DAR ES SALAAM.
Email: ps@mem.go.tz

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Habari za nishati/madini

Septemba 2 - 8, 2016

11

Das könnte Ihnen auch gefallen