FAKSI: 255 22 2460735/2460700 S.L.P. 3056 Barua pepe: met@meteo.go.tz DAR ES SALAAM Tovuti: www.meteo.go.tz
Unapojibu tafadhali nakili:
Kumb. Na.: TMA/1622 04 Aprili, 2017
Taarifa kwa Umma:
Kuendelea kwa vipindi vya mvua kubwa.
Taarifa Na. 201704-01
Muda wa Kutolewa Saa 10:30 Jioni Saa za Afrika Mashariki Daraja la Taarifa: Tahadhari Kuanzia: 04 Aprili, 2017 - Usiku Tarehe Mpaka: 06 Aprili, 2017 Tarehe Vipindi vya mvua kubwa inayozidi milimita 50 ndani ya Aina ya Tukio saa 24 vinatarajiwa kuendelea na kusambaa katika maeneo Linalotarajiwa mengi. Kiwango cha uhakika: Wastani (60%) Maeneo yanayotarajiwa Mikoa ya Lindi, Mtwara, Tanga, Dar es salaam, Pwani na kuathirika Morogoro pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.
Hali hii inatokana na kuimarika kwa ukanda wa mvua
Maelezo: nchini.
Wakazi wa maeneo tajwa wanashauriwa kuchukua
Angalizo: tahadhari na hatua stahiki. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania inaendelea Maelezo ya Ziada kufuatilia hali hii na itatoa mrejeo kila itakapobidi.
Madhara Yatokanayo Na Ajali Za Barabarani Yamemeendelea Kuwa Sababu Namba Tisa Katika Kusababisha Vifo Vya Watu Wengi Zaidi Duniani Ambapo Inakadiriwa Zaidi Ya Watu Milioni 1