MI L E L E !
M A S O M O YA K U J I F U N Z A B I B L I A
Anza Kusoma Biblia
Unaweza kufurahia kusoma Biblia!
Yafuatayo ni madokezo yanayoweza
kukusaidia kuanza. Chagua habari
inayokufurahisha, kisha usome
maandiko yaliyoonyeshwa.
DOKEZO: Ili kupata muktadha wa maandiko yaliyotajwa hapo juu, soma sura nzima ambazo mistari
hiyo inapatikana. Tumia chati ya “Fuatilia Usomaji Wako wa Biblia” iliyo mwishoni mwa kitabu hiki ili
kutia alama kila sura unapomaliza kuisoma. Jiwekee lengo la kusoma sehemu fulani ya Biblia kila siku.
FURAHIA MAISHA
MIL E L E !
M A S O M O YA K U J I F U N Z A B I B L I A
Photo Credits: Page 15: Image ˘ Homo Cosmicos/ Kitabu hiki hakiuzwi. Ni sehemu ya kazi ya elimu
Shutterstock; page 17: NASA, ESA and the Hubble Heritage ya Biblia ya ulimwenguni pote inayotegemezwa
Team (STScI/AURA)-ESA/Hubble Collaboration. Licensed
under CC BY 4.0 (http://creativecommons.org/licenses/ kwa michango ya hiari. Ikiwa ungependa kutoa
by/4.0/). Source: https://esahubble.org/images/ mchango, tafadhali tembelea donate.jw.org.
heic0702a/; page 56: Photo by US Signal Corps/The LIFE
ˆ
Picture Collection via Getty Images; page 76: Chateau Enjoy Life Forever!
de Versailles, France/Bridgeman Images; pages 103
—An Interactive Bible Course
and 131: Based on NASA/Visible Earth imagery; page 163:
˘ SINGLECELL ANIMATION LLC/Science Source;
page 183: Daniel Osterkamp/Moment/Getty Images
Swahili (lff-SW)
Chapa ya Juni 2021
Isipokuwa iwe imeonyeshwa vingine,
Maandiko yote yamenukuliwa kutoka katika ˘ 2021 WATCH TOWER BIBLE AND TRACT
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya. SOCIETY OF PENNSYLVANIA
01
(
Biblia Inawezaje Kukusaidia? A
Sisi sote hujiuliza maswali kuhusu maisha, ku- tutafute majibu ya maswali hayo, na watu we-
teseka, kifo, na wakati ujao. Pia tunahangaikia ngi wamepata majibu yenye kuridhisha.
shughuli za kila siku, kama vile kupata riziki na
2. Biblia inawezaje kutusaidia tufurahie
jinsi ya kuwa na familia yenye furaha. Watu
VIDEO: Karibu Kwenye Funzo wengi wametambua kwamba Biblia imewasai-
dia kupata majibu ya maswali muhimu mai-
maisha ya kila siku?
Biblia hutupatia ushauri mzuri. Kwa mfano,
shani na pia ushauri unaotegemeka kuhusu inatufundisha jinsi ya kuwa na familia yenye
Lako la Biblia (2:45) maisha ya kila siku. Je, unamjua mtu yeyo-
te ambaye anaweza kunufaika kwa kujifunza
furaha. Pia, inatoa ushauri kuhusu kukabiliana
na mikazo na jinsi ya kufurahia kazi. Utaji-
Biblia? funza yale ambayo Biblia inafundisha kuhusu
mambo hayo na mengine mengi katika chapi-
1. Biblia inajibu maswali gani? sho hili. Tuna hakika utakubali kwamba “kila
Biblia inajibu maswali haya muhimu: Uhai ulia- Andiko [katika Biblia] . . . ni lenye faida.”
nzaje? Maisha yana kusudi gani? Kwa nini —2 Timotheo 3:16.
watu huteseka? Ni nini humpata mtu anapo-
kufa? Ingawa kila mtu anapenda amani, kwa
nini kuna vita ulimwenguni? Ni nini kitakachoi-
pata dunia wakati ujao? Biblia inatutia moyo
Chapisho hili si Biblia. Hata hivyo, litakusaidia kuichunguza Biblia. Kwa hiyo, tunakutia moyo
usome maandiko yaliyo kwenye masomo haya na uyalinganishe na mambo unayojifunza.
Biblia ni kama tochi yenye mwangaza mkali. Tunaweza kutumia ˙ Biblia inatoa ushauri wa
Biblia kujua jinsi ya kufanya maamuzi mazuri na kutambua mambo aina gani?
yatakayotokea wakati ujao. ˙ Biblia inajibu maswali gani?
( Ona jinsi Biblia ilivyomsaidia
Soma Zaburi 119:105, kisha mzungumzie maswali haya: ˙ Ungependa kujifunza nini 2:53
mwanamume aliyepambana
katika Biblia?
˙ Yule aliyeandika andiko hili alikuwa na maoni gani kuhusu Biblia? na hisia mbaya tangu utotoni.
˙ Wewe una maoni gani kuhusu Biblia? Jinsi Nilivyoanza Kufurahia
Maisha Mapya
E
Tarehe ambayo somo limekamilishwa Chunguza ushauri wa Biblia
kuhusu maisha ya familia.
“Siri 12 za Mafanikio Katika
Familia” (Amkeni! Na. 2 2018)
na Biblia?
MASOMO
01 Biblia Inawezaje Kukusaidia?
02 Biblia Inatupatia Tumaini
03 Je, Unaweza Kuiamini Biblia?
04 Mungu Ni Nani?
05 Biblia Ni Ujumbe Kutoka kwa Mungu
06 Uhai Ulianzaje?
07 Yehova Ana Sifa Gani?
08 Unaweza Kuwa Rafiki ya Yehova
09 Mkaribie Mungu Kupitia Sala
10 Mikutano ya Mashahidi wa Yehova
Inaweza Kukunufaishaje?
11 Jinsi Unavyoweza Kunufaika Zaidi
Unaposoma Biblia
12 Ni Nini Kitakachokusaidia Uendelee
Kujifunza Biblia?
01
Chapisho hili si Biblia. Hata hivyo, litakusaidia kuichunguza Biblia. Kwa hiyo, tunakutia moyo
usome maandiko yaliyo kwenye masomo haya na uyalinganishe na mambo unayojifunza.
5
CH I M BA ZAI DI
(
4. Biblia inajibu maswali tunayojiuliza
Mwanamke fulani alitambua kwamba Biblia ina majibu ya
VIDEO: Usikate Tamaa maswali yaliyomhangaisha kwa miaka mingi. Onyesha VIDEO,
Kamwe! (1:48) kisha mzungumzie maswali haya:
˙ Katika video hiyo, mwanamke huyo alijiuliza maswali gani?
˙ Kujifunza Biblia kulimsaidiaje?
7
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Biblia inatoa ushauri mzuri kuhusu
maisha ya kila siku, inajibu maswali Jifunze jinsi ushauri wa
muhimu, na inawapa watu faraja na Biblia unavyotufaa leo.
tumaini. “Mafundisho ya Biblia
—Hekima Isiyopitwa na
Wakati” (Mnara wa Mlinzi
Ungejibuje? Na. 1 2018)
N Lengo lingine:
( 3:14 Jifunze jinsi Biblia inavyofu-
nua ukweli kuhusu yule ana-
yeutawala ulimwengu huu.
Kwa Nini Ujifunze Biblia?
—Video Nzima
9
CH I M BA ZAI DI
WATU FULANI HUSEMA: “Ahadi za Biblia kuhusu wakati ujao ni mambo ya kuwaziwa tu.”
˙ Kwa nini unapaswa kuchunguza uthibitisho?
11
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Biblia inatupatia tumaini zuri la
wakati ujao ambalo hutusaidia Jifunze jinsi tumaini
kukabiliana na matatizo. linavyoweza kukusaidia
kukabiliana na matatizo.
“Tumaini—Je, Linaweza
Ungejibuje? Kutusaidia?” (Amkeni!,
Aprili 22, 2004)
˙ Kwa nini watu wanahitaji
tumaini?
˙ Biblia inaahidi nini kuhusu
wakati ujao?
Ona jinsi ambavyo tumaini la
˙ Tumaini la wakati ujao
wakati ujao limewasaidia watu
linaweza kukusaidiaje sasa? wenye magonjwa ya kudumu.
“Je, Biblia Inaweza Kunisaidia
Ikiwa Nina Ugonjwa wa Kudu-
mu?” (Makala iliyo kwenye mta-
ndao)
13
CH I M BA ZAI DI
Ona jambo ambalo liliandikwa katika kitabu cha Ayubu miaka 3,500
hivi iliyopita. Soma Ayubu 26:7, kisha mzungumzie swali hili:
˙ Kwa nini inashangaza kwamba maneno dunia inaning’inia
“pasipo na kitu” yaliandikwa miaka 3,500 iliyopita?
Mzunguko wa maji duniani ulieleweka vizuri miaka 200 hivi iliyopita. Biblia inafafanua
Hata hivyo, ona jambo ambalo Biblia ilisema miaka 3,500 hivi iliyopita. mzunguko wa maji
wa dunia
Soma Ayubu 36:27, 28, kisha mzungumzie maswali haya:
˙ Ni nini kinachokupendeza kuhusu ufafanuzi huu rahisi
wa mzunguko wa maji?
˙ Je, maandiko uliyosoma yamekusaidia kuiamini zaidi Biblia?
(
5. Biblia ilitabiri matukio muhimu
Soma Isaya 44:27–45:2, kisha mzungumzie swali hili:
VIDEO: Biblia Ilitabiri ˙ Biblia ilitaja kihususa habari gani miaka 200 kabla
Kuharibiwa kwa Jiji ya kuharibiwa kwa jiji la Babiloni?
la Babiloni (0:58)
Onyesha VIDEO.
Historia inathibitisha kwamba Mfalme Koreshi wa Uajemi na jeshi
lake walilishinda jiji la Babiloni mwaka wa 539 K.W.K. Waligeuza
mkondo wa mto uliolinda jiji hilo. Wakaingia katika jiji kupitia ma-
lango yaliyokuwa yameachwa wazi na kuliteka bila kupigana. Leo,
zaidi ya miaka 2,500 imepita na bado jiji la Babiloni ni magofu.
Ona jambo ambalo Biblia ilitabiri.
Soma Isaya 13:19, 20, kisha mzungumzie swali hili:
˙ Unabii kuhusu Babiloni ulitimizwaje?
15
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Matukio ya kihistoria, uthibitisho
wa kisayansi, na unabii unatusaidia Je, Biblia ina habari
kuiamini Biblia. zisizo sahihi kisayansi?
“Je, Sayansi Inapatana
na Biblia?” (Makala iliyo
Ungejibuje? kwenye mtandao)
Mungu Ni Nani?
Katika historia yote, wanadamu wameabudu 2. Biblia inatufundisha nini kumhusu Yehova?
miungu ya aina mbalimbali. Hata hivyo, Biblia Biblia inasema kwamba kati ya miungu yote
inamtaja Mungu mmoja ambaye “ni mkuu ku- ambayo watu huabudu, Yehova ndiye Mu-
liko miungu mingine yote.” (2 Mambo ya Nya- ngu pekee wa kweli. Kwa nini? Kuna saba-
kati 2:5) Ni Mungu gani huyo? Na kwa nini bu kadhaa. Yehova ndiye mwenye mamlaka
ni mkuu kuliko miungu mingine yote ambayo yote, na yeye ndiye aliye “Juu Zaidi, juu ya
watu huabudu? Katika somo hili, utajifunza ji- dunia yote.” (Soma Zaburi 83:18.) Yeye ndi-
nsi Mungu huyo anavyojitambulisha kwako. ye “Mweza-Yote,” kwa sababu ana uwezo wa
kufanya chochote anachotaka kufanya. Yeye
1. Mungu anaitwa nani, na ni nini kinachoonye-
ndiye ‘aliyeumba vitu vyote,’ kutia ndani uli-
sha kwamba anataka tulijue jina lake?
mwengu na kila kitu kilicho hai duniani. (Ufu-
Mungu anajitambulisha kwetu kupitia Biblia. nuo 4:8, 11) Yehova peke yake ndiye ameku-
Anasema: “Mimi ni Yehova. Hilo ndilo jina la- wepo sikuzote, na ataendelea kuwepo milele.
ngu.” (Soma Isaya 42:5, 8.) Jina “Yehova” li- —Zaburi 90:2.
metafsiriwa kutoka katika Kiebrania na lina-
maanisha “Yeye Husababisha Kuwa.” Yehova
anataka ulijue jina lake, na ulitumie. (Kuto-
ka 3:15) Tunajuaje jambo hilo? Alihakikisha
kwamba jina lake linapatikana zaidi ya mara
7,000 katika Biblia! Jina Yehova ni la “Mu-
ngu wa kweli juu mbinguni na chini duniani.”
—Kumbukumbu la Torati 4:39.
Ili kupata habari zaidi kuhusu maana ya jina la Mungu na kwa
nini limeondolewa katika baadhi ya tafsiri za Biblia ona Nyo-
ngeza A4 katika Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya.
17
CH I M BA ZAI DI
YE HOVA
(
3. Mungu ana majina mengi ya cheo,
lakini ana jina moja la kibinafsi
VIDEO: Majina Mengi ya Cheo, Ili kuona tofauti kati ya cheo cha mtu na jina lake la kibinafsi,
Lakini Jina Moja la Kibinafsi onyesha VIDEO, kisha mzungumzie swali hili:
(0:41)
˙ Kuna tofauti gani kati ya jina la cheo kama vile “Bwana,”
na jina la kibinafsi?
Kwa kawaida, ili mtu awe rafiki yako unapaswa kulijua jina lake.
Soma Yakobo 4:8a, kisha mzungumzie maswali haya:
˙ Yehova anataka ufanye nini?
˙ Kujua na kulitumia jina la Mungu kutakusaidiaje
uwe rafiki yake?
WATU FULANI HUSEMA: “Kuna Mungu mmoja tu, na unaweza kumwita jina lolote.”
˙ Je, unaamini kwamba jina la Mungu ni Yehova?
˙ Unaweza kutoa sababu gani ili kuonyesha kwamba Mungu anataka tulitumie jina lake?
19
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Yehova ni jina la Mungu pekee wa
kweli. Anataka tulijue na kulitumia Chunguza sababu tano zenye
jina hilo ili tuwe rafiki zake. kusadikisha zinazothibitisha
kwamba kuna Mungu.
“Je, Kuna Mungu?”
Ungejibuje? (Makala iliyo kwenye mtandao)
N Lengo lingine:
Je, tunaweza kumwita Mungu
kwa jina lolote tunalopenda?
Ona kwa nini tunaweza
kusema kwamba ana jina
moja tu la kibinafsi.
“Mungu Ana Majina
Mangapi?” (Makala iliyo
kwenye mtandao)
21
CH I M BA ZAI DI
Jifunze mengi kuhusu jinsi Mungu alivyowaongoza watu kuiandika Biblia, jinsi
alivyoihifadhi, na jinsi alivyohakikisha kwamba watu wote wanaweza kuipata.
4. Biblia inatuambia ni
nani aliyeitunga
Onyesha VIDEO. Kisha soma 2 Timotheo 3:16,
na mzungumzie maswali yanayofuata.
Karibu
Asilimia
100
ya watu
ulimwenguni
wanaweza kuipata
Biblia katika lugha
wanayoielewa
Inapatikana
katika lugha
zaidi ya
3,000
ikiwa nzima au
sehemu fulani
ya Biblia
5,000,000,000
Inakadiriwa nakala bilioni tano zimechapishwa,
idadi kubwa kuliko kitabu kingine chochote
23
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Biblia ni Neno la Mungu, na
amehakikisha kwamba watu Soma kuhusu historia
wote wanaweza kuipata. ya Biblia—kuanzia hati za
awali hadi tafsiri za kisasa.
“Jinsi Biblia Ilivyotufikia”
Ungejibuje? (Amkeni!, Novemba 2007)
˙ Mungu aliwaongozaje
wanadamu kuandika Biblia?
˙ Ni jambo gani linalokupendeza
kuhusu kuhifadhiwa, kutafsiriwa,
na kusambazwa kwa Biblia? Jifunze kuhusu hatari tatu
ambazo Biblia ilikabili katika
˙ Baada ya kujua jitihada ambazo
jitihada za kuiangamiza.
Mungu amefanya ili kuwasiliana
“Jinsi Biblia Ilivyookoka”
nawe kupitia Biblia, unahisije?
(Mnara wa Mlinzi Na. 4 2016)
Lengo
N Anza kuisoma Biblia kwa uka-
waida, kwa kutumia chati ya
“Ratiba ya Kusoma Biblia.”
Uhai Ulianzaje?
“[Mungu] ndiye chanzo cha uhai.” (Zaburi mba dunia ikiwa mahali pazuri pa kuishi na
36:9) Je, unaamini hivyo? Watu fulani wanafi- makao ya kudumu ya wanadamu. (Soma Isaya
kiri kwamba uhai haukuumbwa, bali ulijitokeza 40:28; 42:5.) Sayansi inathibitisha kwamba
wenyewe. Ikiwa hilo ni kweli, basi tuko hai kwa dunia ni sayari ya kipekee. Dunia ndiyo sayari
sababu ya tukio ambalo halikupangiwa. Lakini pekee inayoweza kuendeleza uhai wa wana-
ikiwa Yehova ndiye aliyeumba uhai, bila sha- damu.
ka maisha yetu yana kusudi. Chunguza jinsi
Biblia inavyoeleza kuhusu chanzo cha uhai na 3. Ni nini kinachofanya wanadamu wawe
kwa nini tunaweza kuamini kwamba inasema tofauti na wanyama?
ukweli. Baada ya kuumba dunia, Yehova aliumba viu-
mbe. Kwanza, aliumba mimea na wanyama
1. Ulimwengu ulitoka wapi? duniani. Kisha, “Mungu akamuumba mtu kwa
Biblia inasema: “Hapo mwanzo Mungu aliu- mfano wake.” (Soma Mwanzo 1:27.) Kwa nini
mba mbingu na dunia.” (Mwanzo 1:1) Wana- wanadamu ni viumbe wa kipekee? Tumeu-
sayansi wengi wanakubali kwamba ulimwengu mbwa kwa mfano wa Mungu, kwa hiyo tuna-
ulikuwa na mwanzo. Mungu aliumbaje uli- weza kuonyesha sifa zake kama vile upendo
mwengu? Alitumia ‘nguvu yake ya utendaji,’ na haki. Vilevile alituumba tukiwa na uwezo
yaani, roho yake takatifu kuumba kila kitu uli- wa kujifunza lugha, kufurahia vitu maridadi,
mwenguni kutia ndani nyota na sayari.—Mwa- na muziki. Tofauti na wanyama, tunaweza ku-
nzo 1:2. mwabudu Muumba wetu.
25
CH I M BA ZAI DI
(
4. Uhai uliumbwa
Wanadamu husifiwa wanapotengeneza vitu kwa kuiga muundo
VIDEO: Kumwamini wa vitu vya asili. Basi ni nani anayepaswa kusifiwa kwa kuumba
Mungu (2:42) vitu vya asili? Onyesha VIDEO, kisha mzungumzie swali hili:
˙ Wanadamu wamebuni vitu gani kwa kuiga muundo wa
vitu vya asili?
Je, wajua?
Unaweza kupata makala Kila nyumba ilibuniwa na kujengwa na mtu fulani. Lakini ni
na video kuhusu habari hii nani aliyebuni na kuumba vitu vya asili? Soma Waebrania 3:4,
kwenye mfululizo huu “Je, Ni kisha mzungumzie maswali haya:
Kazi ya Ubuni?” na “Maoni
Kuhusu Chanzo cha Uhai.” ˙ Wewe unavutiwa zaidi na vitu gani vya asili?
˙ Je, inapatana na akili kuamini kwamba ulimwengu
na kila kitu kilichomo kiliumbwa? Kwa nini?
Katika Biblia, neno “aina” linarejelea kundi kubwa la vitu vilivyo hai.
27
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Yehova aliumba ulimwengu
na uhai wa kila aina. Ona jinsi vitu vya
asili vinavyothibitisha
kwamba kuna Muumba.
Ungejibuje? “Vitu vya Asili Vinatufundisha
Nini?” (Amkeni!, Septemba 2006)
˙ Biblia inafundisha nini kuhusu
chanzo cha ulimwengu?
˙ Je, Mungu aliumba uhai wa hali
ya chini kisha akauacha ujigeuze
na kutokeza aina mbalimbali ya
viumbe, au je, aliumba viumbe ( 2:36 Ona jinsi baba anavyomfa-
vyote? fanulia mwanaye simulizi la
Biblia kuhusu uumbaji.
˙ Kwa nini wanadamu ni viumbe
wa kipekee? ‘Yehova Aliumba Vitu Vyote’
29
CH I M BA ZAI DI
( REKODI YA KUSIKILIZA:
Yehova Aliwajali Walipokuwa
Wakiteseka (2:45)
WATU FULANI HUSEMA: “Mungu ni nguvu inayopatikana kila mahali, hatuwezi kumjua vizuri.”
˙ Wewe una maoni gani?
˙ Kwa nini unafikiri hivyo?
31
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Yehova ni Roho, hivyo hatuwezi
kumwona. Ana sifa nyingi zenye Jifunze mengi kuhusu
kuvutia kutia ndani upendo. sifa nne kuu za Yehova.
“Mungu Ana Sifa Gani?”
(Mnara wa Mlinzi Na. 1 2019)
Ungejibuje?
˙ Kwa nini hatuwezi kumwona
Yehova?
˙ Roho takatifu ni nini?
˙ Yehova ana sifa gani
Chunguza uthibitisho una-
mbalimbali?
oonyesha kwamba Yehova
hapatikani kila mahali.
“Je, Mungu Yuko Kila Mahali?”
(Makala iliyo kwenye mtandao)
Unaweza Kuwa
Rafiki ya Yehova
Yehova anataka umjue vizuri. Kwa nini? Ana- Unaweza ‘kumtupia mahangaiko yako yote,
tarajia kwamba kadiri unavyojifunza kuhusu kwa sababu yeye anakujali.’ (1 Petro 5:7)
sifa zake, njia zake na kusudi lake, ndivyo uta- Sikuzote Yehova yuko tayari kuwasaidia, ku-
kavyotamani kuwa rafiki yake. Je, wewe una- wafariji, na kuwasikiliza rafiki zake.—Soma
weza kuwa rafiki ya Mungu? (Soma Zaburi Zaburi 94:18, 19.
25:14.) Unapaswa kufanya nini ili uwe rafiki
yake? Biblia inajibu maswali hayo na inaeleza 3. Yehova anatarajia rafiki zake wafanye nini?
kwa nini urafiki pamoja na Yehova ndio urafiki Yehova anawapenda watu wote, “lakini ana
bora zaidi kuliko urafiki mwingine wowote. urafiki wa karibu na watu wanyoofu.” (Me-
thali 3:32) Yehova anatarajia rafiki zake wafa-
1. Yehova anakualika ufanye nini? nye mambo anayoona kuwa mazuri na waepu-
‘Mkaribie Mungu, naye atakukaribia.’ (Yako- ke mambo mabaya. Baadhi ya watu hufikiri
bo 4:8) Hilo linamaanisha nini? Yehova ana- kwamba hawawezi kufuata kikamili viwango
kualika uwe rafiki yake. Huenda watu fulani vya Yehova kuhusu mema na mabaya. Hata
wakafikiri kwamba ni vigumu kuwa rafiki ya hivyo, Yehova anatuelewa vizuri. Anamkuba-
Mungu kwa sababu hawawezi kumwona. Hata li kila mtu anayempenda kikweli na anayefa-
hivyo, katika Neno lake Biblia, Yehova ameele- nya yote anayoweza ili kumfurahisha.—Zaburi
za mambo yote tunayohitaji kujua kuhusu sifa 147:11; Matendo 10:34, 35.
zake ili tusitawishe urafiki pamoja naye. Tuna-
posoma ujumbe wa Mungu katika Biblia, urafi-
ki wetu pamoja naye huzidi kukua, ingawa ha-
tujawahi kumwona.
33
CH I M BA ZAI DI
Simulizi la Biblia kumhusu Ili kumtii Yehova, tunapaswa kubadili mwenendo na tabia zetu.
Abrahamu (anayeitwa pia Soma Isaya 48:17, 18, kisha mzungumzie swali hili:
Abramu) linatusaidia kuelewa
˙ Kwa nini Yehova anataka rafiki zake wabadili mwenendo
jinsi tunavyoweza kuwa rafiki
na tabia zao?
ya Mungu. Soma kumhusu
Abrahamu katika Mwanzo
12:1-4. Kisha mzungumzie
maswali haya:
˙ Yehova alimwambia
Abrahamu afanye nini?
˙ Yehova alimwahidi nini?
˙ Abrahamu alitendaje
baada ya kupokea
maagizo ya Yehova?
35
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Yehova anataka kuwa Rafiki yako,
na atakusaidia uwe na uhusiano Urafiki pamoja na Mungu
wa karibu pamoja naye. unaweza kuboreshaje
maisha yako?
“Yehova—Mungu Tunayepa-
Ungejibuje? swa Kumjua” (Mnara wa Mlinzi,
Februari 15, 2003)
˙ Yehova huwasaidiaje rafiki zake?
˙ Kwa nini Yehova anawaagiza
rafiki zake wabadili mwenendo
na tabia zao?
Jifunze jinsi ya kusitawisha
˙ Je, unafikiri ni vigumu kuwa
urafiki pamoja na Mungu.
rafiki ya Yehova? Kwa nini?
“Ninaweza Kuwa Rafiki
ya Mungu Jinsi Gani?”
(Maswali Ambayo Vijana
Huuliza—Majibu Yafanyayo
Kazi, Buku la 2, sura ya 35)
37
CH I M BA ZAI DI
Tunapaswa kujitahidi kuishi kulingana na viwango vya Mungu ili Wakati wa vita, pande zote husali
asikilize sala zetu. Soma Mika 3:4 na 1 Petro 3:12, kisha mzungu- ili kupata ushindi. Je, tunaweza
mzie swali hili: kutazamia Mungu ajibu sala hizo?
˙ Tunaweza kufanya nini ili tuwe na hakika kwamba
Yehova atasikiliza sala zetu?
Kila siku, unaweza kufikiria kuhusu baraka fulani hususa katika maisha
Baba mzuri angependa yako kisha umshukuru Yehova kwa baraka hiyo. Ukifanya hivyo kila siku
mtoto wake azungumze kwa juma moja, utasali kuhusu mambo saba tofauti bila kurudia jambo
naye kutoka moyoni.
lilelile.
Vivyo hivyo, Yehova
anataka tusali kwake
kutoka moyoni
6. Sala ni zawadi kutoka ( VIDEO: Sala Hutusaidia
kwa Mungu Kukabiliana na Matatizo
(1:32)
Sala inaweza kutusaidiaje hasa tunapokabili
matatizo maishani? Onyesha VIDEO.
Je, wajua?
Biblia inatuahidi kwamba sala inaweza kutusaidia
kupata amani ya akili. Soma Wafilipi 4:6, 7, kisha Neno “amina” linamaanisha “na iwe hivyo”
au “bila shaka.” Tangu nyakati za Biblia,
mzungumzie maswali haya:
watu husema “amina” mwishoni mwa sala.
˙ Ingawa wakati fulani matatizo yetu hayaondoki —1 Mambo ya Nyakati 16:36.
tunaposali, sala inaweza kutusaidiaje?
˙ Wewe ungependa kusali kuhusu mambo gani?
WATU FULANI HUSEMA: “Sala ni njia ya kukusaidia tu ujihisi vizuri, hakuna anayesikiliza.”
˙ Wewe una maoni gani?
39
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Tunaposali kutoka moyoni tunahisi
tukiwa karibu zaidi na Mungu, tuna- Pata majibu ya maswali
pata amani ya akili, na nguvu tuna- ambayo watu wengi
zohitaji ili kumpendeza Yehova. hujiuliza kuhusu sala.
“Mambo Saba Unayohitaji
Kujua Kuhusu Sala” (Mnara wa
Ungejibuje? Mlinzi, Oktoba 1, 2010)
41
CH I M BA ZAI DI
Wakati wa mkutano
Jifunze mambo yanayotendeka
katika mikutano ya Mashahidi wa
Yehova na kwa nini ni muhimu tuji-
tahidi kuhudhuria mikutano hiyo. B
A
(A) Mikutano yetu inatia ndani hotuba,
maigizo, na video. Mikutano huanza
na kumalizika kwa wimbo na sala
Chunguza pamoja na mwalimu wako mambo ambayo yatazungumziwa kwenye mkutano juma hili.
˙ Unafikiri utafurahia au kunufaika zaidi na sehemu gani ya
mkutano?
Kabla na baada ya mkutano
43
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Kuhudhuria mikutano kutakusaidia
ujifunze mengi kumhusu Yehova, ( 4:17 Vipi ikiwa una wasiwasi
uimarishe urafiki wako pamoja kuhusu kuhudhuria mkutano?
naye, na umwabudu ukiwa Ona jambo lililomsaidia mwa-
pamoja na watu wengine. namume aliyehisi hivyo
apende mikutano.
Hatutasahau Tulivyo-
Ungejibuje? karibishwa
45
CH I M BA ZAI DI
A B C
47
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Ili unufaike zaidi na Biblia, panga
ratiba ya kuisoma, sali ili uelewe Chunguza mapendekezo ya-
mambo unayosoma, na ujitayarishe nayoweza kukusaidia unufaike
kabla ya kila kipindi cha kujifunza zaidi unapoisoma Biblia.
Biblia. “Jinsi ya Kunufaika
Zaidi Unapoisoma Biblia”
(Mnara wa Mlinzi Na. 1 2017)
Ungejibuje?
˙ Ni nini kitakachokusaidia unufa-
ike zaidi unaposoma Biblia?
˙ Unaweza kutenga wakati gani wa Jifunze njia tatu za
kusoma na kujifunza Biblia? kusoma Biblia.
Ni Nini Kitakachokusaidia
Uendelee Kujifunza Biblia?
Kujifunza Biblia ni kama safari. Hata hivyo, 3. Yehova anaweza kukusaidiaje kuendelea
kuna changamoto. Wakati mwingine, huenda kujifunza?
ukawa na shaka kama utaendelea kujifunza Kwa kuwa yeye ni Muumba mweza-yote na Ra-
Biblia. Kwa nini ni muhimu kuendelea kujitahi- fiki yako, Yehova anataka kukusaidia ujifunze
di? Ni nini kitakachokusaidia uendelee licha ya kumhusu. Atakupa “hamu na nguvu za kute-
changamoto? nda.” (Soma Wafilipi 2:13.) Basi, ikiwa nyakati
nyingine unakosa hamu ya kujifunza au kufua-
1. Kwa nini kujifunza Biblia ni jambo muhimu?
ta mambo unayojifunza, anaweza kukusaidia.
“Neno la Mungu liko hai nalo ni lenye nguvu.” Anaweza pia kukupa nguvu za kushinda cha-
(Waebrania 4:12) Biblia ni yenye thamani kwa ngamoto na upinzani. Sali kwa Yehova kwa
sababu inafunua mawazo na hisia za Mungu ukawaida ukimwomba akusaidie uendelee ku-
kukuelekea. Inakusaidia kupata ujuzi, tumaini, jifunza Biblia.—1 Wathesalonike 5:17.
na hekima ya kweli. Jambo muhimu zaidi ni
kwamba Biblia inakusaidia uwe rafiki ya Yeho-
va. Unapojifunza Biblia unaruhusu nguvu zake
zifanye maisha yako yawe bora.
49
CH I M BA ZAI DI
51
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Ingawa mara nyingi si rahisi
kujifunza Biblia, kufanya hivyo Chunguza mambo manne
kunaweza kukusaidia ufurahie ambayo yamewasaidia
maisha milele. Endelea kumtege- watu wengi kutumia
mea Yehova, naye atakubariki. wakati wao vizuri.
“Jinsi ya Kutumia
Wakati Wako Vizuri”
Ungejibuje? (Amkeni!, Februari 2014)
55
CH I M BA ZAI DI
Ili kujua kwa nini kitabu cha Ufunuo kinafafanua dini za uwongo kuwa
mwanamke anayeitwa Babiloni Mkubwa, ona Maelezo ya Ziada 1.
59
CH I M BA ZAI DI
(
4. Hatupaswi kutumia
sanamu katika ibada yetu
VIDEO: Je, Mungu Anakubali Tunajuaje kwamba Mungu hataki tutumie sanamu katika ibada?
Sanamu Zitumiwe Katika Onyesha VIDEO, kisha mzungumzie swali linalofuata.
Ibada? (3:26)
˙ Nyakati za Biblia, ni nini kilichowapata watu wa Mungu
walipomwabudu kwa kutumia sanamu?
61
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Tunamfurahisha Muumba wetu
kwa kumwabudu yeye peke yake, Katika simulizi “Situmikii Sana-
kwa kumsifu katika mikutano ya mu Tena,” soma uone kwa nini
kutaniko, na kuwaeleza wengine mwanamke fulani aliacha kutu-
mambo tunayojifunza. mia sanamu katika ibada.
“Biblia Inabadili Maisha”
(Mnara wa Mlinzi, Julai 1, 2011)
Ungejibuje?
˙ Tunawezaje kujifunza jinsi ya
kumwabudu Mungu kwa njia
inayokubalika? Jifunze kuhusu mambo
˙ Kwa nini tunapaswa kumwabudu yanayoweza kukusaidia
Yehova peke yake? utoe maelezo kwenye
mikutano ya kutaniko.
˙ Kwa nini tunapaswa kuabudu
“Msifu Yehova Katika
pamoja na watu wengine wana-
Kutaniko” (Mnara wa Mlinzi,
otaka kumfurahisha Mungu?
Januari 2019)
Tarehe ambayo somo limekamilishwa ( 3:07 Ona jinsi kijana fulani alivyonu-
faika kwa kuhudhuria mikutano
ya kutaniko ingawa haikuwa
rahisi kwake.
Lengo Yehova Alinitunza
N Lengo lingine:
Wengi wanaamini kwamba
msalaba ni ishara ya Ukri-
sto. Je, tunapaswa kuutu-
mia katika ibada yetu?
“Kwa Nini Mashahidi
wa Yehova Hawatumii
Msalaba Katika Ibada?”
(Makala iliyo kwenye mtandao)
Yesu Ni Nani?
Yesu ni mmoja kati ya watu maarufu zaidi kati- la uzazi la bikira aliyeitwa Maria. Na kwa njia
ka historia. Watu wengi wanajua jina lake, laki- hiyo, Yesu alizaliwa akiwa mwanadamu. (Soma
ni hawajui mengi kumhusu. Na wengine wana Luka 1:34, 35.) Yehova alimtuma Yesu duniani ili
maoni mbalimbali kumhusu Yesu. Biblia inafu- awe Masihi, au Kristo, na ili awaokoe wanada-
ndisha nini kumhusu Yesu? mu. Yesu alitimiza unabii wote wa Biblia ku-
mhusu Masihi, na hivyo ikawa rahisi kwa watu
1. Yesu ni nani? kutambua kwamba yeye “ndiye Kristo, Mwana
Yesu ni kiumbe wa roho mwenye nguvu anayei- wa Mungu aliye hai.”—Mathayo 16:16.
shi mbinguni. Yehova Mungu alimuumba kwa-
nza kabla ya vitu vingine vyote. Ndiyo saba- 3. Yesu yuko wapi sasa?
bu anaitwa “mzaliwa wa kwanza wa viumbe Baada ya Yesu kufa akiwa mwanadamu, Yehova
vyote.” (Wakolosai 1:15) Biblia inamwita Yesu alimfufua akiwa kiumbe wa roho na kisha aka-
‘Mwana mzaliwa pekee’ wa Mungu kwa sa- rudi mbinguni. Akiwa huko, “Mungu alimpandi-
babu Yesu peke yake ndiye aliyeumbwa moja sha kwenye cheo cha juu zaidi.” (Wafilipi 2:9)
kwa moja na Yehova. (Yohana 3:16) Yesu ali- Sasa, Yesu ana mamlaka kubwa sana. Cheo
fanya kazi kwa ukaribu na Yehova Baba yake, chake ni cha pili kutoka kwa Yehova.
akimsaidia kuumba vitu vingine vyote. (Soma
Somo la 26 na 27 litazungumzia kwa nini wanadamu wanahi-
Methali 8:30.) Bado Yesu ana uhusiano wa ka-
taji kuokolewa na jinsi Yesu anavyotuokoa.
ribu na Yehova. Anatumikia kwa ushikamani-
fu akiwa msemaji wa Mungu, yaani, “Neno,”
akiwasilisha ujumbe na maagizo ya Mungu.
—Yohana 1:14.
63
CH I M BA ZAI DI
65
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Yesu ni kiumbe wa roho mwenye
nguvu. Yeye ni Mwana wa Mungu Jifunze mengi zaidi kuhusu
na ndiye Masihi. jukumu la Yesu akiwa Masihi.
“Je, Unabii wa Kimasihi
Unathibitisha Kwamba
Ungejibuje? Yesu Alikuwa Ndiye Masihi?”
(Makala iliyo kwenye mtandao)
˙ Kwa nini Yesu anaitwa “mzaliwa
wa kwanza wa viumbe vyote”?
˙ Yesu alifanya kazi gani kabla
ya kuja duniani?
˙ Tunajuaje kwamba Yesu ndiye Chunguza uone ikiwa
Biblia inafundisha kwamba
Masihi?
Mungu alikuwa Baba mzazi
wa Yesu jinsi ambavyo
wanadamu huzaliwa.
“Kwa Nini Yesu Anaitwa
Mwana wa Mungu?”
(Makala iliyo kwenye mtandao)
67
CH I M BA ZAI DI
MATHAYO
alikuwa wa kwanza kuandika kita-
bu cha Injili. Alikazia mafundisho
ya Yesu, hasa mambo ambayo
6. Yesu alifanya miujiza Yesu alifundisha kuhusu Ufalme
wa Mungu.
Yehova alimpa Yesu uwezo wa kufanya miujiza mingi.
MARKO
Ili uone mfano mmoja, soma Marko 5:25-34 au onyesha aliandika kitabu kifupi zaidi
VIDEO. Kisha mzungumzie maswali yanayofuata. cha Injili. Kina habari nyingi
zenye kusisimua.
( VIDEO: Mwanamke Mgonjwa LUKA
Aponywa (5:10) anazungumzia umuhimu wa
sala na jinsi Yesu alivyowatendea
wanawake.
˙ Katika video hiyo, yule mwanamke mgonjwa alikuwa YOHANA
na uhakika gani? alifunua mengi kuhusu utu wa
˙ Ni jambo gani linalokupendeza kuhusu muujiza huo? Yesu kwa kusimulia mazungumzo
mengi kati ya Yesu na marafiki wa
karibu na pia watu wengine.
Soma Yohana 5:36, kisha mzungumzie swali hili:
˙ Miujiza ya Yesu ‘ilitoa ushahidi’ kuhusu nini au
ilithibitisha nini kumhusu?
WATU FULANI HUSEMA: “Yesu alikuwa mtu mzuri tu, lakini hakuwa Masihi.”
˙ Wewe una maoni gani?
69
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Yesu alihubiri kuhusu Ufalme wa
Mungu, alifanya miujiza, na kumtii Ni jambo gani ambalo Yesu
Yehova nyakati zote. alizungumzia zaidi wakati
wa huduma yake duniani?
“Ufalme wa Mungu—Una
Ungejibuje? Umuhimu Gani kwa Yesu?”
(Mnara wa Mlinzi, Oktoba 1, 2014)
˙ Ni kazi gani iliyokuwa muhimu
zaidi katika maisha ya Yesu
alipokuwa duniani?
˙ Miujiza ya Yesu inathibitisha
nini? Chunguza mambo yanayo-
thibitisha kwamba kweli
˙ Yesu alifundisha masomo
miujiza ya Yesu ilitukia.
gani muhimu?
“Miujiza ya Yesu Unaweza
Kujifunza Nini?” (Mnara wa
Mlinzi, Julai 15, 2004)
TIME
29,
Beginning
PLACE
fall Jordan
3:13-17
of
Riv-
Je-
EVENT
er
1:9-11
MATTHEW
Bap-
3:21-
MARK
tism
38
LUKE
of
1:
JOHN
Jesus
Mp Ona matukio muhimu ya
kuhusu huduma ya Yesu. 4:1-13
32-34
tempts
Bethany
Jesus
be-
Judean
4:1-11
yond
Wilderness
Jordan
identified as the Lamb
The
Devil
1:12,
13
Jesus
of
huduma ya Yesu kwa mfua-
tano wa jinsi yalivyotokea.
God 1:15, 29-34 Cana
of Galilee; Capernaum Wedding at ter wine 2:1-12 30,
Cana; Jesus turns wa- into Pass-
over Jerusalem Jesus
71
CH I M BA ZAI DI
6. Yesu ni mkarimu
VIDEO: “Kuna Furaha Zaidi Katika
Yesu alikuwa mkarimu ingawa hakuwa na vitu Kutoa”—Kisehemu (4:00)
vingi vya kimwili, na alitutia moyo tuwe wakarimu.
Soma Matendo 20:35, kisha mzungumzie swali hili:
˙ Kulingana na maneno hayo ya Yesu, tunawezaje
Je, wajua?
kuwa na furaha?
Biblia inatufundisha tusali kwa
Onyesha VIDEO, kisha mzungumzie swali linalofuata. Yehova kupitia jina la Yesu. (Soma
Yohana 16:23, 24.) Tunaposali
˙ Tunaweza kutoa katika njia zipi, hata ikiwa hatuna kwa njia hiyo, tunaonyesha kwa-
vitu vingi vya kimwili? mba tunatambua jambo ambalo
Yesu amefanya ili kutusaidia
tuwe rafiki za Yehova.
73
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Yesu anampenda Yehova, na pia
anawapenda watu. Kwa kuwa Yesu Chunguza baadhi ya sifa za
anaonyesha sifa za Baba yake, Yesu ambazo tunaweza kuiga.
unapozidi kumjua Yesu ndivyo “Mwige Yesu kwa Kusitawisha
utakavyozidi kumjua Yehova. Sifa Zifuatazo . . .” (Yesu—Njia,
Kweli, na Uzima, ukurasa wa 317)
Ungejibuje?
˙ Kama Yesu, tunawezaje kuonye-
sha kwamba tunampenda
Yehova? Jifunze kwa nini unapaswa
˙ Kama Yesu, tunawezaje kuonye- kusali kupitia jina la Yesu.
sha kwamba tunawapenda watu? “Kwa Nini Tusali Katika Jina
˙ Ni sifa gani ya Yesu inayokuvutia la Yesu?” (Mnara wa Mlinzi,
Februari 1, 2008)
zaidi?
N Lengo lingine:
Tunajifunza nini kutokana
na jinsi Yesu alivyowatendea
wanawake?
“Heshima na Staha Chini
ya Utunzaji wa Mungu” (Mnara
wa Mlinzi, Septemba 1, 2012)
Jinsi ya Kuwatambua
Wakristo wa Kweli
Mabilioni ya watu wanadai kuwa Wakristo. Laki- 3. Wakristo wa kweli wanafanya
ni viwango wanavyofuata maishani na mambo kazi gani kwa bidii?
wanayoamini yanatofautiana. Basi, tunawezaje Yesu aliwapatia wanafunzi wake kazi. ‘Aliwatu-
kuwatambua Wakristo wa kweli? ma wahubiri kuhusu Ufalme wa Mungu.’ (Luka
9:2) Wakristo wa mapema hawakuhubiri tu kati-
1. Inamaanisha nini kuwa Mkristo?
ka sehemu zao za ibada, bali pia walihubiri kati-
Wakristo ni wanafunzi au wafuasi wa Yesu Kri- ka maeneo ya hadharani na kwenye nyumba za
sto. (Soma Matendo 11:26.) Wanaonyeshaje watu. (Soma Matendo 5:42; 17:17.) Vivyo hivyo,
kwamba wao ni wanafunzi wa Yesu? Yesu ali- leo Wakristo wa kweli wanahubiri kweli za Bib-
sema: “Mkikaa katika neno langu, ninyi kwa lia mahali popote ambapo watu wanapatikana.
kweli ni wanafunzi wangu.” (Yohana 8:31) Wanawapenda jirani zao na hivyo wanafurahi
Hilo linamaanisha kwamba Wakristo wa kwe- kutumia wakati na nguvu zao kutangaza uju-
li wanapaswa kutii mafundisho ya Yesu. Kama mbe wa tumaini na faraja unaopatikana katika
mafundisho ya Yesu yalivyotegemea Maandi- Biblia.—Marko 12:31.
ko, mambo ambayo Wakristo wa kweli wanaa-
mini yanapaswa pia kutegemea Biblia.—Soma
Luka 24:27.
75
CH I M BA ZAI DI
77
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Wakristo wa kweli wanafuata mafu-
ndisho ya Biblia, wanaonyesha upe- ( 1:13 Jifunze mengi kuhusu kikundi
ndo usio na ubinafsi, na kuhubiri cha watu wanaojitahidi kufuata
kweli za Neno la Mungu. mfano na mafundisho ya
Yesu Kristo.
Mashahidi wa Yehova Ni Nani?
Ungejibuje?
˙ Mambo ambayo Wakristo wa
kweli wanaamini yanategemea
nini?
˙ Ni sifa gani inayowatambulisha Ona jinsi mwanamke aliyekuwa
Wakristo wa kweli? mtawa Mkatoliki alivyopata
“familia ya kweli ya kiroho.”
˙ Wakristo wa kweli wanafanya
kazi gani? “Walitumia Biblia Kujibu
Maswali Yangu Yote!”
(Mnara wa Mlinzi, Aprili 1, 2014)
79
CH I M BA ZAI DI
( VIDEO:
Jina Linalotutambulisha (2:56)
Wakristo wa kweli huwaonyesha
upendo watu wanaohitaji msaada
81
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Mashahidi wa Yehova ni Wakristo
wa kweli. Sisi ni familia ya waabudu ( 1:01:27 Jifunze mengi kuhusu
walio ulimwenguni pote. Imani yetu historia yetu.
inategemea Biblia na tunatangaza Mashahidi wa Yehova
ukweli kumhusu Yehova. —Imani Yenye Matendo,
Sehemu ya 1: Kutoka Gizani
Ungejibuje?
˙ Kwa nini tulichagua kuitwa
Mashahidi wa Yehova?
˙ Tunaonyeshaje kwamba ( 7:08 Ona mfano mmoja wa jinsi
tunapendana? Mashahidi wa Yehova walivyo-
funua mafundisho ya uwongo.
˙ Je, unafikiri Mashahidi wa
Yehova ni Wakristo wa kweli? Watu wa Mungu Hulitukuza
Jina Lake
Jinsi Ambavyo
Kutaniko Limepangwa
Yehova ni Mungu mwenye utaratibu. (1 Wako- la yake, wanatumikia “kwa hiari mbele za Mu-
rintho 14:33) Hivyo, tunatazamia watu wake ngu; si kwa kupenda pato lisilo la haki, bali
wawe na utaratibu. Kutaniko la Kikristo lime- kwa hamu.” (1 Petro 5:1, 2) Wazee husaidiwa na
pangwa jinsi gani? Tunawezaje kuunga mkono watumishi wa huduma ambao baadaye wana-
utaratibu huo? weza kustahili kuwa wazee.
Baraza Linaloongoza huweka rasmi baadhi ya
1. Kichwa cha kutaniko ni nani?
wazee wawe waangalizi wa mzunguko. Waanga-
‘Kristo ndiye kichwa cha kutaniko.’ (Waefeso lizi hao hutembelea makutaniko mbalimbali ili
5:23) Akiwa mbinguni, anaongoza kazi ya watu kutoa mwongozo na kuwatia moyo akina ndu-
wa Yehova ulimwenguni pote. Yesu alimweka gu na dada. Wao huweka rasmi wazee na wa-
rasmi “mtumwa mwaminifu na mwenye busa- tumishi wa huduma, ambao wanapaswa kuti-
ra,” yaani, kikundi kidogo cha wazee wakoma- miza viwango vilivyoonyeshwa katika Maandiko.
vu ambao pia wanaitwa Baraza Linaloongoza. —1 Timotheo 3:1-10, 12; Tito 1:5-9.
(Soma Mathayo 24:45-47.) Kama mitume na
wazee katika karne ya kwanza huko Yerusale- 3. Kila Shahidi wa Yehova ana jukumu gani?
mu, Baraza Linaloongoza hutoa mwongozo kwa Wote katika kutaniko ‘hulisifu jina la Yeho-
makutaniko yote ulimwenguni. (Matendo 15:2) va’ kwa kushiriki katika mikutano na kazi ya
Hata hivyo, wanaume hao si viongozi wa te- kuhubiri kulingana na hali zao.—Soma Zaburi
ngenezo letu. Wanafuata mwongozo wa Yehova 148:12, 13.
na Neno lake na kujitiisha chini ya ukichwa wa
Yesu.
83
CH I M BA ZAI DI
4. Yesu ni kiongozi
mwenye fadhili na
mwenye kuburudisha
Yesu anatupatia mwaliko wenye kupendeza.
Soma Mathayo 11:28-30, kisha mzungu-
mzie swali hili:
˙ Yesu ni kiongozi wa aina gani na anata-
ka tuhisije kuhusu uongozi wake?
WATU FULANI HUSEMA: “Si lazima ushirikiane na kikundi fulani cha dini.”
˙ Unafikiri kuna manufaa gani ya kumwabudu Mungu kwa kushirikiana na kutaniko?
85
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Yesu ndiye kichwa cha kutaniko.
Tunafurahia kushirikiana na wazee ( 4:22 Ona uthibitisho unaoonyesha
wanaotumikia chini ya Yesu kwa saba- jinsi Baraza Linaloongoza na
bu wanatuburudisha na kutufundisha wazee katika kutaniko wana-
kupitia mfano wao mzuri. vyowahangaikia Wakristo leo.
Kuwaimarisha Akina Ndugu
Wakati wa Marufuku
Ungejibuje?
˙ Kichwa cha kutaniko ni nani?
˙ Wazee wanasaidiaje kutaniko?
˙ Kila mwabudu wa Yehova ana ( 4:51 Jifunze kuhusu kazi
ambayo waangalizi wa
jukumu gani?
mzunguko wanafanya.
Maisha ya Mwangalizi
wa Mzunguko Vijijini
87
A
CH I M BA ZAI DI
B C D
E F
Kuhubiri ulimwenguni pote: (A) Kosta Rika, (B) Marekani, (C) Benin, (D) Thailand, (E) Yap, (F) Sweden
Je, wajua?
Katika kila mkutano wetu wa katikati ya
juma, tunapata mazoezi ya jinsi ya kuhubiri.
Ikiwa umewahi kuhudhuria mkutano huo, una
maoni gani kuhusu mazoezi yanayotolewa?
HUENDA MTU AKAULIZA: “Kwa nini Mashahidi wa Yehova wanahubiri nyumba kwa nyumba?”
˙ Wewe ungejibuje swali hilo?
89
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Yesu aliwaagiza wafuasi wake wahu-
biri habari njema katika mataifa yote. ( 5:11 Ona jinsi Mashahidi wa
Yehova anawasaidia watu wake kufa- Yehova wanavyowahubiria
nya kazi hiyo. watu katika majiji makubwa.
Mahubiri ya Pekee ya
Hadharani Jijini Paris
Ungejibuje?
˙ Kazi ya kuhubiri habari njema
inafanywaje ulimwenguni pote?
˙ Kazi yetu ya kuhubiri inaonye-
shaje kwamba tunawapenda ( 5:59 Mashahidi wa Yehova
jirani zetu? wamewasaidiaje wakimbizi?
˙ Je, unafikiri kazi ya kuhubiri Kutosheleza Kiu ya Kiroho
inaweza kutuletea furaha? Miongoni Mwa Wakimbizi
Kwa nini?
Unawezaje Kuwahubiria
Wengine Habari Njema?
Unapojifunza kweli za Biblia, huenda ukafikiri hivi, ‘Kila mtu
anapaswa kujua habari hizi!’ Ni kweli, kila mtu anapaswa ku-
sikia ujumbe huu! Lakini huenda ukaogopa kuwaambia we-
ngine kuhusu mambo unayojifunza. Tutazungumzia jinsi una-
vyoweza kushinda woga huo na jinsi unavyoweza kufurahia
kuanza kuwaambia wengine habari njema za Biblia. Jinsi unavyoweza kuanza
1. Unawezaje kuwaambia watu unaowafahamu Unapozungumza na watu
mambo unayojifunza? wa familia yako, anzisha mazu-
ngumzo ya Biblia kwa kusema:
Wanafunzi wa Yesu walisema hivi: “Hatuwezi kuacha kusema “Juma hili nilijifunza jambo
kuhusu mambo ambayo tumeyaona na kuyasikia.” (Mate- lenye kupendeza.”
ndo 4:20) Walipenda sana mambo waliyojifunza hivi kwamba Zungumzia andiko lenye
walitamani kuwaambia watu wengi iwezekanavyo mambo kutia moyo pamoja na rafiki
hayo. Je, wewe unahisi hivyo pia? Ikiwa ndivyo, tafuta fu- ambaye ni mgonjwa au aliye
rsa za kuwaambia kwa heshima watu wa familia na marafiki na mahangaiko.
mambo unayojifunza.—Soma Wakolosai 4:6. Mfanyakazi mwenzako akikuuliza
unaendeleaje, mwambie jambo
2. Kwa nini ni muhimu kujiwekea lengo la kuhubiri ulilojifunza katika funzo lako la
pamoja na kutaniko? Biblia au kwenye mkutano wa
Wanafunzi wa Yesu hawakuwahubiria habari njema watu wa- kutaniko.
liowafahamu tu. Yesu aliwatuma “wawili wawili . . . katika Waonyeshe rafiki zako tovuti
ya jw.org/sw.
kila jiji” ili wahubiri. (Luka 10:1) Utaratibu huo wa kuhubiri
uliwapatia watu wengi zaidi nafasi ya kusikia habari njema. Waalike wengine katika funzo
lako la Biblia, au uwaonyeshe
Pia, wanafunzi walipata shangwe nyingi kwa kuhubiri pamoja.
jinsi wanavyoweza kuomba
(Luka 10:17) Je, wewe pia unaweza kujiwekea lengo la kuhu- funzo la Biblia kwenye tovuti
biri pamoja na kutaniko? ya jw.org/sw.
91
CH I M BA ZAI DI
93
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Kuwahubiria wengine habari njema
huleta shangwe na huenda ikawa ( 1:43 Ona njia nne rahisi unazowe-
rahisi kuanza kuhubiri kuliko za kutumia kuhubiri habari
unavyofikiri. njema ukitumia kadi ya
mawasiliano ya jw.org.
Pendekezo la Kutoa Kadi
Ungejibuje? ya Mawasiliano ya jw.org
Ubatizo—Lengo Muhimu!
Yesu alifundisha kwamba ni lazima Wakristo wa- na mfano wa Yesu. (Mathayo 16:24) Kujiweka
batizwe. (Soma Mathayo 28:19, 20.) Lakini uba- wakfu na kubatizwa humwezesha mtu kuwa na
tizo ni nini? Na mtu anapaswa kufanya nini ili uhusiano wa karibu na Yehova na watu wengine
afikie lengo hilo? wanaomwabudu Yehova.
95
CH I M BA ZAI DI
97
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Yesu alifundisha kwamba ni lazima
Wakristo wabatizwe. Ili kufikia lengo Jifunze ukweli
hilo, mtu anapaswa kujenga imani kuhusu ubatizo.
yenye nguvu kwa Yehova, kuishi “Ubatizo Ni Nini?”
kulingana na viwango vyake, (Makala iliyo kwenye mtandao)
na kujiweka wakfu kwake.
Ungejibuje?
˙ Ubatizo ni nini, na kwa nini ni
muhimu kubatizwa? Chunguza hatua ambazo
˙ Kuna uhusiano gani kati ya mtu anapaswa kuchukua
kujiweka wakfu na kubatizwa? ili kufikia ubatizo.
˙ Ni hatua gani ambazo mtu “Upendo na Uthamini
Wetu kwa Yehova Hutu-
anapaswa kuchukua kabla ya
chochea Kubatizwa”
kujiweka wakfu na kubatizwa?
(Mnara wa Mlinzi, Machi 2020)
Malaika Ni Nani na
Wanafanya Kazi Gani?
Yehova anataka tujifunze kuhusu familia yake wamwasi Yehova na baadaye aliwashawishi ma-
iliyo mbinguni. Familia hiyo inatia ndani ma- laika wengine wajiunge naye katika uasi. Malaika
laika ambao wanaitwa “wana . . . wa Mungu.” hao waasi wanaitwa roho waovu. Yehova aliamua
(Ayubu 38:7) Biblia inasema nini kuhusu ma- wafukuzwe kutoka mbinguni waje duniani, nao
laika? Je, wanaweza kuwasaidia au kuwadhuru wataangamizwa.—Soma Ufunuo 12:9, 12.
watu? Je, malaika wote ni sehemu ya familia ya
Mungu? 3. Shetani na roho wake waovu wanatumia
mbinu gani kuwapotosha wanadamu?
1. Malaika ni nani? Shetani na roho waovu huwapotosha watu we-
Yehova aliwaumba malaika kabla ya kuumba du- ngi kupitia zoea baya la kujaribu kuwasiliana na
nia. Malaika wanaishi mbinguni na hatuwezi ku- viumbe wa roho. Kwa mfano, baadhi ya watu
waona kama vile ambavyo hatuwezi kumwo- hutafuta habari kutoka kwa wanajimu, wabashi-
na Yehova. (Waebrania 1:14) Kuna mamilioni ri, na waganga wa kienyeji. Na wengine huta-
ya malaika na kila mmoja wao ana utu wa pe- futa matibabu yanayohusisha roho waovu. Pia,
kee. (Ufunuo 5:11) Malaika ‘wanatekeleza neno watu hudanganywa waamini kwamba wanaweza
la Yehova, wakitii sauti yake.’ (Zaburi 103:20) kuzungumza na watu waliokufa. Lakini Yehova
Nyakati za kale, Yehova aliwatuma malaika wa- anatuonya hivi: “Msiende kwa watu wanaowasi-
peleke ujumbe au kuwasaidia na kuwaokoa watu liana na roho, wala msitafute ushauri kutoka
wake. Leo, malaika wanawaongoza Wakristo kwa kwa wabashiri.” (Mambo ya Walawi 19:31) Ana-
watu wanaotaka kujifunza kumhusu Mungu. tupatia onyo hilo ili kutulinda dhidi ya Shetani na
roho waovu. Wao ni maadui wa Mungu na wana-
2. Shetani na roho wake waovu ni nani? taka kutusababishia madhara.
Baadhi ya malaika hawakuendelea kuwa waa-
minifu kwa Yehova. Malaika wa kwanza aliyea-
si ni yule “anayeitwa Ibilisi na Shetani, ana-
yeipotosha dunia nzima inayokaliwa.” (Ufunuo
12:9) Shetani alitamani kuwatawala viumbe we-
ngine, basi aliwashawishi wanadamu wa kwanza
99
CH I M BA ZAI DI
101
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Malaika waaminifu hutusaidia.
Shetani na roho wake waovu ni Chunguza uthibitisho unaoo-
maadui wa Yehova, na wanatumia nyesha kwamba Yesu ndiye
mazoea ya kuwasiliana na roho Mikaeli, yule malaika mkuu.
ili kuwapotosha watu. “Yule Malaika Mkuu Mikaeli
Ni Nani?” (Makala iliyo kwenye
mtandao)
Ungejibuje?
˙ Malaika wa Yehova wanawasai-
diaje watu wajifunze kumhusu?
˙ Shetani na roho wake waovu Chunguza uthibitisho
ni nani? unaoonyesha kwamba
Ibilisi si uovu tu ulio ndani
˙ Kwa nini unapaswa kujiepusha
yetu, bali ni kiumbe halisi.
na mazoea ya kuwasiliana
“Je, Ibilisi Ni Kiumbe Halisi?”
na roho waovu?
(Makala iliyo kwenye mtandao)
103
CH I M BA ZAI DI
105
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Yehova anataka tufurahie maisha mi-
lele katika hali kamilifu hapa duniani. Chunguza mambo ya-
Tunapomwabudu kwa moyo wetu nayothibitisha kwamba
wote, maisha yetu yanakuwa na bustani ya Edeni ilikuwepo.
kusudi hata sasa. “Je, Bustani ya Edeni Ilikuwa
Halisi au Ni Hadithi Tu?”
(Mnara wa Mlinzi, Januari 1, 2011)
Ungejibuje?
˙ Yehova alikuwa na kusudi gani
alipowaumba Adamu na Hawa?
˙ Tunajuaje kwamba kusudi Chunguza uone kwa nini
la Mungu kwa wanadamu tunaweza kuwa na uhakika
halijabadilika? kwamba dunia itadumu milele.
˙ Unawezaje kupata kusudi “Je, Dunia Itaharibiwa?”
(Makala iliyo kwenye mtandao)
la kweli maishani?
107
CH I M BA ZAI DI
4. Ni nani anayefanya
wanadamu wateseke? (
109
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Shetani Ibilisi na wanadamu wawili
wa kwanza ndio waliosababisha uovu Jifunze jinsi Biblia inavyo-
ulio ulimwenguni. Yehova anajali sana fafanua maana ya dhambi.
tunapoteseka na hivi karibuni atao- “Dhambi Ni Nini?” (Makala iliyo
ndoa mateso. kwenye mtandao)
Ungejibuje?
˙ Shetani Ibilisi alimwambia
Hawa uwongo gani?
˙ Uasi wa Adamu na Hawa Soma mengi kuhusu suala
unatuathirije sisi sote? ambalo Shetani Ibilisi alizu-
sha katika bustani ya Edeni.
˙ Tunajuaje kwamba Yehova
anajali tunapoteseka? “Kwa Nini Mungu Anaruhusu
Watu Wateseke?” (Mnara wa
Mlinzi, Januari 1, 2014)
111
CH I M BA ZAI DI
( VIDEO: Kwa Nini Yesu Alikufa? ( VIDEO: Kwa Nini Yesu Alikufa?
—Sehemu ya 1 (2:01) —Sehemu ya 2 (2:00)
˙ Adamu alipoteza fursa gani alipokosa ˙ Kifo cha mtu mmoja kingewezaje
kumtii Mungu? kuwanufaisha watu wote?
Soma Waroma 5:12, kisha mzungumzie Soma 1 Timotheo 2:5, 6, kisha mzungumzie
swali hili: swali hili:
˙ Dhambi ambayo Adamu alifanya ˙ Adamu alikuwa mwanadamu mkamilifu
imeathirije maisha yako? ambaye aliwasababishia wanadamu wote
dhambi na kifo. Yesu pia alikuwa mwanada-
Soma Yohana 3:16, kisha mzungumzie swali hili: mu mkamilifu. Yesu alitoa jinsi gani “fidia
inayolingana” na uhai ambao Adamu
˙ Kwa nini Yehova alimtuma Mwana wake
alipoteza?
duniani?
Yesu alikuwa mwanamume
mkamilifu aliyemtii Mungu
na kuwafungulia wanadamu
njia ya kuwa wakamilifu na
kupata uzima wa milele
HUENDA MTU AKAULIZA: “Inawezekanaje mtu mmoja afe kwa ajili ya watu wote?”
˙ Wewe ungejibuje swali hilo?
113
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Kupitia kifo cha Yesu, Yehova anaweza
kutusamehe dhambi zetu, na tunapa- Jifunze kwa nini uhai mkami-
ta fursa ya kuishi milele. lifu wa Yesu unaitwa fidia.
“Ni kwa Njia Gani Dhabihu
ya Yesu Ilikuwa ‘Fidia kwa Ajili
Ungejibuje? ya Wengi’?” (Makala iliyo kwenye
mtandao)
˙ Kwa nini Yesu alikufa?
˙ Ni kwa njia gani uhai mkamilifu
wa Yesu ulikuwa fidia inayoli-
ngana?
˙ Kifo cha Yesu kinawezaje kuku- Chunguza mambo tunayo-
paswa kufanya ili tuokolewe.
nufaisha?
“Yesu Huokoa—Jinsi Gani?”
(Makala iliyo kwenye mtandao)
115
CH I M BA ZAI DI
3. Tunaonyesha shukrani
kupitia matendo
Wazia kwamba mtu fulani alikuokoa ili
usizame ndani ya maji. Je, unaweza kusa-
hau jambo ambalo mtu huyo alikufanyia?
Au je, utatafuta njia za kumwonyesha
shukrani kwa jambo alilokufanyia?
Yehova ndiye chanzo cha uhai wetu.
Soma 1 Yohana 4:8-10, kisha mzungu-
Yesu alipenda Neno la Mungu,
mzie maswali haya:
alihubiri habari njema, na
˙ Kwa nini dhabihu ya Yesu ni zawadi kuwasaidia wengine
ya pekee?
˙ Unahisije kuhusu mambo ambayo
Yehova na Yesu wamekufanyia?
117
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Tunaonyesha shukrani kwa mambo
ambayo Yesu ametufanyia kwa ( 9:30 Kifo cha Kristo hutu-
kumwamini, na kuhudhuria chochea kufanya nini?
Ukumbusho wa kifo chake. Aliutumia Mwili Wake
Kumheshimu Yehova
Ungejibuje?
˙ Kumwamini Yesu kunamaanisha
nini?
˙ Ni kwa njia gani unaweza kuo-
nyesha shukrani kwa mambo Jifunze mengi kuhusu imani
ambayo Yehova na Yesu na jinsi ya kuionyesha.
wamekufanyia? “Onyesha Imani Yako
˙ Kwa nini ni muhimu sana Katika Ahadi za Yehova”
(Mnara wa Mlinzi, Oktoba 2016)
kuhudhuria Ukumbusho
wa kifo cha Kristo?
Ni Nini Hutokea
Tunapokufa?
Je, umewahi kufiwa na mtu unayempenda? Ka- mtu anapokufa nafsi yake huendelea kuishi, la-
tika kipindi hicho kigumu huenda ulijiuliza: ‘Ni kini Biblia haifundishi hivyo. Basi, hakuna mtu
nini hutokea tunapokufa? Je, tutawaona tena anayeteseka baada ya kufa. Pia, kwa sababu
wapendwa wetu wakati ujao?’ Katika somo hili watu waliokufa hawajui jambo lolote, hawawezi
na linalofuata, tutachunguza majibu yenye ku- kutudhuru. Hivyo, hatuhitaji kuwatuliza au ku-
fariji yaliyo katika Biblia. waabudu watu waliokufa, wala kusali kwa aji-
li yao.
1. Ni nini hutokea tunapokufa?
Watu fulani hudai kwamba wana uwezo wa ku-
Yesu alilinganisha kifo na usingizi mzito. Mtu wasiliana na watu waliokufa. Lakini hilo haliwe-
ambaye amelala usingizi mzito hajui kinachoe- zekani. Kama tulivyojifunza, “waliokufa hawajui
ndelea. Kwa nini kifo kinalinganishwa na usingi- jambo lolote kamwe.” Wale wanaofikiri wana-
zi? Baada ya kufa mtu hawezi kuhisi maumivu. wasiliana na wapendwa wao waliokufa, inawe-
Hawezi kuhisi upweke hata kama aliwapenda zekana kwamba wanawasiliana na roho wao-
sana marafiki na watu wa familia yake. Biblia vu ambao hujifanya kuwa watu waliokufa. Kwa
inasema kwamba “waliokufa hawajui jambo lo- hiyo, kujua ukweli kuhusu kifo hutulinda dhidi ya
lote kamwe.”—Soma Mhubiri 9:5. roho waovu. Yehova anatuonya kwamba tusi-
2. Kwa nini ni muhimu kujua ukweli kuhusu kifo? jaribu kuwasiliana na watu waliokufa kwa sa-
babu anajua tukiwasiliana na roho waovu tu-
Watu wengi wanaogopa kifo, hata wanawaogo- tapata madhara.—Soma Kumbukumbu la Torati
pa watu waliokufa! Lakini mambo ambayo Biblia 18:10-12.
inasema kuhusu kifo yanaweza kukufariji. Yesu
alisema: “Kweli itawaweka ninyi huru.” (Yoha-
na 8:32) Baadhi ya dini hufundisha kwamba
119
CH I M BA ZAI DI
121
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Mtu anapokufa, uhai wake unakoma.
Watu waliokufa hawateseki wala ha- Ona maana halisi ya neno
wawezi kuwadhuru walio hai. “nafsi” katika Biblia.
“Nafsi Ni Nini?”
(Makala iliyo kwenye mtandao)
Ungejibuje?
˙ Ni nini hutokea tunapokufa?
˙ Kwa nini ni muhimu kujua ukweli
kuhusu kifo?
˙ Kwa nini kujifunza ukweli kuhusu
kifo kunatufariji? ( 3:07 Je, Mungu huwaadhibu watu
waovu katika moto wa mateso?
Je, Watu Watateswa Katika
Moto wa Mateso?
123
CH I M BA ZAI DI
Onyesha VIDEO.
125
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Biblia inaahidi kwamba mabilioni
ya watu waliokufa watafufuliwa. Chunguza mambo unayoweza
Yehova anataka waishi tena na kufanya ili kukabiliana na
amempa Yesu nguvu za kuwafufua. huzuni unapofiwa.
“Kukabiliana na Huzuni ya
Kufiwa” (Amkeni! Na. 3, 2018)
Ungejibuje?
˙ Yehova na Yesu wanahisije kuhu-
su kuwafufua watu waliokufa?
˙ Mabilioni ya watu watakaofufuli-
wa wataishi wapi, mbinguni au ( 5:06 Je, kweli kanuni za Biblia
duniani? Kwa nini unajibu hivyo? zinaweza kumsaidia mtu
anayeomboleza?
˙ Kwa nini una uhakika kwamba
wapendwa wako waliokufa wana- Mpendwa Wako Anapokufa
weza kuishi tena?
127
CH I M BA ZAI DI
6. Watawala wa Ufalme wa
Mungu wanaelewa hali yetu
Kwa kuwa Mfalme wetu, Yesu, aliwahi kuwa Serikali huweka sheria ili kuwalinda na kuwanufaisha
mwanadamu, anaweza ‘kuusikitikia udhaifu raia wake. Ufalme wa Mungu una sheria bora
wetu.’ (Waebrania 4:15) Wanaume na wanawake zinazowalinda na kuwanufaisha raia wake
waaminifu 144,000 ambao watatawala pamoja
na Yesu wamechaguliwa na Yehova “kutoka
katika kila kabila na lugha na watu na taifa.”
—Ufunuo 5:9.
˙ Je, unafarijika kujua kwamba Yesu na
watawala wenzake wanaelewa hali za
wanadamu? Kwa nini?
129
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Ufalme wa Mungu ni serikali halisi
iliyo mbinguni ambayo itaitawala Chunguza uone Yesu
dunia yote. alisema utawala wa Mungu
utatawala kutokea wapi.
“Je, Ufalme wa Mungu Umo
Ungejibuje? Moyoni Mwako?” (Makala iliyo
kwenye mtandao)
˙ Watawala wa Ufalme wa
Mungu ni nani?
˙ Kwa nini Ufalme wa Mungu
ni bora kuliko serikali zote
za wanadamu? ( 1:43 Kwa nini Mashahidi wa Yehova
wanachagua kuwa washikama-
˙ Yehova anatarajia raia
nifu kwa Ufalme wa Mungu ba-
wa Ufalme wake wafanye
dala ya serikali za wanadamu?
mambo gani?
Kuunga Mkono Ufalme
wa Mungu
Ufalme wa Mungu
Umeanza Kutawala!
Ufalme wa Mungu ulianza kutawala mbinguni nza kutawala mbinguni akiwa Mfalme wa
mwaka wa 1914. Pia, siku za mwisho za uta- Ufalme wa Mungu. Baadhi ya mambo aliyota-
wala wa wanadamu zilianza mwaka huo. Tuna- ja ni vita, upungufu wa chakula, na mateteme-
juaje? Tutachunguza mambo ambayo Biblia ili- ko ya ardhi. (Soma Mathayo 24:7.) Pia, Biblia
tabiri, hali zinazoendelea ulimwenguni leo, na ilitabiri kwamba tabia za watu katika “siku za
jinsi ambavyo watu wamekuwa wakitenda tangu mwisho” zingefanya hali ziwe “ngumu kushu-
mwaka wa 1914. ghulika nazo.” (2 Timotheo 3:1-5) Hali na tabia
hizo zimeonekana waziwazi hasa tangu mwaka
1. Biblia ilitabiri nini? wa 1914.
Kitabu cha Biblia cha Danieli kinaonyesha kwa-
mba Ufalme wa Mungu ungeanza kutawala 3. Kwa nini hali zimekuwa mbaya sana tangu
mwishoni mwa kipindi kinachoitwa “nyakati Ufalme wa Mungu ulipoanza kutawala?
saba.” (Danieli 4:16, 17) Karne nyingi baadaye, Muda mfupi baada ya kuwa Mfalme wa Ufalme
Yesu alisema kipindi hicho kinaitwa “nyakati zi- wa Mungu, Yesu alipigana vita mbinguni dhidi
lizowekwa za mataifa,” na alifundisha kwamba ya Shetani na roho waovu. Shetani alishindwa
bado kilikuwa kinaendelea. (Luka 21:24) Kama katika vita hivyo. Biblia inasema: “[alitupwa]
tutakavyoona, zile nyakati saba ziliisha mwaka chini duniani, na malaika zake wakatupwa
wa 1914. chini pamoja naye.” (Ufunuo 12:9, 12) Sheta-
ni ana hasira kali kwa sababu anajua kwamba
2. Tangu mwaka wa 1914, hali zimekuwaje ataangamizwa. Kwa hiyo, anasababisha mau-
na watu wamekuwa wakitendaje? mivu na kuteseka ulimwenguni pote. Ndiyo sa-
Wanafunzi wa Yesu walimwuliza hivi: “Ni nini babu hali ni mbaya sana ulimwenguni! Ufalme
itakayokuwa ishara ya kuwapo kwako na ya wa Mungu utaondoa matatizo hayo yote.
umalizio wa mfumo wa mambo?” (Mathayo
24:3) Yesu aliwajibu kwa kutabiri mambo me-
ngi ambayo yangetokea wakati ambapo angea-
131
CH I M BA ZAI DI
132
Jinsi Ile Ndoto ya Mti Inavyohusiana
na Ufalme wa Mungu
(C) “Utarudishiwa
tena ufalme wako”
Utawala Utawala
Utawala wakatizwa warudishwa
UTIMIZO WA KWANZA
(D) Nebukadneza, (E) Baada ya mwaka wa 606 K.W.K., (F) Nebukadneza arudiwa
Mfalme wa Babiloni Nebukadneza arukwa na akili na na fahamu na anaanza
anashindwa kutawala kwa miaka saba kutawala tena
UTIMIZO WA PILI
135
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Unabii wa Biblia, mfuatano wa matu-
kio, na hali zilizo ulimwenguni zinathi- Chunguza mambo
bitisha kwamba sasa Ufalme wa Mu- ambayo wanahistoria
ngu unatawala. Tunaonyesha kwamba na watu wengine husema
tunaamini hilo kwa kuhubiri kuhusu kuhusu mabadiliko ulimwe-
Ufalme na kuhudhuria mikutano ya nguni tangu mwaka wa 1914.
kutaniko. “Maadili Yalipoporomoka
Ghafula” (Amkeni!, Aprili 2007)
Ungejibuje?
˙ Ni nini kilichotokea baada ya
nyakati saba zilizotabiriwa katika Soma uone jinsi unabii ulio ka-
kitabu cha Biblia cha Danieli? tika Mathayo 24:14 ulivyobadili
maisha ya mwanamume fulani.
˙ Ni nini kinachokuthibitishia kwa-
mba Ufalme wa Mungu ulianza “Nilipenda Mchezo wa
kutawala mwaka wa 1914? Besiboli Kuliko Kitu Kingine
Chochote!” (Mnara wa Mlinzi,
˙ Unaweza kuonyeshaje kwamba Na. 3 2017)
unaamini Ufalme wa Mungu
unatawala?
N Lengo lingine:
Ni nini kinachoonyesha kwa-
mba nyakati saba zinazotajwa
katika Danieli sura ya 4 ziliisha
mwaka wa 1914?
“Ufalme wa Mungu
Ulianza Kutawala Lini?
(Sehemu ya 2)” (Mnara wa
Mlinzi, Novemba 1, 2014)
Ufalme wa Mungu
Utatimiza Nini?
Tayari Ufalme wa Mungu umeanza kutawala. 3. Ufalme wa Mungu utatimiza nini baada
Hivi karibuni utafanya mabadiliko makubwa du- ya waovu kuangamizwa?
niani. Tutachunguza baadhi ya mambo mazuri Baada ya waovu kuangamizwa, Yesu atatawala
ambayo tunatazamia kufurahia chini ya utawala akiwa Mfalme kwa miaka elfu moja. Wakati huo,
wa Ufalme wa Mungu. Yesu na watawala wenzake 144,000 watawasai-
dia wanadamu walio duniani kuwa wakamilifu
1. Ufalme wa Mungu utaletaje amani
na wasio na dhambi. Mwishoni mwa kipindi hi-
na haki duniani?
cho, dunia itakuwa paradiso maridadi, na watu
Yesu, Mfalme wa Ufalme wa Mungu, atawaa- wote watakuwa na furaha kwa sababu ya kutii
ngamiza watu waovu na serikali zote katika vita sheria za Yehova. Kisha Yesu atamrudishia uta-
vya Har–Magedoni. (Ufunuo 16:14, 16) Waka- wala Yehova Baba yake. Wakati huo, ‘jina la Ye-
ti huo, ahadi hii ya Biblia itatimizwa kikamili: hova litakuwa limetakaswa’ kikamili. (Matha-
“Bado muda mfupi tu, na watu waovu hawa- yo 6:9, 10) Yehova atakuwa amethibitika kuwa
takuwepo tena.” (Zaburi 37:10) Kupitia Ufalme Mtawala mzuri anayewajali raia wake. Kisha Ye-
huo, Yesu atahakikisha kwamba kuna amani na hova atamwangamiza Shetani, roho waovu, na
haki duniani pote.—Soma Isaya 11:4. watu wengine watakaoasi utawala wa Mungu.
2. Maisha yatakuwaje mapenzi ya Mungu (Ufunuo 20:7-10) Hali kamilifu zitakazoletwa na
yatakapotimizwa duniani? Ufalme wa Mungu zitadumu milele.
Chini ya utawala wa Ufalme wa Mungu, “waa-
dilifu wataimiliki dunia, nao wataishi humo
milele.” (Zaburi 37:29) Wazia kuishi katika uli-
mwengu ambao kila mtu ni mwadilifu, watu
wote wanampenda Yehova na wanapendana!
Watu hawatakuwa wagonjwa tena, na kila mtu
ataishi milele.
137
CH I M BA ZAI DI
(
5. Yesu ndiye Mfalme bora
Akiwa Mfalme wa Ufalme wa Mungu, Yesu atafanya
VIDEO: Yesu Alionyesha
mambo mengi ili kuwasaidia raia wake. Onyesha VIDEO
Mambo Ambayo Ufalme ili uone kwamba Yesu amethibitisha anatamani kuwasaidia
Utatimiza (1:13) watu na Mungu amempa nguvu za kufanya hivyo.
Yesu alipokuwa duniani, alionyesha mambo ambayo Ufalme
wa Mungu utatimiza. Kati ya baraka zilizoonyeshwa, ni baraka
gani unayotazamia kwa hamu? Soma Maandiko yaliyoonyeshwa
ili kujifunza mengi kuhusu baraka hizo.
YESU ALIPOKUWA YESU AKIWA
DUNIANI . . . MBINGUNI . . .
139
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Ufalme wa Mungu utatimiza malengo
yake yote. Utaifanya dunia yote kuwa Jifunze maana ya
paradiso iliyojaa watu wema watakao- Har–Magedoni.
mwabudu Yehova milele. “Vita vya Har–Magedoni
Ni Nini?” (Makala iliyo
kwenye mtandao)
Ungejibuje?
˙ Ufalme wa Mungu utalitakasaje
jina la Yehova?
˙ Kwa nini tunaweza kuamini kwa-
mba Ufalme wa Mungu utatimiza Chunguza kile kitakachotukia
ahadi zilizo katika Biblia? wakati utawala wa miaka
elfu moja wa Yesu na
˙ Ni jambo gani unalotazamia kwa
baada ya hapo.
hamu kati ya mambo ambayo
“Ni Nini Kitakachotokea
Ufalme wa Mungu utatimiza?
Katika Siku ya Hukumu?”
(Mnara wa Mlinzi,
Septemba 1, 2012)
6. Kichwa cha kutaniko ni nani, 14. Kwa nini Ufalme wa Mungu ni bora
naye anaongozaje kutaniko? kuliko serikali nyingine zote?
(Ona Somo la 31 na 33.)
(Ona Somo la 20.)
15. Je, unaamini kwamba Ufalme
7. Soma Mathayo 24:14.
wa Mungu unatawala? Kwa nini?
˙ Unabii huu unatimizwaje leo? Ufalme huo ulianza kutawala lini?
˙ Umezungumza na nani kuhusu (Ona Somo la 32.)
habari njema?
Maswali yako:
(Ona Somo la 21 na 22.)
MASOMO
34 Tunaweza Kuonyeshaje Kwamba
Tunampenda Yehova?
35 Jinsi ya Kufanya Maamuzi Mazuri
36 Uwe Mnyoofu Katika Mambo Yote
37 Maoni ya Biblia Kuhusu Pesa na Kazi
38 Thamini Zawadi ya Uhai
39 Maoni ya Mungu Kuhusu Damu
40 Tunawezaje Kuwa Safi Machoni pa Mungu?
41 Biblia Inasema Nini Kuhusu Ngono?
42 Biblia Inasema Nini Kuhusu Useja na Ndoa?
43 Wakristo Wanapaswa Kuwa na Maoni
Gani Kuhusu Kileo?
44 Je, Sherehe Zote Zinamfurahisha Mungu?
45 Inamaanisha Nini Kutounga Mkono
Upande Wowote?
46 Kwa Nini Unapaswa Kujiweka Wakfu
na Kubatizwa?
47 Je, Uko Tayari Kubatizwa?
34
Tunaweza Kuonyeshaje
Kwamba Tunampenda Yehova?
Tangu ulipoanza kujifunza Biblia, je, upendo 2. Kwa nini inaweza kuwa vigumu kwetu
wako kwa Mungu umeongezeka? Je, ungependa kumpenda Yehova?
kuendelea kuimarisha urafiki wako na Mungu? “Mwadilifu ana matatizo mengi.” (Zaburi
Ikiwa ndivyo, kumbuka kwamba Yehova ana- 34:19) Sote tunapambana na hali yetu ya kuto-
poona upendo wako kwake ukizidi kuongezeka, kamilika. Huenda pia tukakabili matatizo ya kiu-
ndivyo atakavyoendelea kukupenda na kukujali chumi, ukosefu wa haki, na matatizo mengine.
zaidi. Unawezaje kumwonyesha kwamba una- Tunapokabili matatizo, huenda isiwe rahisi kwe-
mpenda? tu kumtii Yehova. Kwa sababu matatizo yana-
weza kufanya iwe vigumu kumtii Yehova. Laki-
1. Tunawezaje kumwonyesha Yehova
ni ikiwa utakuwa mwaminifu na kumtii Yehova,
kwamba tunampenda?
utaonyesha kwamba unampenda kuliko kitu ki-
Tunaonyesha kwamba tunampenda Yehova kwa ngine chochote. Na utathibitisha kwamba wewe
kumtii. (Soma 1 Yohana 5:3.) Yehova hamla- ni mshikamanifu kwake. Naye atakuwa mshi-
zimishi mtu yeyote amtii. Badala yake, ame- kamanifu kwako. Hatakuacha kamwe.—Soma
mpa kila mmoja wetu nafasi ya kuamua ikiwa Zaburi 4:3.
tutamtii au la. Kwa nini? Yehova anataka tuwe
“watiifu kutoka moyoni.” (Waroma 6:17) Hilo li-
namaanisha kwamba anataka tumtii si kwa ku-
lazimishwa, bali kwa sababu tunampenda. Se-
hemu ya 3 na ya 4 ya kitabu hiki imekusudiwa
kukusaidia kuonyesha kwamba unampenda Ye-
hova kwa kufanya mambo yanayomfurahisha
na kuepuka mambo anayochukia.
143
CH I M BA ZAI DI
3. Suala linalokuhusu
Katika kitabu cha Biblia cha Ayubu, Shetani alitokeza
madai si dhidi ya Ayubu tu, bali pia dhidi ya kila mtu
anayetaka kumtumikia Yehova. Soma Ayubu 1:1, 6-2:10,
kisha mzungumzie maswali haya:
˙ Kulingana na madai ya Shetani, kwa nini Ayubu
alimtii Yehova?—Ona Ayubu 1:9-11.
˙ Shetani anadai nini kuhusu wanadamu wote,
kutia ndani wewe?—Ona Ayubu 2:4.
4. Fanya moyo wa
Yehova ushangilie
Soma Methali 27:11, kisha mzungumzie maswali haya:
˙ Yehova anahisije unapotenda kwa hekima na kumtii?
Kwa nini?
5. Unaweza kuwa mshikamanifu kwa Yehova (
6. Tunanufaika
tunapomtii Yehova
Sikuzote kumtii Yehova ndilo jambo bora.
Soma Isaya 48:17, 18, kisha mzungumzie
maswali haya:
Tunathibitisha kwamba
tunampenda Yehova ˙ Je, tunaweza kuwa na hakika kwamba
tunapoendelea kuwa sikuzote Yehova anajua jambo linalotufaa
washikamanifu kwake kabisa? Kwa nini?
˙ Kufikia sasa, umenufaikaje kwa
kujifunza Biblia na kumhusu Mungu
wa kweli, Yehova?
145
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Unaweza kuonyesha kwamba una-
mpenda Yehova kwa kumtii na kue- ( 16:49 Ona jinsi unavyoweza
ndelea kuwa mshikamanifu kwake kuwa mshikamanifu kwa
hata unapokabili changamoto. Yehova na kutaniko?
“Kwa Mtu Mshikamanifu
Unatenda kwa Ushikamanifu”
Ungejibuje?
˙ Mfano wa Ayubu umekufundisha
nini?
˙ Utathibitishaje kwamba unampe-
nda Yehova? Jifunze kuhusu madai ya
Shetani dhidi ya wanadamu.
˙ Ni nini ambacho kitakusaidia
uendelee kuwa mshikamanifu “Ayubu Adumisha Utimilifu”
kwa Yehova? (Biblia—Ina Ujumbe Gani?
sehemu ya 6)
Tarehe ambayo somo limekamilishwa ( 8:18 Ona jinsi vijana na watoto wa-
navyoweza kuonyesha kwamba
wanampenda Yehova.
Mfurahishe Yehova
Lengo
N Weka akilini maneno ya andiko
la Methali 27:11, na uyafikirie
inapokuwa vigumu kwako
kumtii Yehova.
( 4:00 Vijana wanawezaje kuendelea
N Lengo lingine: kuwa washikamanifu kwa Mu-
ngu hata wanaposhinikizwa
na vijana wenzao?
Simama Imara Unaposhiniki-
zwa na Marafiki!
Jinsi ya Kufanya
Maamuzi Mazuri
Kila mtu hufanya maamuzi. Maamuzi tunayo- lewa maoni ya Mungu kuhusu jambo fulani tu-
fanya yanaweza kuwa na matokeo mazuri au naposoma simulizi la Biblia. Tunapoelewa jinsi
mabaya na yanaweza kuathiri urafiki wetu na Yehova anavyohisi, tunaweza kufanya maamuzi
Yehova. Kwa mfano, huenda tukahitaji kuamua yanayomfurahisha.
mahali tutakapoishi, kazi tutakayofanya, au iki-
wa tutafunga ndoa. Tunapofanya maamuzi ma- 2. Unapaswa kufikiria mambo gani kabla ya
zuri, tunakuwa na maisha yenye furaha na tuna- kufanya uamuzi?
mfurahisha Yehova. Biblia inasema: “Mwerevu hutafakari kila ha-
tua.” (Methali 14:15) Hilo linamaanisha kwamba
1. Biblia inaweza kukusaidiaje kufanya maamuzi kabla ya kufanya uamuzi tunapaswa kufikiria
mazuri? kwa makini mambo yote yanayohusika. Unapo-
Kabla ya kufanya uamuzi, sali kwa Yehova chunguza kila jambo, jiulize hivi: ‘Ni kanuni gani
umwombe akusaidie kisha uchunguze maoni za Biblia zinazohusika? Ni uamuzi gani ambao
yake katika Biblia kuhusu jambo hilo. (Soma utaniletea amani ya akili? Uamuzi wangu utaku-
Methali 2:3-6.) Wakati fulani, Yehova hutuambia wa na matokeo gani kwa watu wengine? Jambo
jambo hususa la kufanya. Ikiwa kuna amri husu- muhimu zaidi, je, uamuzi huu utamfurahisha Ye-
sa, jambo la busara ni kutii mwongozo huo. hova?’—Kumbukumbu la Torati 32:29.
Namna gani ikiwa hakuna amri hususa katika Yehova ana haki ya kutuamulia mambo mema
Biblia kuhusu jambo unalopaswa kufanya? Bado na mabaya. Tunapoelewa vizuri sheria na kanuni
Yehova atakuongoza “katika njia unayopaswa zake na kuazimia kuzifuata, tunazoeza dhamiri
kutembea.” (Isaya 48:17) Jinsi gani? Unawe- yetu. Dhamiri ni uwezo ulio ndani yetu wa kuta-
za kupata kanuni ambazo zitakuongoza. Ka- mbua mambo yanayofaa na yasiyofaa. (Waro-
nuni za Biblia ni kweli za msingi zinazofunua ma 2:14, 15) Tukizoeza dhamiri yetu, itatusaidia
mawazo na hisia za Mungu. Kwa kawaida tunae- kufanya maamuzi mazuri.
147
CH I M BA ZAI DI
149
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Tunafanya maamuzi mazuri tunapo-
chunguza maoni ya Yehova kuhusu Unawezaje kufanya maamuzi
jambo fulani na kufikiria ikiwa maa- yatakayoimarisha urafiki
muzi yetu yatawasaidia watu wengine wako na Mungu?
au kuwasababishia madhara. “Fanya Maamuzi Ambayo
Yanamletea Mungu Heshima”
(Mnara wa Mlinzi, Aprili 15, 2011)
Ungejibuje?
˙ Unawezaje kufanya maamuzi
yanayomfurahisha Yehova?
˙ Unawezaje kuizoeza dhamiri ( 9:50 Jifunze jinsi Yehova
yako? anavyotupatia ushauri.
˙ Unaweza kuonyesha jinsi gani Yehova Anawaongoza
kwamba unaheshimu dhamiri Watu Wake
za watu wengine?
Uwe Mnyoofu
Katika Mambo Yote
Sote tunapenda kuwa na marafiki wanyoofu. Ye- zetu Wakristo, au maofisa wa serikali, hatusemi
hova anataka rafiki zake wawe wanyoofu pia. uwongo wala kutoa habari zinazopotosha. Watu
Lakini si rahisi kuwa wanyoofu kwa sababu tu- wanyoofu hawawaibii au kuwapotosha watu we-
naishi katika ulimwengu uliojaa watu wasio wa- ngine. (Soma Methali 24:28 na Waefeso 4:28.)
nyoofu. Kuna manufaa gani ya kuwa wanyoofu Na wanalipa kodi zote wanazodaiwa. (Waro-
katika mambo yote? ma 13:5-7) Kwa njia hizo na nyinginezo, “[tuna-
jiendesha] kwa unyoofu katika mambo yote.”
1. Ni sababu gani muhimu zaidi ya kuwa —Waebrania 13:18.
wanyoofu?
Tunapowatendea wengine kwa unyoofu, tu- 3. Kuna manufaa gani za kuwa wanyoofu?
namwonyesha Yehova kwamba tunampenda Tunapojulikana kuwa watu wanyoofu ni rahi-
na tunamheshimu. Kumbuka kwamba Yehova si kwa watu wengine kutuamini. Pia, tunacha-
anajua mambo yote tunayofikiria na kutenda. ngia hali ya usalama na upendo katika kutaniko.
(Waebrania 4:13) Anaona tunapotenda kwa Tunafurahia dhamiri safi. Tunapokuwa wanyoo-
unyoofu na jambo hilo linamfurahisha. Neno fu, “[tunalipamba] fundisho la Mwokozi wetu,
lake linasema: “Yehova humchukia mtu mwe- Mungu,” na tunawavuta watu wengine wajiunge
nye hila, lakini ana urafiki wa karibu na watu nasi kumwabudu Yehova.—Tito 2:10.
wanyoofu.”—Methali 3:32.
151
CH I M BA ZAI DI
4. Unyoofu humfurahisha
Yehova
Soma Zaburi 44:21 na Malaki 3:16,
kisha mzungumzie maswali haya:
˙ Kwa nini si jambo la hekima kufikiri
kwamba tunaweza kuficha ukweli?
˙ Unafikiri Yehova anahisije tunapoamua
kusema ukweli, hata inapokuwa vigumu
kufanya hivyo?
(
5. Tenda kwa unyoofu nyakati zote
Watu wengi hufikiri kwamba haiwezekani kuwa mnyoofu
VIDEO: Ni Mambo Gani
nyakati zote. Hata hivyo, chunguza kwa nini tunapaswa
Yanayoleta Shangwe? kuwa wanyoofu kila wakati. Onyesha VIDEO.
—Dhamiri Safi (2:32) Soma Waebrania 13:18, kisha mzungumzie jinsi
tunavyoweza kuwa wanyoofu . . .
˙ katika familia.
˙ kazini au shuleni.
˙ katika hali nyingine.
6. Tunanufaika tunapokuwa
wanyoofu
Nyakati nyingine tunaweza kupatwa na matatizo
kwa sababu ya kuwa wanyoofu. Lakini ukweli ni kwa-
mba tutanufaika tunapokuwa wanyoofu sikuzote.
Soma Zaburi 34:12-16, kisha mzungumzie swali hili:
˙ Unyoofu unaweza kukusaidiaje kuwa na
maisha bora?
Wafanyakazi wanyoofu
huaminiwa na waajiri wao
153
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Yehova anataka rafiki zake wawe
wanyoofu katika mambo yote ( 1:44 Wazazi wanaweza kuwasaidiaje
wanayosema na kutenda. watoto wao wawe wanyoofu?
Sema Kweli
Ungejibuje?
˙ Tunaweza kuwa wanyoofu
katika njia gani?
˙ Kwa nini si jambo la hekima
kufikiri kwamba tunaweza
kuficha ukweli? ( 9:09 Tunapata manufaa gani
tunapotimiza ahadi zetu?
˙ Kwa nini ungependa kuwa
mnyoofu nyakati zote? Timiza Ahadi, Upate Baraka
Maoni ya Biblia
Kuhusu Pesa na Kazi
Je, umewahi kulemewa na mahangaiko kuhu- na vitu tulivyo navyo, tunaepuka mahangaiko
su kazi au pesa? Huenda ikawa vigumu kushu- ya kutafuta vitu vingi zaidi. Tunaepuka madeni
ghulikia mahitaji yetu na wakati huohuo kumto- yasiyo ya lazima. (Methali 22:7) Na tunaepuka
lea Yehova ibada anayostahili. Biblia inatupatia hatari ya kucheza kamari au kunaswa na njia za
ushauri unaoweza kutusaidia. kupata utajiri wa haraka.
1. Biblia inasema nini kuhusu kazi? 3. Tunawezaje kutumia pesa zetu kwa ukarimu?
Mungu anataka tufurahie kazi yetu. Biblia ina- Yehova ni Mungu mkarimu na tunamwiga tu-
sema hivi: “Hakuna jambo bora analoweza napokuwa “wakarimu, tayari kushiriki vitu na
kufanya mtu kuliko . . . kufurahia kazi yake wengine.” (1 Timotheo 6:18) Tunaweza kutumia
ngumu.” (Mhubiri 2:24) Yehova ni mfanyakazi pesa zetu kwa ukarimu kwa kutoa michango ka-
mwenye bidii. Tunapomwiga kwa kufanya kazi tika kutaniko na kuwasaidia watu wengine wa-
kwa bidii, tunamfurahisha na tunaridhika. naohitaji msaada, hasa waabudu wenzetu. Ye-
Kufanya kazi ni muhimu. Lakini hatupaswi ka- hova anapendezwa hasa na nia yetu ya kutoa,
mwe kuruhusu kazi iwe muhimu kuliko ibada bali si kiasi tunachotoa. Tunapotoa kwa ukarimu
yetu kwa Yehova. (Yohana 6:27) Yehova anatua- kutoka moyoni, tunakuwa na furaha na tuna-
hidi kwamba tukimtanguliza, atatuandalia ma- mfurahisha Yehova.—Soma Matendo 20:35.
hitaji yetu ya kimwili.
155
CH I M BA ZAI DI
Kufanya kazi ni muhimu. Lakini hatupaswi kamwe kuruhusu kazi iwe muhimu kuliko ibada yetu kwa Yehova
5. Tunanufaika tunaporidhika 6. Yehova
Watu wengi hujitahidi kutafuta pesa nyingi iwezekanavyo.
atatuandalia
Lakini Biblia inatoa ushauri tofauti. Soma 1 Timotheo 6:6-8, mahitaji yetu
kisha mzungumzie swali hili:
Inapokuwa vigumu kupata kazi au
˙ Biblia inatutia moyo tufanye nini? pesa, tunapata nafasi ya kuonye-
sha kama kweli tunamtegemea Ye-
Tunaweza kuwa na furaha hata tukiwa na vitu vichache sana. hova. Onyesha VIDEO ili kuona
Onyesha VIDEO, kisha mzungumzie swali linalofuata. jinsi tunavyoweza kukabiliana na
matatizo ya kifedha, kisha mzu-
( VIDEO: “Ridhika na Vitu vya Sasa” ngumzie maswali yanayofuata.
(3:20)
(
WATU FULANI HUSEMA: “Lazima nifanye kazi kwa bidii ili kuiandalia
familia yangu. Siwezi kuhudhuria mikutano ya kutaniko kila juma.”
˙ Ni andiko gani linalokuthibitishia kwamba kutanguliza ibada yako
kwa Yehova ndio uamuzi bora?
157
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Tunahitaji kazi na pesa lakini
mambo hayo hayapaswi kamwe Chunguza uone kama
kutuzuia kumtumikia Yehova. Biblia inafundisha kwamba
ni vibaya kuwa na pesa.
“Je, Pesa Ndio Chanzo cha
Ungejibuje? Uovu Wote?” (Makala iliyo
kwenye mtandao)
˙ Ni nini kinachoweza kukusaidia
uwe na usawaziko kuhusu kazi?
˙ Kuridhika kunaweza kukunufai-
shaje?
˙ Unaweza kuonyeshaje kwamba Jifunze jinsi tunavyoweza
kutumia pesa zetu kwa njia
unaamini ahadi ya Yehova ya ku-
inayomfurahisha Mungu.
waandalia mahitaji watu wake?
“Biblia Inasema Nini Kuhusu
Kutoa?” (Makala iliyo kwenye
mtandao)
159
CH I M BA ZAI DI
Onyesha VIDEO.
Hata mwanamke anayethamini uhai huenda
akahisi kwamba hali zinamlazimu kutoa mimba.
Soma Isaya 41:10, kisha mzungumzie maswali haya:
˙ Ikiwa mwanamke anakabili mkazo wa kutoa mimba
anapaswa kutafuta msaada kwa nani? Kwa nini?
WATU FULANI HUSEMA: “Mwanamke ana haki ya kutoa mimba kwa sababu ni mwili wake.”
˙ Ni nini kinachokusadikishia kwamba Yehova anathamini uhai wa mama na mtoto ambaye
bado hajazaliwa?
161
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Biblia inatufundisha kwamba tunapa-
swa kupenda, kuheshimu, na kulinda ( 2:41 Tunawezaje kumshukuru
zawadi ya uhai ambayo Yehova ame- Yehova kwa zawadi ya uhai?
tupatia. Hilo linatia ndani uhai wetu Wimbo 141—Muujiza wa Uhai
na uhai wa watu wengine.
Ungejibuje?
˙ Kwa nini uhai wa mwanadamu
ni wenye thamani machoni
pa Yehova? Ona jibu la swali hili, Je, Mungu
˙ Yehova anahisije mtu anapo- anaweza kumsamehe mwana-
sababisha kimakusudi kifo mke ambaye amewahi kutoa
cha mwanadamu? mimba?
“Biblia Inasema Nini Kuhusu
˙ Ni nini ambacho unathamini
Kutoa Mimba?” (Makala iliyo
kuhusu zawadi ya uhai?
kwenye mtandao)
N Lengo lingine:
Namna gani ikiwa mtu
anafikiria kujiua? Ona jinsi
Biblia inavyoweza kumsaidia.
“Ninataka Kufa—Je, Biblia
Inaweza Kunisaidia Ikiwa
Ninawazia Kujiua?”
(Makala iliyo kwenye mtandao)
163
CH I M BA ZAI DI
3. Fanya maamuzi
yanayomfurahisha
Yehova kuhusu
matibabu
Unawezaje kufanya maamuzi ya matibabu ya-
nayopatana na maoni ya Mungu kuhusu damu?
Onyesha VIDEO, kisha mzungumzie umuhimu
wa kufuata hatua zinazoonyeshwa hapa.
5. Matibabu yanayohusisha
visehemu vya damu Inapohusu visehemu vya damu, kila Mkristo ana-
paswa kujifanyia uamuzi wake mwenyewe unaote-
Damu ina sehemu kuu nne—chembe nyekundu, gemea dhamiri yake iliyozoezwa na Biblia. Huenda
chembe nyeupe, vigandisha-damu, na plazima. baadhi ya Wakristo wakakataa matibabu au mbinu
Sehemu hizo zina sehemu nyingine ndogo zaidi za matibabu zinazohusisha visehemu vya damu.
zinazoitwa visehemu vya damu. Baadhi ya vise- Na wengine wanaweza kuhisi kwamba dhamiri
hemu hivyo huongezwa katika dawa zinazotumiwa zao zinawaruhusu kukubali visehemu vya damu.
kutibu magonjwa au kuzuia kuvuja kwa damu.
Unapofanya maamuzi yako, fikiria swali hili:
Baadhi ya madaktari huona sehemu nne kuu za damu kuwa ˙ Ninawezaje kumweleza daktari sababu
visehemu vya damu. Kwa hiyo, unapaswa kuhakikisha daktari
anaelewa uamuzi wako kwamba hutakubali kutiwa mishipani yangu ya kukubali au kukataa matumizi
damu nzima, chembe nyekundu, chembe nyeupe, vigandisha- ya visehemu fulani vya damu?
damu, au plazima.
165
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Yehova anataka tuione damu
kuwa takatifu. Unapaswa kufikiria mambo
gani unapofanya maamuzi
ya matibabu yanayohusisha
Ungejibuje? damu yako mwenyewe?
“Maswali Kutoka kwa
˙ Kwa nini Yehova anaiona Wasomaji” (Mnara wa Mlinzi,
damu kuwa takatifu? Oktoba 15, 2000)
˙ Tunajuaje kwamba amri
ya Mungu ya kujiepusha na
damu inahusisha kuepuka
kutiwa damu mishipani? Unapaswa kuzingatia mambo
gani unapoamua ikiwa utaku-
˙ Unawezaje kufanya maamuzi
bali visehemu vya damu?
mazuri kuhusu matibabu yana-
yohusisha damu? “Maswali Kutoka kwa
Wasomaji” (Mnara wa Mlinzi,
Juni 15, 2004)
167
CH I M BA ZAI DI
3. Usafi wa kimwili
unamtukuza Yehova
Tunaweza kuelewa maoni ya Yehova
kuhusu usafi kwa kuchunguza amri
alizowapa Waisraeli wa kale. Soma Yehova anaweza kutusaidia
Kutoka 19:10 na 30:17-19, kisha kushinda zoea lolote baya
mzungumzie maswali haya:
˙ Kulingana na mistari hii, Yehova
ana maoni gani kuhusu usafi wa 4. Shinda mazoea mabaya
kimwili?
˙ Ni mazoea gani yatakayokusaidia Ikiwa wewe ni mraibu wa kuvuta sigara au kutumia
kudumisha usafi wa kimwili? dawa za kulevya, huenda unaelewa jinsi ilivyo vigumu
kushinda mazoea hayo. Ni nini ambacho kitakusaidia?
Tunahitaji muda na jitihada ili kudu- Fikiria madhara unayopata kutokana na mazoea hayo.
misha usafi wa kimwili. Hata hivyo, Soma Mathayo 22:37-39, kisha mzungumzie jinsi kuvuta
tunaweza kudumisha usafi mahali sigara au kutumia dawa za kulevya kunavyoathiri . . .
popote tunapoishi iwe sisi ni maskini ˙ urafiki wa mtu na Yehova.
au matajiri. Onyesha VIDEO, kisha
˙ familia ya mtu huyo na watu wanaomzunguka.
mzungumzie swali linalofuata.
Chukua hatua ambazo zitakusaidia kushinda mazoea
( mabaya. Onyesha VIDEO.
˙ Watu tunaowahubiria wanawezaje Soma Wafilipi 4:13, kisha mzungumzie swali hili:
kumheshimu Yehova ikiwa tuna- ˙ Kuwa na mazoea mazuri ya kusali, kujifunza Biblia,
tumia vifaa safi na nadhifu? na kuhudhuria mikutano kunawezaje kumsaidia mtu
apate nguvu za kushinda mazoea mabaya?
Gazeti lenye kichwa “Jinsi ya Kuacha Kuvuta Sigara,” lililo kwenye se-
hemu ya Chunguza Zaidi katika somo hili, linaeleza hatua ambazo mtu
anapaswa kuchukua ili kushinda uraibu.
5. Jitahidi kushinda mawazo
na mazoea machafu
(
Soma Wakolosai 3:5, kisha mzungumzie maswali haya:
˙ Tunajuaje kwamba kutazama ponografia, kutuma ujumbe
au picha za ngono, na kupiga punyeto ni mazoea machafu VIDEO: Chukua Hatua ili
machoni pa Yehova? Uendelee Kuwa Safi (1:51)
˙ Je, inawezekana kufuata sheria za Yehova kuhusu usafi wa
maadili? Kwa nini?
169
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Tunamfurahisha Yehova tunapodumi-
sha mwili, mawazo, na mwenendo ( 3:01 Ni mambo gani rahisi una-
wetu ukiwa safi. yoweza kufanya ili kudumisha
usafi wa kimwili hata kama
huna vitu vingi vya kimwili?
Ungejibuje? Usafi na Afya—Kunawa
Mikono
˙ Kwa nini ni muhimu sana
kudumisha usafi?
˙ Unawezaje kudumisha usafi
wa kimwili?
˙ Unawezaje kudumisha mawazo Ona hatua unazoweza kuchu-
kua ili uache kuvuta sigara.
na mwenendo wako ukiwa safi?
“Jinsi ya Kuacha Kuvuta
Sigara” (Amkeni!, Mei 2010)
171
CH I M BA ZAI DI
WATU FULANI HUSEMA: “Ni sawa kwa watu wawili kufanya ngono ikiwa wanapendana.”
˙ Wewe una maoni gani?
173
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Ngono ni zawadi ambayo Yehova
amempa mume na mke ili waifurahie. Jifunze kwa nini Mungu
anataka mwanamume na
mwanamke wafunge ndoa
Ungejibuje? kabla ya kuishi pamoja.
“Biblia Inasema Nini
˙ Uasherati unatia ndani Kuhusu Kuishi Pamoja
mambo gani? Bila Kufunga Ndoa?”
˙ Ni nini ambacho kitatusaidia (Makala iliyo kwenye mtandao)
kuepuka uasherati?
˙ Tunanufaikaje tunapofuata viwa-
ngo vya maadili vya Yehova? Jifunze kwa nini viwango
vya Biblia kuhusu ngono
kati ya watu wa jinsia
moja havichochei chuki.
“Je, Ni Kosa Kufanya Ngono
Kati ya Watu wa Jinsia Moja?”
(Makala iliyo kwenye mtandao)
1. Kuna manufaa gani ya kuwa mseja? 3. Yehova ana maoni gani kuhusu ndoa?
Biblia inasema hivi: “Yeyote anayefunga ndoa Yehova alipoanzisha ndoa ya kwanza alisema
anafanya vema, lakini yeyote asiyefunga ndoa hivi: “Mwanamume atamwacha baba yake na
atafanya vema zaidi.” (Soma 1 Wakorintho mama yake naye atashikamana na mke wake.”
7:32, 33, 38.) Ni katika njia gani mseja anaweza (Mwanzo 2:24) Yehova anataka mume na mke
‘kufanya vema zaidi’? Wakristo waseja hawa- wapendane na waishi pamoja maisha yao yote.
na jukumu la kumtunza mwenzi wa ndoa. Kwa Anaruhusu talaka ikiwa mwenzi mmoja wa ndoa
hiyo, wana uhuru mwingi. Kwa mfano, baadhi anafanya uzinzi. Katika hali kama hiyo, Yehova
yao wanaweza kupanua huduma yao kwa kuha- anamruhusu mwenzi asiye na hatia aamue ikiwa
mia katika nchi nyingine ili kuhubiri habari nje- atatafuta talaka. (Mathayo 19:9) Yehova ana-
ma. Jambo muhimu zaidi, wanaweza kutumia kataza Wakristo kuwa na ndoa za wake wengi.
muda mwingi zaidi kumkaribia Yehova. —1 Timotheo 3:2.
2. Kuna manufaa gani ya kufunga ndoa kisheria? Ona Maelezo ya Ziada 4 kuhusu kutengana ikiwa hakuna ha-
tia ya uzinzi.
Kama ilivyo na useja, ndoa ina manufaa ya kipe-
kee. Biblia inasema kwamba “wawili ni afadhali
kuliko mmoja.” (Mhubiri 4:9) Hilo ni kweli hasa
kwa Wakristo wanaofuata kanuni za Biblia ka-
tika ndoa yao. Wakristo wanaofunga ndoa ki-
175
CH I M BA ZAI DI
4. Tumia vizuri
Wanyama wawili walio tofauti sana wakifungwa
zawadi ya useja nira pamoja, wataumia. Vivyo hivyo, Mkristo
anayefunga ndoa na mwenzi ambaye si
Yesu aliona useja kuwa zawadi. (Matha- mwamini atapatwa na matatizo mengi
yo 19:11, 12) Soma Mathayo 4:23, kisha
mzungumzie swali hili:
˙ Yesu alitumiaje zawadi ya useja kumtumikia
Baba yake na kuwasaidia wengine? 5. Chagua mwenzi wa
Kama Yesu, Wakristo wanaweza kufurahia
ndoa kwa hekima
zawadi ya useja. Onyesha VIDEO, kisha Kuchagua mwenzi wa ndoa ni mojawapo
mzungumzie swali linalofuata. ya uamuzi muhimu zaidi ambao utafanya.
Soma Mathayo 19:4-6, 9, kisha mzungumzie
( VIDEO: Waseja Waaminifu swali hili:
(3:15)
˙ Kwa nini Mkristo anapaswa kufikiria
kwa makini kabla ya kufanya uamuzi
wa kufunga ndoa?
˙ Wakristo wanawezaje kutumia zawadi
ya useja kwa njia yenye kuthawabisha? Biblia inaweza kukusaidia kutambua sifa za
mwenzi wa ndoa anayekufaa. Jambo muhimu
zaidi, chagua mwenzi wa ndoa ambaye ana-
Je, wajua? mpenda Yehova. Soma 1 Wakorintho 7:39
Biblia haitaji umri wa kufunga ndoa. na 2 Wakorintho 6:14. Kisha mzungumzie
Hata hivyo, inawatia moyo vijana wasubiri maswali haya:
hadi ‘wapite upeo wa ujana,’ kipindi ambacho
hisia zenye nguvu za ngono zinaweza kufanya ˙ Kwa nini Mkristo anapaswa kufunga
iwe vigumu kwa kijana kufanya uamuzi kwa ndoa tu na Mkristo mwenzake?
hekima.—1 Wakorintho 7:36. ˙ Unafikiri Yehova atahisije tukiamua
kufunga ndoa na mtu ambaye hampendi
Yehova?
˙ Ikiwa umefunga ndoa na mtu ambaye Soma Waebrania 13:4, kisha mzungumzie
si mwamini, unaweza kufanya nini ili maswali haya:
kuwa na ndoa yenye furaha?
˙ Je, unafikiri viwango vya Yehova
kuhusu ndoa vinafaa? Kwa nini?
177
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Useja na ndoa ni zawadi kutoka kwa
Yehova. Waseja na watu waliofunga Kuoa au kuolewa “katika Bwa-
ndoa wanaweza kuwa na furaha na na tu” kunamaanisha nini?
kuridhika maishani ikiwa wataishi “Maswali Kutoka kwa
kulingana na viwango vya Yehova. Wasomaji” (Mnara wa Mlinzi,
Julai 1, 2004)
Ungejibuje?
˙ Mtu anawezaje kutumia vizuri
useja wake?
˙ Kwa nini Biblia inasema kwamba ( 17:05 Ona video tatu fupi
Mkristo anapaswa kufunga ndoa zinazoweza kukusaidia
tu na Mkristo mwenzake? kufanya maamuzi mazuri
kuhusu uchumba na ndoa.
˙ Ni nini msingi pekee wa
Kujitayarisha kwa Ajili
Kimaandiko kuhusu talaka?
ya Ndoa
179
CH I M BA ZAI DI
181
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Yehova amewapa wanadamu kileo
ili wafurahie. Lakini anakataza ulevi ( 2:31 Vijana wanawezaje
na kunywa kupita kiasi. kufanya maamuzi mazuri
kuhusu kunywa kileo?
Fikiria Madhara Kabla
Ungejibuje? ya Kunywa
183
CH I M BA ZAI DI
185
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Yehova anataka tuwe na pindi za fu-
raha pamoja na familia na marafiki. Chunguza baadhi
Lakini pia anataka tuepuke sikukuu ya sikukuu ambazo
ambazo hazimfurahishi. Wakristo hawasherehekei.
“Kwa Nini Mashahidi wa
Yehova Hawasherehekei
Ungejibuje? Sikukuu Fulani?” (Makala
iliyo kwenye mtandao)
˙ Tunapaswa kujiuliza maswali
gani ili kujua ikiwa sherehe fulani
haimfurahishi Yehova?
˙ Tunawezaje kuwasaidia marafiki Chunguza sababu nne zi-
na watu wa familia zetu waelewe nazofanya tuamini kwamba
maamuzi yetu kuhusu sikukuu? sherehe za siku ya kuzaliwa
hazimfurahishi Mungu.
˙ Tunajuaje kwamba Yehova anata-
“Kwa Nini Mashahidi wa
ka tuwe na pindi za kufurahia
Yehova Hawasherehekei
maisha?
Siku za Kuzaliwa?” (Makala
iliyo kwenye mtandao)
Tarehe ambayo somo limekamilishwa ( 2:04 Ona jinsi kijana fulani alivyote-
nda kwa busara alipodhihakiwa
shuleni kwa sababu hasherehe-
kei Krismasi.
Lengo Tenda kwa Busara
Unapodhihakiwa
N Tumia mambo ambayo
umejifunza katika somo hili ku-
chunguza sikukuu ambazo watu
wanapenda katika eneo lenu.
Mamilioni ya Wakristo wamea-
N Lengo lingine: mua kwamba hawatasherehe-
kea Krismasi. Wanahisije kuhu-
su uamuzi wao?
“Wamepata Jambo Bora
Kuliko Krismasi” (Mnara wa
Mlinzi, Desemba 1, 2012)
187
CH I M BA ZAI DI
Wakati wa vita, huenda mataifa fulani yakadai kwamba hayaungi VIDEO: Wakristo wa Kweli
mkono upande wowote, lakini yanasaidia pande zote zinazozozana. Hawaungi Mkono Upande
Kutounga mkono upande wowote kunamaanisha nini hasa? Soma Wowote—Sehemu ya 2 (3:09)
Yohana 17:16. Kisha, onyesha VIDEO na mzungumzie swali linalo-
fuata.
(
˙ Inamaanisha nini kutounga mkono upande wowote?
Tunapaswa kufanya nini ikiwa serikali za wanadamu zinatuamuru VIDEO: Wakristo wa Kweli
tufanye jambo linalopingana na sheria ya Mungu? Soma Matendo Hawaungi Mkono Upande
5:28, 29. Kisha, onyesha VIDEO na mzungumzie maswali yanayo- Wowote—Sehemu ya 3 (1:18)
fuata.
˙ Sheria za wanadamu zinapopingana na sheria za Mungu,
tunapaswa kutii sheria za nani?
˙ Unafikiri ni katika hali gani Wakristo hawapaswi kutii
serikali za wanadamu?
4. Onyesha kwamba huungi mkono upande (
wowote kupitia mawazo na matendo yako
Soma 1 Yohana 5:21. Kisha, onyesha VIDEO na mzungumzie VIDEO: Wakristo wa
maswali yanayofuata. Kweli Wanahitaji Ujasiri
—Ili Wasiunge Mkono
˙ Katika video hiyo, kwa nini Ayenge alikataa kujiunga Upande Wowote (2:50)
na chama cha kisiasa au kushiriki katika sherehe za
kitaifa, kama vile kupiga saluti mbele ya bendera?
˙ Je, unafikiri alifanya uamuzi wa hekima? (
Ni katika hali
gani ambazo Mkristo
anapaswa kudumisha
msimamo wa kutounga
mkono upande wowote
kupitia mawazo na
matendo yake?
HUENDA MTU AKAULIZA: “Kwa nini hupigi saluti mbele ya bendera au kuimba wimbo wa taifa?”
˙ Wewe ungejibuje?
189
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Wakristo hujitahidi sana kutounga
mkono upande wowote wa kisiasa ( 3:14 Huenda tukahitaji kudhabi-
kwa mawazo, maneno, na hu mambo gani ili tusiunge
matendo yao. mkono upande wowote?
Yehova Hajatuacha Kamwe
Ungejibuje?
˙ Tunapaswa kuwa na maoni gani
kuhusu serikali za wanadamu?
˙ Kwa nini hatuungi mkono
upande wowote wa kisiasa? ( 4:25 Familia zinaweza kufanya nini
ili kujitayarisha mapema kwa
˙ Ni hali gani zinazoweza kufanya
ajili ya hali zinazoweza kujaribu
iwe vigumu kutounga mkono
msimamo wao wa kutounga
upande wowote? mkono upande wowote?
Dumisha Msimamo wa Kutou-
nga Mkono Upande Wowote
Katika Sherehe za Umma
Tarehe ambayo somo limekamilishwa ( 5:19 Kwa nini kutetea nchi sio he-
shima kubwa zaidi ambayo
mtu anaweza kupata?
“Mambo Yote Yanawezekana
Lengo na Mungu”
191
CH I M BA ZAI DI
3. Sisi sote
tunapaswa
kuchagua yule
tutakayemtumikia
Katika taifa la kale la Israeli, 4. Tafakari upendo ambao
baadhi ya watu walifikiri kwa-
mba wangemwabudu Yehova
Yehova amekuonyesha
na pia mungu wa uwongo Baali. Yehova ametupatia zawadi nyingi zenye thamani.
Lakini Yehova alimtuma nabii Tunaweza kumpatia nini? Onyesha VIDEO.
wake Eliya arekebishe maoni
hayo yasiyo sahihi. Soma 1 Wa-
falme 18:21, kisha mzungumzie ( VIDEO: Kumtolea Mungu
Zawadi (3:04)
swali hili:
˙ Waisraeli walipaswa
kufanya uamuzi gani?
Yehova amekuonyesha kwa njia gani kwamba anakupenda?
Soma Zaburi 104:14, 15 na 1 Yohana 4:9, 10, kisha
Kama Waisraeli, sisi pia tuna-
mzungumzie maswali haya:
paswa kuchagua yule tutaka-
yemtumikia. Soma Luka 16:13, ˙ Ni zawadi gani kutoka kwa Yehova ambazo hasa
kisha mzungumzie maswali zinakuchochea kumshukuru?
haya: ˙ Zawadi hizo zinafanya uhisije kumhusu Yehova?
˙ Kwa nini hatupaswi
kumwabudu Yehova na Tunapopokea zawadi ambayo tunaipenda, tunachochewa
wakati huohuo kuabudu kumwonyesha shukrani yule aliyetupatia zawadi hiyo. Soma
mtu au kitu kingine? Kumbukumbu la Torati 16:17, kisha mzungumzie swali hili:
˙ Tunamwonyeshaje Yehova ˙ Unapofikiria mambo yote ambayo Yehova amekufanyia,
kwamba tumechagua unachochewa kufanya nini?
kumwabudu yeye?
5. Kujiweka wakfu huleta baraka nyingi (
193
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Kumpenda Yehova hutuchochea
kujiweka wakfu kwake na kubatizwa. ( 6:52 Ona sababu iliyofanya
mwanamuziki na mwana-
michezo waamue kujiweka
Ungejibuje? wakfu kwa Yehova.
Vijana Huuliza—Nitayatumiaje
˙ Kwa nini tunapaswa kumpenda Maisha Yangu?—Kukumbuka
Yehova kwa moyo wetu wote na Yaliyopita
kumwabudu yeye peke yake?
˙ Yehova huwapa baraka gani
Mashahidi wake waliobatizwa?
˙ Je, ungependa kujiweka wakfu Chunguza sababu zaidi
za kujiweka wakfu.
kwa Yehova?
“Kwa Nini Ujiweke Wakfu
kwa Yehova?” (Mnara wa Mlinzi,
Januari 15, 2010)
195
CH I M BA ZAI DI
4. Mjue Yehova
vizuri zaidi
Unahitaji kumjua Yehova vizuri kadiri gani
kabla ya kubatizwa? Unahitaji kuwa na
ujuzi unaokuchochea kumpenda na kuta- 5. Shinda mambo yanayoweza
mani kumfurahisha. Onyesha VIDEO ili kukuzuia kubatizwa
uone jinsi ambavyo wanafunzi wa Biblia
ulimwenguni pote wamefanya hivyo. Tunapoamua kujiweka wakfu na kubatizwa,
Kisha mzungumzie swali linalofuata. sisi sote hukabili changamoto. Ili kuona mfano,
onyesha VIDEO, kisha mzungumzie maswali
VIDEO: Barabara yanayofuata.
(
Inayoongoza Kwenye
Ubatizo (3:56) ( VIDEO: Kumpenda Yehova Hutusaidia
Kushinda Vizuizi (5:22)
197
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Yehova atakusaidia ushinde jambo
lolote linalokuzuia kubatizwa. Chunguza mambo ambayo
yanapaswa kuwa msingi wa
uamuzi wako wa kubatizwa.
Ungejibuje? “Je, Uko Tayari Kubatizwa?”
(Mnara wa Mlinzi, Machi 2020)
˙ Unahitaji ujuzi mwingi kadiri
gani kuhusu Biblia kabla ya
kubatizwa?
˙ Huenda ukahitaji kufanya maba-
diliko gani kabla ya kubatizwa?
˙ Kwa nini hupaswi kuruhusu woga Jifunze jinsi ya kushinda cha-
ngamoto hususa zinazoweza
ukuzuie kubatizwa?
kukuzuia kubatizwa.
“Ni Nini Kinachonizuia
Kubatizwa?” (Mnara wa Mlinzi,
Machi 2019)
Lengo
N Chunguza “Je, Niko Tayari Ku-
hubiri Pamoja na Kutaniko?” na
“Je, Niko Tayari Kubatizwa?”
mwishoni mwa Sehemu ya 4. ( 7:21 Mwanzoni, mwanamume ana-
yeitwa Ataa alisita kubatizwa.
N Lengo lingine: Ona jambo lililomchochea
achukue hatua hii muhimu.
Je, Kweli Ninastahili
Baraka Hizi Zote?
MASOMO
48 Chagua Marafiki Wako kwa Hekima
49 Jinsi Familia Yako Inavyoweza Kuwa
na Furaha—Sehemu ya 1
50 Jinsi Familia Yako Inavyoweza Kuwa
na Furaha—Sehemu ya 2
51 Unawezaje Kumfurahisha Yehova
Kupitia Mazungumzo Yako?
52 Kwa Nini Mavazi na Mwonekano
Wetu Ni Muhimu?
53 Chagua Burudani Inayomfurahisha Yehova
54 Jukumu la “Mtumwa Mwaminifu
na Mwenye Busara”
55 Unga Mkono Kutaniko Lenu
56 Dumisha Umoja Katika Kutaniko
57 Ukitenda Dhambi Nzito Unapaswa
Kufanya Nini?
58 Endelea Kuwa Mshikamanifu kwa Yehova
59 Unaweza Kuvumilia Mateso
60 Endelea Kuimarisha Urafiki Wako na Yehova
48
201
CH I M BA ZAI DI
WATU FULANI HUSEMA: “Bora kuwa na rafiki yeyote kuliko kukosa rafiki.”
˙ Wewe una maoni gani?
203
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Tunapochagua marafiki kwa
hekima, tunamfurahisha Yehova Ona jinsi marafiki wazuri
na kujinufaisha pia. wanavyoweza kutusaidia
wakati wa matatizo.
“Imarisha Urafiki
Ungejibuje? Wako Pamoja na Wengine
Kabla ya Mwisho Kufika”
˙ Kwa nini Yehova angependa (Mnara wa Mlinzi, Novemba 2019)
tuchague marafiki wazuri?
˙ Tunapaswa kuepuka marafiki
wa aina gani?
˙ Unawezaje kusitawisha urafiki Chunguza mambo
unayoweza kufanya ili
imara na watu wanaofaa?
kupata marafiki wazuri.
“Ninaweza Kupata Marafiki
Wazuri Jinsi Gani?” (Maswali
Ambayo Vijana Huuliza—Majibu Ya-
fanyayo Kazi, Buku la 1, sura ya 8)
N Lengo lingine:
Katika simulizi “Nilitamani
Sana Kuwa na Baba,” ona sa-
babu zilizofanya mwanamume
fulani atafute marafiki wapya.
“Biblia Inabadili Maisha”
(Mnara wa Mlinzi, Aprili 1, 2012)
205
CH I M BA ZAI DI
4. Mume—mpende na
kumjali mke wako
5. Mke—mpende
Biblia inasema kwamba “waume wanapaswa na kumheshimu
kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe.”
(Waefeso 5:28, 29) Hilo linamaanisha nini?
mume wako
Onyesha VIDEO, kisha mzungumzie swali Biblia inamtia moyo mke amheshimu mume
linalofuata. wake, iwe mume ni mtumishi wa Yehova au la.
Soma 1 Petro 3:1, 2, kisha mzungumzie
( VIDEO: Mume, Mpende Mke maswali haya:
Wako Kama Unavyojipenda
Mwenyewe (9:53) ˙ Ikiwa mume wako si mwamini, bila shaka
unatamani sana awe mwabudu wa Yehova.
Unafikiri ni njia gani nzuri ya kumsaidia,
˙ Ni kwa njia gani mume anaweza kuonyesha je, ni kumhubiria kila wakati au ni kuwa mke
kwamba anampenda na kumjali mke wake? mwenye fadhili, heshima, na tabia nzuri?
Kwa nini?
Soma Wakolosai 3:12, kisha mzungumzie
swali hili: Mume na mke wanaweza kufanya maamuzi ma-
˙ Mume anawezaje kuonyesha sifa hizi zuri pamoja. Hata hivyo, wakati mwingine hue-
katika ndoa yake? nda mke asikubaliane na maoni ya mume wake.
Katika hali hiyo, mke anaweza kueleza maoni
yake kwa utulivu na heshima, lakini anapaswa
6. Mnaweza kushinda
matatizo katika ndoa
Hakuna ndoa iliyo kamilifu. Kwa hiyo, mume
na mke wanapaswa kushirikiana ili kushinda
matatizo. Onyesha VIDEO, kisha mzungumzie
maswali yanayofuata.
WATU FULANI HUSEMA: “Mimi na mwenzi wangu hatuna uhusiano wa karibu kama zamani.”
˙ Unawezaje kuwaeleza kwamba Biblia inaweza kuwasaidia?
207
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Mume na mke wanaweza kuwa
na furaha ikiwa wanapendana, Jifunze mapendekezo yana-
wanaheshimiana, na kutumia yoweza kuwasaidia muwe
kanuni za Biblia. na familia yenye furaha.
Unaweza Kuwa na Familia
Yenye Furaha (broshua)
Ungejibuje?
˙ Mume anawezaje kuchangia
furaha katika ndoa?
˙ Mke anawezaje kuchangia
furaha katika ndoa? ( 4:26 Tazama video ya muziki ina-
yoonyesha baraka za kufuata
˙ Ikiwa umefunga ndoa, ni kanuni
ushauri wa Mungu katika ndoa.
gani ya Biblia inayoweza kuimari-
sha ndoa yenu? Nimezama Katika Mapenzi
209
CH I M BA ZAI DI
4. Wafundishe watoto
wako kwa upendo
Kumfundisha mtoto kunaweza kutokeza changamoto.
Biblia inawezaje kukusaidia? Soma Yakobo 1:19, 20,
kisha mzungumzie maswali haya:
˙ Wazazi wanaweza kuonyeshaje upendo
wanapozungumza na watoto wao?
˙ Kwa nini mzazi hapaswi kamwe kuwatia
watoto wake nidhamu akiwa amekasirika?
(
5. Walinde watoto wako
Ili uwalinde watoto wako wasitendewe vibaya kingono,
VIDEO: Walinde Watoto Wako
ni muhimu sana uzungumze waziwazi na kila mtoto kuhusu
Kutokana na Uovu (2:58) ngono. Huenda isiwe rahisi kufanya hivyo. Onyesha VIDEO,
kisha mzungumzie maswali yanayofuata.
˙ Kwa nini ni vigumu kwa baadhi ya wazazi kuzungumza
na watoto wao kuhusu ngono?
Je, wajua?
˙ Wazazi fulani wametumia njia gani kuwaeleza watoto
Mashahidi wa Yehova wameandaa wao kuhusu ngono?
habari nyingi zinazoweza kuwasai-
dia wazazi kuwaeleza watoto wao Kama ilivyotabiriwa, uovu unazidi kuongezeka katika
kuhusu ngono, na jinsi ya kuwalinda ulimwengu wa Shetani. Soma 2 Timotheo 3:1, 13,
wasitendewe vibaya kingono? Kwa kisha mzungumzie swali hili:
mfano, tazama:
˙ Baadhi ya watu waovu waliotajwa kwenye mstari wa 13
Walinde Watoto Wako (video)
wanawatendea watoto vibaya kingono. Basi, kwa nini ni
Jifunze Kutoka kwa Mwalimu muhimu kwa wazazi kuzungumza waziwazi na watoto wao
Mkuu, sura ya 10 na 32
kuhusu ngono na kuwaeleza jinsi wanavyoweza kujilinda
“Wafundishe Watoto Wako Kuhu- dhidi ya watu wanaoweza kuwatendea vibaya?
su Ngono” (Amkeni! Na. 5 2016)
6. Waheshimu wazazi wako ˙ Kwa nini ni muhimu kijana azungumze
kwa heshima na wazazi wake?
Watoto na vijana wanaweza kuwaonyesha wazazi ˙ Kijana anawezaje kuzungumza na wazazi
wao heshima kupitia jinsi wanavyozungumza nao. wake kwa heshima?
Onyesha VIDEO, kisha mzungumzie maswali yana-
yofuata. Soma Methali 1:8, kisha mzungumzie swali hili:
˙ Kijana anapaswa kutendaje anapopata
( VIDEO: Ninawezaje Kuzungumza mwongozo kutoka kwa wazazi wake?
na Wazazi Wangu? (2:19)
211
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Yehova anataka wazazi wawapende,
wawafundishe, na kuwalinda watoto Mtoto anapaswa kujifunza ma-
wao, pia, anataka watoto wawaheshi- somo gani yatakayomsaidia
mu na kuwatii wazazi wao, na anataka atakapokuwa mtu mzima?
familia zimwabudu pamoja. “Masomo Sita Muhimu
ya Kuwafundisha Watoto”
(Amkeni! Na. 2 2019)
Ungejibuje?
˙ Wazazi wanawezaje kuwafundi-
sha na kuwalinda watoto wao?
˙ Watoto wanawezaje kuwaheshi- Jifunze ushauri ambao
mu wazazi wao? Biblia inawapa wale wanao-
watunza wazazi waliozeeka.
˙ Kuna manufaa gani ya kutenga
wakati kila juma ili kumwabudu “Biblia Inasema Nini Kuhusu
Kutunza Wazazi Waliozeeka?”
Yehova mkiwa familia?
(Makala iliyo kwenye mtandao)
213
CH I M BA ZAI DI
215
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Maneno yana nguvu. Tunapaswa
kufikiria kwa makini mambo tunayo- ( 8:04 Ni nini ambacho kitatusaidia
sema, wakati wa kuyasema, na jinsi kuzungumza kwa njia inayo-
tunavyoyasema. wajenga wengine?
Sitawisha Ulimi wa
Wenye Hekima
Ungejibuje?
˙ Unaweza kutumia njia gani kuzu-
ngumza mambo yanayowajenga
wengine?
˙ Tunapaswa kuepuka mazungu- Jifunze mambo yatakayoku-
mzo ya aina gani? saidia kuepuka lugha chafu.
˙ Ni nini ambacho kitatusaidia “Je, Kweli Kutumia
ili sikuzote tuzungumze kwa Lugha Chafu Ni Vibaya?”
(Makala iliyo kwenye mtandao)
njia ya fadhili na inayojenga?
217
CH I M BA ZAI DI
Mwonekano wetu
unaweza kuonyesha
kwamba tunawaheshimu
watu wenye mamlaka.
Ingawa Yehova huona
jinsi tulivyo moyoni,
mwonekano wetu pia
unapaswa kumheshimu
WATU FULANI HUSEMA: “Nina haki ya kuvaa kwa njia yoyote ninayotaka.”
˙ Je, unakubaliana na maoni hayo? Kwa nini?
219
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Tunapofanya maamuzi mazuri
kuhusu mwonekano wetu, tuna- Chunguza jinsi mavazi yako
onyesha kwamba tunamheshimu yanavyoweza kuathiri maoni
Yehova na watu wengine. ya wengine kukuhusu.
“Mwonekano Wangu
Unanitambulishaje?”
Ungejibuje? (Makala iliyo kwenye mtandao)
Chagua Burudani
Inayomfurahisha Yehova
Yehova ni “Mungu mwenye furaha.” (1 Timo- Ikiwa tutachagua marafiki wanaompenda Ye-
theo 1:11) Anataka tuwe na furaha na tufurahie hova, wanaweza kutujenga na kutusaidia ku-
maisha. Anafurahi tunapotenga muda ili kuji- chagua burudani inayofaa. Kama tulivyojifu-
furahisha. Katika somo hili, tutajifunza jinsi ya nza katika Somo la 48, mtu “anayetembea na
kutumia wakati wetu wa kupumzika katika njia wenye hekima atakuwa na hekima.” Kinyume
inayofurahisha na yenye kuridhisha, na wakati chake, tunaposhirikiana kwa ukawaida na watu
uleule inayomfurahisha Yehova. wasiopenda viwango vya Mungu ‘tutaumia.’
—Methali 13:20.
1. Tunapaswa kukumbuka nini tunapochagua
burudani? 2. Kwa nini hatupaswi kutumia muda mwingi
Unapenda kufanya nini unapopumzika? Baa- katika burudani?
dhi ya watu wanapenda kupumzika nyumba- Hata ikiwa burudani tunazochagua zinafaa, tu-
ni wakisoma kitabu, kusikiliza muziki, kuta- napaswa kuwa makini tusitumie muda mwingi
zama sinema, au kutumia Intaneti. Wengine sana. Kwa sababu huenda tukakosa muda wa
hufurahia kutumia wakati pamoja na marafi- kutosha kufanya mambo yaliyo muhimu zaidi.
ki wakipanda milima, kuogelea, au kucheza mi- Biblia inatuhimiza ‘tutumie vizuri kabisa waka-
chezo mbalimbali. Lolote lile tunalochagua ti wetu.’—Soma Waefeso 5:15, 16.
kufanya, tunapaswa kuhakikisha kwamba tuna-
chagua burudani ‘inayokubalika kwa Bwana.’
(Waefeso 5:10) Ni muhimu kuchagua burudani
inayofaa kwa sababu burudani nyingi zinazope-
ndwa leo zinahusisha mambo ambayo Yehova
anachukia kama vile ukatili, ukosefu wa maadi-
li katika ngono, au kuwasiliana na roho waovu.
(Soma Zaburi 11:5.) Ni nini ambacho kitatusai-
dia kuchagua burudani kwa hekima?
221
CH I M BA ZAI DI
223
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Yehova anataka tuchague na
kufurahia burudani zinazofaa. Ni nani aliye na jukumu la
kutuchagulia burudani?
“Je, Mashahidi wa Yehova
Ungejibuje? Huwakataza Wafuasi Wao
Sinema, Vitabu, au Nyimbo
˙ Wakristo wanapaswa kuepuka Fulani?” (Makala iliyo kwenye
burudani za aina gani? mtandao)
˙ Kwa nini tunapaswa kuwa
waangalifu kuhusu muda
tunaotumia katika burudani?
˙ Kwa nini unapaswa kuchagua Jifunze jinsi unavyoweza
kufanya maamuzi mazuri
burudani zinazomfurahisha
kuhusu burudani.
Yehova?
“Je, Tafrija Unayochagua
Inakujenga?” (Mnara wa Mlinzi,
Oktoba 15, 2011)
225
CH I M BA ZAI DI
227
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Baraza Linaloongoza ndiye “mtumwa
mwaminifu na mwenye busara” aliye- Jifunze jinsi Baraza Lina-
wekwa rasmi na Kristo. Wanatoa loongoza lilivyopangwa
mwongozo na kuandaa chakula cha ili kufanya kazi yake.
kiroho kwa Wakristo duniani pote. “Baraza Linaloongoza la Ma-
shahidi wa Yehova Ni Nini?”
(Makala iliyo kwenye mtandao)
Ungejibuje?
˙ Ni nani aliyemweka rasmi
“mtumwa mwaminifu na
mwenye busara”? ( 17:18 Jifunze jinsi Baraza Lina-
˙ Baraza Linaloongoza hututunza loongoza linavyohakikisha
jinsi gani? kwamba tunapokea chakula
cha kiroho kinachofaa.
˙ Je, unaamini kwamba Baraza
Kutokeza Machapisho Sahihi
Linaloongoza ndiye “mtumwa
mwaminifu na mwenye busara”?
229
CH I M BA ZAI DI
3. Tunaweza kutumia
mali zetu
Yehova na Yesu wanawapenda watu wanaotoa kwa uchangamfu.
(
Kwa mfano, Yesu alimsifu mjane maskini ambaye alitoa mchango
mdogo sana. Soma Luka 21:1-4, kisha mzungumzie maswali haya:
˙ Je, tunahitaji kutoa mchango wa pesa nyingi VIDEO: ‘Jaza Mkono Zawadi
ili kumfurahisha Yehova? kwa Ajili ya Yehova’ (4:47)
˙ Yehova na Yesu wanahisije tunapotoa
michango kwa hiari?
HUENDA MTU AKAULIZA: “Mashahidi wa Yehova wanapata wapi pesa za kuendeleza kazi yao?”
˙ Wewe ungejibuje?
231
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Yehova anathamini sana jitihada zetu
za kuunga mkono kutaniko kupitia Chunguza kwa nini leo
muda, nguvu, na mali zetu. Mungu hajawawekea
waabudu wake sheria
ya kutoa sehemu ya kumi.
Ungejibuje? “Biblia Inasema Nini Kuhusu
Kutoa Fungu la Kumi?”
˙ Tunawezaje kutumia muda (Makala iliyo kwenye mtandao)
na nguvu zetu kuunga mkono
kutaniko?
˙ Tunawezaje kutumia mali zetu
kuunga mkono kutaniko? Jifunze maana ya ‘kujitahidi ku-
fikia mapendeleo’ kutanikoni.
˙ Ungependa kuunga mkono
kutaniko kupitia njia gani? “Je, ‘Unajitahidi Kufikia’
Mapendeleo?” (Mnara wa
Mlinzi, Septemba 15, 2014)
233
CH I M BA ZAI DI
˙ Ni ubaguzi wa aina gani ulio katika eneo ˙ Ni hali gani zinazoweza kusababisha
lenu ambao ungependa kuepuka? kutoelewana kati yetu na watu wengine?
Soma 2 Wakorintho 6:11-13, kisha mzungumzie Tunawezaje kumwiga Yehova na kuendelea ku-
swali hili: shirikiana na ndugu na dada zetu kwa umoja?
Soma Methali 19:11, kisha mzungumzie
˙ Unawezaje kuimarisha upendo kati yako swali hili:
na ndugu na dada walio na malezi tofauti
na yako? ˙ Mtu anapofanya jambo linalokuudhi au
kukukasirisha, unaweza kufanya nini ili
kusuluhisha hali hiyo?
6. Kazia fikira sifa nzuri
za ndugu na dada zako
Tunapozidi kuwafahamu ndugu na dada zetu,
tunatambua sifa zao nzuri na pia udhaifu wao.
Tunawezaje kukazia fikira sifa zao nzuri?
Onyesha VIDEO, kisha mzungumzie swali
linalofuata.
WATU FULANI HUSEMA: “Ili nimsamehe mtu, lazima kwanza aniombe msamaha.”
˙ Kwa nini tunapaswa kuwa tayari kuwasamehe wengine?
235
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Unaweza kudumisha umoja kutaniko-
ni kwa kuwasamehe na kuwapenda ( 7:01 Jifunze jinsi mfano ambao
ndugu na dada zako wote. Yesu alitoa unavyoweza
kutusaidia kuepuka
kuwahukumu wengine.
Ungejibuje? Toa Boriti
237
CH I M BA ZAI DI
239
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Tunapotenda dhambi nzito, Yehova
atatusamehe ikiwa tutatubu kikweli ( 5:02 Ona jinsi mwanamume
na kuazimia kuacha dhambi. fulani alivyojionea rehema ya
Yehova kama inavyofafanuliwa
kwenye Isaya 1:18.
Ungejibuje? Kamwe Usitilie Shaka
Rehema ya Yehova
˙ Kwa nini ni vizuri tuungame
dhambi zetu kwa Yehova?
˙ Tunapaswa kufanya nini ili
tusamehewe dhambi zetu?
˙ Kwa nini tunapaswa kutafuta Mpango wa kutenga na
ushirika unawanufaishaje
msaada wa wazee tunapotenda
wote wanaohusika?
dhambi nzito?
“Kutenga na Ushirika Ni
Mpango Wenye Upendo”
(Mnara wa Mlinzi, Aprili 15, 2015)
N Lengo lingine:
Katika simulizi “Nilihitaji
Kumrudia Yehova,” jifunze
kwa nini mwanamume aliyeku-
wa ameacha kweli anahisi kwa-
mba Yehova alimvuta arudi.
“Biblia Inabadili Maisha”
(Mnara wa Mlinzi, Aprili 1, 2012)
241
CH I M BA ZAI DI
Onyesha VIDEO.
Soma Luka 4:8 na Ufunuo 18:4, 5, kisha ujibu maswali haya: VIDEO: Tokeni Katika Babiloni
Mkubwa! (5:06)
˙ Je, bado jina langu limeandikwa kwenye orodha ya wafuasi
wa dini ya uwongo?
˙ Je, ninashirikiana na shirika linalohusiana na dini nyingine?
˙ Je, kazi yangu inaunga mkono dini ya uwongo kwa njia yoyote?
˙ Je, kuna hatua nyingine ambayo ninahitaji kuchukua ili
kujitenga na dini ya uwongo?
˙ Ikiwa nimejibu ndiyo kwa mojawapo ya maswali hayo,
ninapaswa kufanya mabadiliko gani?
243
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Ili tuendelee kuwa washikamanifu kwa
Yehova, tunapaswa kuepuka kushiri- Jifunze jinsi unavyopaswa
kiana na watu ambao si washikamani- kutenda unaposikia habari
fu kwake. Pia, tunapaswa kujitenga za uwongo kuhusu Mashahidi
kabisa na dini za uwongo. wa Yehova.
“Je, Una Habari Kamili?”
(Mnara wa Mlinzi, Agosti 2018)
Ungejibuje?
˙ Kwa nini hatupaswi kutazama,
kusoma, au kusikiliza habari
za waasi-imani? Unawezaje kutambua mashiri-
˙ Tunapaswa kuwatendeaje wale ka au shughuli zinazounga
ambao hawataki tena kuwa mkono Babiloni Mkubwa?
Mashahidi wa Yehova? “Uwe na Mengi ya Kufanya
Katika Kipindi cha Mwisho
˙ Tunawezaje kutii agizo la kutoka
cha ‘Siku za Mwisho’ ”
kwenye dini za uwongo?
(Mnara wa Mlinzi, Oktoba 2019,
fungu la 16-18)
245
CH I M BA ZAI DI
Mamilioni ya watumishi
wa Yehova wameendelea
kumtumikia kwa uaminifu
licha ya upinzani. Wewe
pia unaweza!
247
MUHTASARI CH U N G U ZA ZAI DI
Yehova anathamini jitihada zetu
za kumtumikia licha ya mateso. ( 2:34 Ona ndugu kijana akieleza
Kwa msaada wake, tunaweza jinsi Yehova alivyomsaidia
kufanikiwa kuvumilia! kuvumilia alipofungwa gere-
zani kwa sababu ya kutounga
mkono upande wowote.
Ungejibuje? Kuvumilia Licha ya Mnyanyaso
Endelea Kuimarisha
Urafiki Wako na Yehova
Katika masomo haya ya kujifunza Biblia, umeji- ndelea kujifunza Neno la Mungu na kuhudhuria
funza mambo mengi kumhusu Yehova. Mambo mikutano ya kutaniko, utajifunza mambo ma-
ambayo umejifunza yamekusaidia kumpenda pya kumhusu Yehova na sifa zake. Tafuta njia
sana na huenda yamekuchochea kujiweka wak- za kuiga utu wake kikamili zaidi katika mai-
fu kwake na kubatizwa. Ikiwa bado hujachukua sha yako. Endelea kufanya mabadiliko yoyote
hatua hiyo, labda unafikiria kufanya hivyo hivi yanayohitajika ili kumfurahisha Yehova.
karibuni. Lakini baada ya kubatizwa, bado una-
hitaji kuendelea kumkaribia Yehova. Unaweza 3. Yehova atakusaidiaje uendelee kumkaribia?
kuendelea kumkaribia Yehova milele. Jinsi gani? Biblia inasema hivi: ‘Mungu atamaliza mazoezi
yako, atakufanya uwe imara, atakutia nguvu,
1. Kwa nini unapaswa kuendelea kuimarisha atakupa msingi imara.’ (1 Petro 5:10) Sisi sote
urafiki wako na Yehova? hushawishiwa kufanya mambo mabaya. Lakini
Tunapaswa kujitahidi kuendelea kuimarisha Yehova hutupatia msaada tunaohitaji ili tupinge
urafiki wetu na Yehova. Kwa nini? “Ili tusipepe- vishawishi hivyo. (Zaburi 139:23, 24) Anaahidi
rushwe kamwe” mbali naye. (Waebrania 2:1) Ni kwamba atakupa hamu na nguvu za kuendelea
nini kinachoweza kutusaidia tuendelee kumtu- kumtumikia kwa uaminifu.—Soma Wafilipi 2:13.
mikia Yehova kwa uaminifu? Ni kwa kuwa na bi-
dii katika kazi ya kuhubiri na kutafuta njia nyi-
ngine za kumtumikia Mungu wetu kikamili zaidi.
(Soma Wafilipi 3:16.) Kumtumikia Yehova ndiyo
maisha bora zaidi!—Zaburi 84:10.
249
CH I M BA ZAI DI
Ikiwa unahisi kwamba uko tayari kuhubiri na kutaniko, mwalimu wako wa Biblia anaweza
kufanya mpango ili ukutane na wazee na kuzungumzia jinsi unavyoweza kustahili.
Ikiwa unahisi kwamba uko tayari kubatizwa, mwalimu wako wa Biblia anaweza
kufanya mpango ili ukutane na wazee na kuzungumzia jinsi unavyoweza kustahili.
254
Maelezo ya Ziada
Miaka 483
Maelezo ya Ziada
˙ Kutendewa vibaya kimwili: Mwenzi wa ndoa anapo- Mtu aliye na ugonjwa wa kuambukiza anawezaje kutii amri hiyo?
tendewa vibaya kimwili au kujeruhiwa kufikia hatua Mtu huyo hapaswi kujaribu kuwakumbatia au kuwabusu watu
ya kwamba uhai wake unakuwa hatarini.—Wagalatia wengine. Hapaswi kukasirika ikiwa wengine watakataa kumkari-
5:19-21. bisha nyumbani kwao kwa sababu wanataka kulinda familia zao.
Na kabla ya kubatizwa, anapaswa kumjulisha mratibu wa bara-
˙ Kuhatarisha kabisa uhusiano wa mtu pamoja na Ye-
za la wazee kuhusu ugonjwa wake ili abatizwe kwa njia ambayo
hova: Mwenzi wa ndoa anapompinga kabisa mume au
itawalinda wengine watakaobatizwa. Kabla ya kuanza uchumba,
mke wake hivi kwamba anashindwa kumtumikia Yehova.
mtu ambaye huenda ana ugonjwa wa kuambukiza anapaswa ku-
—Matendo 5:29.
kubali kwa hiari kufanyiwa vipimo vya damu. Ukifanya hivyo,
utaonyesha kwamba unawajali wengine kwa ‘kuangalia, si faida
5. Sikukuu na Sherehe zako mwenyewe, bali pia faida za wengine.’—Wafilipi 2:4.
Wakristo hawashiriki katika sikukuu ambazo hazimfurahishi Ye- 7. Masuala ya Kibiashara na Kisheria
hova. Lakini kila Mkristo anapaswa kuongozwa na dhamiri yake
iliyozoezwa na Biblia kuamua jinsi atakavyotenda watu wengine Tunaweza kuepuka matatizo mengi kwa kuandika makubalia-
wanaposherehekea sikukuu hizo. Fikiria mifano michache. no yote ya kifedha, hata ikiwa yanahusisha Mkristo mwenzetu.
(Yeremia 32:9-12) Hata hivyo, huenda matatizo madogo yakato-
˙ Mtu anapokutakia sikukuu njema. Unaweza kumjibu,
kea kati ya Wakristo kuhusu pesa au mambo mengine. Wanapa-
“Asante.” Ikiwa mtu huyo anataka kujifunza mengi, una-
swa kutatua matatizo hayo haraka na kwa amani, kati yao we-
weza kumweleza kwa nini husherehekei sikukuu hiyo.
nyewe.
˙ Mwenzi wako wa ndoa, ambaye si Shahidi wa Ye-
hova, anakukaribisha kwenye mlo pamoja na watu Hata hivyo, tunapaswa kushughulikiaje matatizo makubwa kama
wa ukoo wakati wa sikukuu. Ikiwa dhamiri yako inaku- vile ulaghai au uchongezi? (Soma Mathayo 18:15-17.) Yesu alitu-
ruhusu kwenda, unaweza kumweleza mapema mwenzi fundisha hatua tatu ambazo tunapaswa kufuata:
wako kwamba ikiwa mlo huo utahusisha desturi za kipa- (1) Jaribuni kutatua jambo hilo kati yenu wenyewe.
gani, basi hutashiriki katika desturi hizo. —Ona mstari wa 15.
˙ Mwajiri wako anakupa zawadi ya pesa wakati wa si- (2) Hilo lisipowezekana, nenda na Mkristo mmoja au wawili
kukuu. Je, unapaswa kukataa pesa hizo? Unaweza ku- walio wakomavu kiroho.—Ona mstari wa 16.
kubali. Je, mwajiri wako anaona pesa hizo kuwa zawadi
(3) Ikiwa bado mnashindwa kutatua jambo hilo, basi unawe-
ya sikukuu, au ni njia ya kukuonyesha shukrani kwa sa-
za kuwajulisha wazee wa kutaniko.—Ona mstari wa 17.
babu ya kazi nzuri uliyofanya?
Katika visa vingi, hatupaswi kuwapeleka ndugu zetu mahakama-
˙ Mtu fulani anakupatia zawadi wakati wa sikukuu. ni kwa sababu hilo linaweza kuchafua jina la Yehova na kutaniko.
Huenda mtu huyo akasema: “Ninajua husherehekei si- (1 Wakorintho 6:1-8) Hata hivyo, kuna visa ambavyo vinapaswa
kukuu hii, lakini ningependa kukupatia zawadi hii.” Lab- kusuluhishwa kisheria: kwa mfano, kesi za talaka, kupewa ruhu-
da mtu huyo anaonyesha tu fadhili. Hata hivyo, je, kuna sa mahakamani ya kuwatunza na kuwalea watoto, kuamua mali-
sababu inayoonyesha kwamba anajaribu imani yako au po ya talaka, kupata malipo ya bima, kesi ya kufilisika, au kui-
anataka ushiriki katika sikukuu hiyo? Baada ya kufikiria dhinisha wasia. Mkristo anayeenda mahakamani ili kusuluhisha
mambo hayo, wewe mwenyewe utaamua ikiwa utapokea masuala kama hayo kwa njia ya amani havunji ushauri wa Biblia.
au kukataa zawadi hiyo. Tunapofanya maamuzi yoyote,
tungependa kubaki na dhamiri safi na kuendelea kuwa Ikiwa kisa hicho kinahusisha uhalifu mkubwa kama vile ubakaji,
waaminifu kwa Yehova.—Matendo 23:1. kumtendea mtoto vibaya, kupigwa, wizi wa kiasi kikubwa cha
mali, au mauaji, Mkristo anapotoa taarifa kwa wenye mamlaka
havunji ushauri wa Biblia.
6. Magonjwa ya Kuambukiza
Kwa kuwa tunawapenda watu, hatungependa kuwaambukiza
magonjwa. Tunaepuka kufanya hivyo ikiwa tuna ugonjwa unaoa-
mbukiza au tuna sababu za kuamini kwamba huenda tumea-
mbukizwa. Tunafanya hivyo ili kutii amri hii ya Biblia: “La-
zima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.”
—Waroma 13:8-10.
Fuatilia Usomaji Wako wa Biblia
MAANDIKO YA MAANDIKO YA
KIEBRANIA NA KIARAMU KIGIRIKI YA KIKRISTO
210615
lff-SW