Beruflich Dokumente
Kultur Dokumente
HabariZAza
NISHATI
nishati&MADINI
&madini
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Toleo No.168
Toleo No. 51 Limesambazwa kwa Taasisi
Limesambazwa kwana Idaranazote
Taasisi IdaraMEM
zote MEM Tarehe - 23-29 Januari , 2015
Aprili 21 - 27, 2017
Wabunge
WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AZINDUA RASMI BODI YA TANESCO -Uk2
Kinyerezi II kuanza uzalishaji
umeme Desemba, 2017
Waimwagia sifa MEM, TANESCO, REA
Somahabari Uk.2
2
http://www.mem.go.tz
N
wa uhakika unapatikana nchini hasa
aibu Katibu
izingatiwa Serikali ya Tanzania
Mkuu wa
imejikita zaidi kwenye uchumi wa
Wizara ya
viwanda.
Nishati na
Aidha Dkt. Pallango aliwataka
Madini
mkandarasi wa upanuzi wa mitambo
anayeshughulikia Nishati Dkt.
ya Kinyerezi I (MW 185) kuongeza
Mhandisi Juliana Pallangyo
kasi ya utekelezaji wa mradi ili miradi
amesema kuwa, mradi wa
yote iweze kukamilika kwa pamoja.
kuzalisha umeme wa Kinyerezi
Awali akiwasilisha taarifa ya
II wa kiasi cha Megawati 240
utekelezaji wa Mradi wa Kinyerezi
unaotekelezwa na kampuni
II, Meneja Mradi wake, Mhandisi
ya Sumitomo kutoka Japan,
Stephen Manda alisema kuwa hadi
unatarajia kuanza kuzalisha
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia
sasa wameshapokea majenereta
Megawati 30 za mwanzo
Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo (wa pili kutoka kulia) matatu na kazi inakwenda kwa kasi
ifikapo mwezi Desemba mwaka
akiongozana na wataalam na viongozi wanaosimamia ujenzi wa kubwa ili kuhakikisha kuwa umeme
huu.
mradi wa Kinyerezi II alipofanya ziara ili kufahamu hatua iliyofikiwa wa uhakika unapatikana kwa wakati.
Dkt. Pallangyo aliyasema
katika ujenzi huo. Tunataka kuhakikisha wananchi
hayo Aprili 20, 2017 katika ziara
wanapata umeme wa uhakika
yake aliyoifanya katika Mradi II kufikisha Megawati 575 ifikapo Aliongeza kuwa gharama za mradi utokanao na gesi asilia mapema na
wa Kinyerezi I Extension (MW Desemba, 2018. wa Kinyerezi II ni Dola za Marekani hii itapelekea ongezeko la wawekezaji
185) na Kinyerezi II iliyopo jijini Akielezea hatua iliyofikiwa ya milioni 344, asilimia 15 ya gharama nchini, alisema Mhandisi Manda.
Dar es Salaam akiambatana na ujenzi wa Mradi wa Kinyerezi II, Dkt. ambayo ni Dola za Marekani
wataalam kutoka Wizara ya Pallangyo alisema kuwa ujenzi wote milioni 51 ikichangiwa na Serikali ya
Nishati na Madini na Shirika la umefikia asilimia 53 ndani ya muda Tanzania ambayo imeshalipwa yote
Umeme Tanzania (TANESCO) mfupi kutokana na mafundi kufanya kwa mkandarasi.
kwa ajili ya kujionea maendeleo kazi usiku na mchana ili kuhakikisha Dkt. Pallangyo alisema kuwa
ya ujenzi wake. kuwa mradi unakamilika kwa wakati. lengo ni kuhakikisha kuwa umeme
Alisema kuwa Megawati
30 zitaanza kuzalishwa mara
baada ya kukamilika kwa ujenzi
wa mtambo mmoja mapema
Desemba mwaka huu na baada
ya hapo mitambo iliyobaki saba
yenye uwezo wa Megawati
30 kila mmoja itakamilika
ifikapo Desemba, 2018 hivyo
kukamilisha Megawati 240 Naibu Katibu Mkuu wa
zinazotakiwa. Wizara ya Nishati na Madini
Aliongeza kuwa mbali anayeshughulikia Nishati, Dkt.
na ukamilishwaji wa Mradi Mhandisi Juliana Pallangyo
wa Kinyerezi II, upanuzi wa akiwaeleza wasimamizi wa
Megawati 185 katika Mradi wa mradi wa Kinyerezi (hawapo
Meneja wa Miradi ya Umeme ya Kinyerezi, Simon Jilima akieleza pichani) hatua za kuchukua ili
Kinyerezi I wenye uwezo wa kuhusu maendeleo ya mradi wa Kinyerezi II wakati wa ziara ya Naibu mradi ukamilike kwa wakati kwa
Megawati 150 utapelekea miradi Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati, manufaa ya Watanzania na Taifa
yote ya Kinyerezi I na Kinyerezi Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo. kwa ujumla.
MOB-0732999263
mwezi Aprili mwaka huu. Quality delivery
Dira ya TGDC ni kuwa Kampuni ya kuendeleza of goods/service
jotoardhi na yenye ushindani katika Ukanda wa Afrika satisfAction of
Mashariki. the client
Tunasema haya ni mafanikio kwa TGDC, Wizara na Bodi ya uhariri
Serikali kwa kuwekeza katika RasilimaliWatu na hususan satisfaction of
Msanifu: Lucas Gordon business partners
wataalam wa Nishati ya Jotoardhi ambalo ni eneo jipya Waandishi: Veronica Simba, Asteria Muhozya, Greyson
la taaluma na miongoni mwa chanzo kipya cha uzalishaji Mwase, Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda James , satisfAction of
umeme nchini. Nuru Mwasampeta na Zuena Msuya shareholders
Habari za nishati/madini
4 NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
W
aziri wa . Walioshindwa REA II wasichukuliwe REA III
Nishati na hata kama ameshapitishwa na
Madini taratibu za manunuzi. Alisema,
Profesa endapo Bodi itakuwa na wasiwasi
Sospeter na uwezo wa Mkandarasi, ni
Muhongo, amezindua Bodi lazima iweke hilo wazi kwani kazi
mpya ya Wakala wa Nishati isipofanyika ipasavyo, hawatakwepa
Vijijini (REA) na kuiagiza lawama.
kufanya kazi kwa kutanguliza Iteni kampuni moja baada ya
maslahi ya Taifa na Watanzania nyingine mjiridhishe na utendaji wao.
kwa ujumla. Muone eneo alilopewa, ukubwa wa
Profesa Muhongo alizindua eneo hilo na bajeti aliyopewa. Pia
Bodi hiyo Aprili 19, 2017 mumuulize kuhusu vitendea kazi
Makao Makuu ya Wizara mjini alivyonavyo pamoja na wataalam
Dodoma. alionao, alisisitiza.
Akizungumza na Aidha, Profesa Muhongo
Wakurugenzi wa Bodi hiyo aliwataka wakurugenzi wa Bodi hiyo
mpya, wakati wa hafla ya kujenga utaratibu wa kutembelea
uzinduzi, Profesa Muhongo maeneo inakotekelezwa miradi
aliwaagiza kuhakikisha mbalimbali ya umeme vijijini ili
wanawasimamia wakandarasi kujionea kwa macho maendeleo ya
waliochaguliwa kutekeleza kazi inayofanyika.
miradi ya umeme vijijini ili Suala jingine muhimu ambalo
wanunue vitendea kazi ikiwemo Waziri aliwaelekeza Wakurugenzi
nguzo, transfoma na nyaya za wa Bodi kulifanyia kazi, ni kupitia
umeme kutoka kwa wazalishaji taarifa ya utekelezaji wa REA II
wa ndani ya nchi. ili pamoja na mambo mengine,
Wakandarasi ni lazima Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo,
akizungumza na Wakurugenzi wa Bodi mpya ya Wakala wa Nishati waweze kujiridhisha na majina
wanunue vifaa hivyo ndani ya ya wakandarasi waliopitishwa
Vijijini - REA (hawapo pichani), wakati alipokuwa akiizindua rasmi
nchi. Vikiisha hapa nchini, ndiyo
Bodi hiyo Makao Makuu ya Wizara mjini Dodoma, Aprili 19, 2017.
waagize nje. Hatutavumilia >>InaendeleaUk. 5
kuona mkandarasi ananunua
vitendea kazi nje ya nchi wakati kuwawezesha watanzania hivyo
hapa nchini vipo tele. ni lazima wapate fursa, alisisitiza
Hata hivyo, Profesa Waziri.
Muhongo alisisitiza suala Profesa Muhongo alitumia
la ubora ambapo alifafanua fursa hiyo kuhamasisha watanzania
kuwa, ni lazima vitendea kazi wenye sifa kujitokeza kwa wingi ili
vinavyonunuliwa viwe katika wafanye kazi na kampuni kubwa za
ubora unaostahili. Japokuwa wakandarasi kutoka nje, na baadaye
tunataka vitu kutoka ndani ya waweze kujitegemea na kujenga
nchi lakini ni lazima tuzingatie uwezo wa kufanya kazi hizo wao
suala la ubora wake. wenyewe.
Akiendelea kutoa maagizo Aliiagiza Bodi hiyo kuhakikisha
kwa Bodi hiyo, Waziri wanatatua changamoto ya baadhi
Muhongo pia alielekeza ya vibarua kutokulipwa malipo yao
kwamba, Kampuni zote za baada ya kufanya kazi. Aliwataka
kigeni ambazo zimeshinda kuweka usimamizi utakaowezesha
Zabuni ya kutekeleza miradi ya kila mmoja kulipwa stahili zake
umeme vijijini awamu ya Tatu kulingana na kazi aliyofanya.
(REA III), ni lazima zifanye kazi Vilevile, Profesa Muhongo aliitaka
na wakandarasi wadogo (sub- Bodi kusimamia ubora wa kazi
contractors) wa kitanzania. inayofanywa na wakandarasi husika
Ni lazima wakandarasi kwani kutokana na uzoefu inaonesha
wadogo wote watoke Kampuni kwamba, baadhi yao, kazi zao hazina
za Kitanzania. Inaweza kuwa ubora unaoridhisha. Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa James
Kampuni iko hapa nchini Alisema, Bodi inawajibika Mdoe (kulia), akiwasomea majukumu yao ya kazi, Wakurugenzi wa
lakini siyo ya watanzania; hiyo Bodi mpya ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), wakati wa hafla ya
kumfuatilia kila Mkandarasi
hatuitaki. Mradi huu unalenga uzinduzi rasmi wa Bodi hiyo, uliofanyika Makao Makuu ya Wizara
kujiridhisha kuhusu uwezo wake, mjini Dodoma, Aprili 19, 2017.
NewsBulletin 5
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
Aprili 21 - 27, 2017
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (wa tano kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Wakurugenzi wa Bodi
mpya ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), mara baada ya kuizindua rasmi hivi karibuni mjini Dodoma. Kulia kwa Waziri ni Kaimu Katibu Mkuu
wa Wizara, Profesa James Mdoe na kushoto kwa Waziri ni Mwenyekiti wa Bodi, Dkt. Gideon Kaunda. Wa kwanza kulia ni Mkurugenzi Mkuu
wa REA, Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga.
Habari za nishati/madini
6 NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
S
kinadiriwa kufika tani milioni 85.
hirika la Madini la Taifa Uchimbaji huu, ambao utaanzia
(STAMICO) limeanza kwenye mlima wa Kabulo na baadae
maandalizi ya mradi wa mlima wa Ivogo, utaiwezesha
uchimbaji makaa ya mawe STAMICO kuzalisha makaa ya
katika eneo la Kabulo mawe na hivyo kupunguza uhaba wa
Wilayani Ileje Mkoa wa Songwe, ili madini hayo nchini ambayo ni moja
kuanza kutekeleza mradi huo ifikapo ya vyanzo vya nishati ya umeme.
mwishoni mwa mwezi Aprili, 2017. Makaa ya mawe hutumika kama
Awamu ya kwanza ya Mradi moja ya vyanzo vya Nishati katika
huo itatekelezwa kupitia leseni zake shughuli za uzalishaji viwandani
mbili za uchimbaji mdogo wa madini vikiwemo viwanda vya Saruji nchini
Primary Mining Licences (PMLs) alifafanua Mkurugenzi Rutagwelela.
zilizopo ndani ya leseni ya utafiti ya Awali Kaimu Mkurugenzi wa
Kabulo zenye ukubwa wa Hecta Migodi na Huduma za Kihandisi,
16.52. Zena Kongoi alisema awamu ya
Kaimu Mkurugenzi wa Utafiti na kwanza inatarajiwa kuanza na
Uchorongaji wa STAMICO, Alex uzalishaji wa makaa ya mawe kiasi
Rutagwelela aliyasema hayo jijini cha tani 158,147 kwa mwaka ambapo
Dar es Salaam wakati akitoa taarifa awamu ya pili inatarajiwa kuhusisha
kuhusu maendeleo ya maandalizi zaidi utafiti na uchimbaji mkubwa
ya eneo la Mradi, baada ya kurejea katika leseni ya Kabulo.
kutoka Kiwira, alikokwenda kuratibu Naye Kaimu Mkurugenzi
kazi ya kutathimini kiwango cha wa Rasilimaliwatu na Utawala,
mashapo yaliyopo katika leseni hizo Deusdedith Magala alisema kuwa
za uchimbaji mdogo-Kabulo. STAMICO itatumia watumishi 39
Rutagwelela alisema kuwa, kutekeleza mradi huo wa Kabulo,
leseni hizo mbili za Uchimbaji wa ambapo 30 kati yao ni watumishi
Awali wa Madini katika eneo hilo la wa kudumu wa ndani ya Shirika na
Kabulo zina tani zipatazo 241,865 za wengine 9 wataajiriwa kwa masharti
mashapo ya makaa ya mawe yaliyoko ya ajira ya mkataba.
karibu na uso wa ardhi ambayo Watumishi wa ndani
Meneja Uchimbaji wa STAMICO, Mhandisi Alphonce Bikulamchi watahusisha fani za uchimbaji,
yataruhusu Uchimbaji wa Mgodi wa (mwenye kofia ya njano) akiwa na Mtaalam wa Upimaji Ardhi kutoka
Wazi (Open pit mining) kufanyika. uchorongaji, uchumi, uhasibu,
Kampuni Tanzu ya STAMICO ijulikanayo kama STAMIGOLD, Jovin
Aidha Rutagwelela alibainisha Fidelisi kwa pamoja wakiwa katika kazi ya kupima maeneo ya
waendesha mitambo, mazingira,
kuwa STAMICO ina mpango wa uchimbaji na kuyawekea alama maalum (Control Points) kwa ajili rasilimawatu, masoko na uhusiano
kufanya kazi za uchorongaji miamba ya uchimbaji wa Makaa ya Mawe katika eneo la Kabulo. Alama hizo kwa umma. Aidha, watumishi wa
katika mlima wa Kabulo ili kuongeza zitasaidia kuufanya uchimbaji wa makaa ya mawe kuwa wa kisasa mkataba wa muda watahusisha fani
kiwango cha mashapo ya Makaa ya na wenye ufanisi stahiki. Mradi huo unatarajiwa kuanza hivi karibuni. za upimaji ardhi (Surveyor), kemia
katika maabara ya makaa ya mawe,
usalama na mazingira na uendeshaji
mitambo ya uchimbaji alifafanua
Magala.
Magala aliongeza kuwa
maandalizi ya miundombinu
ikiwemo kazi ya uchongaji
barabara kipande cha Kilometa
1.5 imekamilika na tayari Shirika
limekamilisha mazungumzo na
kuwasilisha maombi ya kibali cha
kukata miti katika Halmashauri ya
Wilaya ya Ileje, ili kuruhusu kazi ya
uchimbaji makaa ya mawe iweze
kufanyika wakati wa kuanza mradi.
Magala aliwataka wataalam
watakaoshiriki katika mradi huo
wachape kazi usiku na mchana huku
wakizingatia uadilifu na weledi wa
hali ya juu ili kuliwezesha Shirika
Kazi ya uaandaji wa Barabara ya kipande cha Kilometa 1.5 ilivyokuwa ikiendelea kutoka katika eneo la kufikia malengo ya mradi na kuleta
Uchimbaji Makaa ya Mawe-Kabulo kuelekea katika barabara inayoelekea Ileje. Aliyesimama ni Mtaalam matokeo chanya kwa umma na Taifa
kutoka katika Mgodi wa Kiwira akisimamia zoezi. kwa ujumla.
NewsBulletin 7
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
Aprili 21 - 27, 2017
I
katika Ukanda wa Bonde la wetu wa ndani katika eneo kwenye Ukanda wa Bonde la nchini Italia ili Wataalam
meelezwa kuwa, Ufa kutokana na uwezo wao la Nishati Jadidifu kiasi cha Afrika Mashariki ambazo ni wake Watatu (3) wakatoe
uwezo wa Kitaalam kitaalam kuongezeka kiasi cha Wataalam hao kuaminiwa Djibouti, Ethiopia, Eriteria, ushauri wa kitaalam kwenye
wa Kampuni ya kufikia kuaminiwa ndani na na nchi nyingine kwa Uganda, Kenya, Tanzania, Nyanja za kijiofizikia nchini
Uendelezaji Jotoardhi nje ya nchi kutoa mafunzo ya ajili ya kutoa mafunzo ya Rwanda, Burundi, DRC, Malawi, kwa kipindi cha
Tanzania TGDC kitaalam ya taaluma husika. kitaaluma,alisema Kato. Malawi, Zambia, Comoro na miezi 3 kuanzia mwezi Aprili
umeongezeka kufikia kiasi cha Tumewajengea uwezo Alisema kuwa, ukanda Msumbiji. mwaka huu.
kuaminiwa ndani na nje ya Ni dhahiri kuwa, uwepo Nishati Jadidifu ni chanzo
nchi kuwa ni kampuni yenye na uwezo wa wataalam kipya cha umeme na ni
uwezo wa kutosha kutoa husika unawezesha azma miongoni mwa vyanzo
ushauri wa kitaaluma katika ya Serikali kufikia malengo ambavyo Serikali inawekeza
Ukanda wa Bonde la Ufa la yake ikiwemo pia utekelezaji kuhakikisha kwamba eneo
Afrika Mashariki wa Ilani ya Chama Cha hilo pia linachangia katika
Hayo yalielezwa na Kaimu Mapinduzi (CCM) 2015- uzalishaji wa nishati ya
Mtendaji Mkuu wa TGDC 2020 ya Serikali kuwekeza umeme ili kwa pamoja
Mhandisi Kato Kabaka nguvu kubwa katika kuzalisha kufikia malengo ya Mpango
Mwishoni mwa mwezi nishati Jadidifu. Vilevile, hili wa Maendeleo wa Taifa
Machi 2017, wakati Wizara linawezesha lengo kuu la 2016/17-2020/21 na Dira ya
na Taasisi zake zikiwasilisha Kampuni hiyo la kuzalisha Maendeleo ya Taifa 2025.
Taarifa za Utekelezaji wa Megawati 100 za Jotoardhi Dira ya TGDC ni kuwa
Bajeti kwa Mwaka 2016/17 ifikapo mwaka 2020, alisema Kampuni ya kuendeleza
kwa Kamati ya Kudumu ya Kato. jotoardhi na yenye ushindani
Bunge ya Nishati na Madini, Aliongeza kuwa, kampuni katika Ukanda wa Afrika
Alieleza kuwa, Wataalam Kaimu Mtendaji Mkuu wa TGDC Mhandisi Kato Kabaka hiyo imeingia makubaliano Mashariki.
Je UNAJUA?
HABARI ZA
NISHATI NA
MADINI PIA
ZINAPATIKANA
KUPITIA
TOVUTI; https://mem.go.tz
Facebook; Nishati Na Madini
Twitter; @nishatiMadini
YouTube; Wizara ya Nishati na Madini
8 NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
U
wa CADESE unaofadhiliwa na
napozungumzia Shirika la Umoja wa Mataifa
maendeleo ya nchi linaloshughulika na Maendeleo
yoyote duniani, (UNDP) ulianzishwa mwaka 2014
kamwe huwezi na unatekelezwa na Wizara ya
kusahau mchango wa Nishati na Madini kwa kushirikiana
Sekta ya Nishati katika maendeleo na wadau wengine kama Wakala
husika. Nishati ya umeme ni muhimu wa Nishati Vijijini (REA), Ofisi ya
katika ukuaji wa uchumi wa nchi. Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Ili kufikia Dira ya Maendeleo ya (AG), Taasisi ya Uongozi na Taasisi
Taifa ya mwaka 2025, yenye lengo la ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii
kuhakikisha kuwa Tanzania inakuwa (ESRF).
nchi ya kipato cha kati ifikapo mwaka Mradi ulianzishwa ikiwa ni
2025, Nishati ya Umeme ya uhakika kama njia mojawapo ya kuisaidia
inahitajika. Serikali katika Mpango wa Matokeo
Wizara ya Nishati na Madini Makubwa Sasa (Big Results
Msimamizi wa Mradi wa Kuwajengea Uwezo Wataalam wa Nishati
imeweka mikakati mbalimbali Now; BRN); Mpango wa Nishati na Tasnia ya Uziduaji (CADESE), Paul Kiwele akifafanua jambo
katika kuhakikisha kuwa Nishati Endelevu kwa Wote ulioasisiwa na kwenye ofisi za Kampuni ya Vifaa vya Umeme Jua ya Mobisol jijini
ya Umeme ya uhakika inapatikana Umoja wa Mataifa (UN) na Dira Arusha mara baada ya timu ya wataalam wa Nishati Jadidifu kutoka
ili kuwa kichocheo cha ongezeko ya Madini ya Afrika (Africa Mining Wizara ya Nishati na Madini kuhitimisha ziara katika ofisi hizo ili
la uwekezaji kwenye viwanda na Vision; AMV), mipango yenye lengo kukagua shughuli zake.
nchi kuwa ya kipato cha kati ifikapo la kuimarisha mchango wa Sekta za
mwaka 2025. Moja ya mikakati Nishati na uziduaji katika ukuaji wa Kiwele anafafanua kuwa wadau Maendeleo ya Petroli Tanzania
ni pamoja na ubunifu wa vyanzo uchumi wa nchi. wote ambao ni watekelezaji wa mradi (TPDC).
vipya vya uzalishaji wa umeme Akielezea malengo ya mradi wanapata fedha kutoka UNDP Kiwele anafafanua kuwa mradi
kama vile Jotoardhi, Jua, Upepo, wa CADESE, Kiwele anasema kwa ajili ya kutekeleza miradi yenye ulifanikiwa kuanzisha mfumo
Gesi na Makaa ya Mawe pamoja na kuwa ni pamoja na kuimarisha manufaa kwa Sekta za Nishati na mpya wa uhifadhi data na utoaji
kutangaza fursa zake. uwezo wa Wakala wa Nishati Vijijini uziduaji yaani masuala ya madini na taarifa kwa ajili ya Nishati Jadidifu
Moja ya mikakati ni pamoja (REA) katika kuendesha miradi na gesi. ujulikanao kama Tanzania
uanzishwaji wa Mradi wa programu zake hivyo kuwezesha Akielezea mafanikio ya mradi Renewable Energy Information
Kuwajengea Uwezo Wataalam ongezeko la upatikanaji wa umeme huo, Kiwele anasema mradi kupitia Management System (TREIMS)
wa Nishati na Tasnia ya Uziduaji vijijini. na Shirika la Umoja wa Mataifa wenye lengo la kutangaza fursa za
(CADESE) Capacity Development Malengo mengine ya mradi wa linaloshughulika na Maendeleo uwekezaji katika Nishati Jadidifu
in the Energy Sector and Extractive CADESE ni pamoja na kuogeza (UNDP) ulinunua magari 200 kwa nchini.
Industries) unaohusika na uwezeshaji uwezo kwa wataalam katika gharama nafuu kwa ajili ya kutumika Akielezea mfumo huo Kamishna
wa wataalam katika masuala ya usimamizi wa Sekta za Nishati na katika shughuli za serikali.
Msaidizi- Nishati Jadidifu kutoka
Nishati na Madini ili kuhakikisha uziduaji yaani Mafuta na Gesi, Anaendelea kusema kati ya
Wizara ya Nishati na Madini
kuwa sekta hizo zinakuwa na uwezo wa taasisi katika uandaaji wa taasisi zilizonufaika na magari hayo
Mhandisi Styden Rwebangila
mchango mkubwa katika ukuaji wa sera na miongozo katika usimamizi ni pamoja na Wizara za Serikali,
endelevu wa Sekta za Nishati na Shirika la Umeme Tanzania anasema kuwa taarifa za kampuni
uchumi wa nchi.
Akielezea mradi wa CADESE uziduaji yaani masuala ya madini na (TANESCO), Wakala wa Nishati zote zinazojihusisha na Nishati
msimaizi wa mradi huo kutoka gesi. Vijijini (REA) na Shirika la >>InaendeleaUk. 9
Mtaalam kutoka
kampuni ya vifaa vya
umeme jua ya Zola,
Omary Raymond
(katikati) akielezea
shughuli za kampuni
yake kwa Mtaalam
kutoka Sehemu ya
Nishati Jadidifu-
Idara ya Nishati,
Wizara ya Nishati
na Madini, Mhandisi
Stephan Kashushura
(kulia). Kushoto ni
Msimamizi wa Mradi
wa Kuwajengea Uwezo
Wataalam wa Nishati
na Tasnia ya Uziduaji
(CADESE) chini ya
Wizara ya Nishati na
Madini, Paul Kiwele
katika ziara iliyofanyika
hivi karibuni mkoani
Shinyanga kwa ajili
ya kukusanya maoni
ya wadau wa nishati
jadidifu kama maandalizi
ya mfumo wa uhifadhi
data na utoaji taarifa
kwa ajili ya nishati
jadidifu (TREIMS)
Habari za nishati/madini
10 NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
01 05 07
02 06 PICHA 1 - 7
03
04
12 NewsBulletin
http://www.mem.go.tz